Watanzania tuelimike, kuchana pesa kwa kisingizio cha "chuma ulete" kumepitwa na wakati

Watanzania tuelimike, kuchana pesa kwa kisingizio cha "chuma ulete" kumepitwa na wakati

Tuanzishe kampeni ya kutopokea pesa yoyote iliyochanika. Nadhani kila mmoja akili zitamkaa sawa. Kwa kipindi cha mwaka mmoja hii tabia itakwisha
Ni kweli ushauri wako unaweza kutokomeza tatizo tena siyo mwaka hata miezi miwili inatosha, endapo wadau, taasisi za kifedha, serikali na wananchi wakiamua kususia pesa zilizoharibiwa kwa dizain hiyo hamna atakayeji-risk kupokea noti yenye matobo au mapungufu. Kikubwa tangazo lifanyike kwa noti zote zilizoharibiwa kurudishwa benki na atakayebaki nazo mkononi baada ya muda uliopangwa kuisha inakula kwake.
 
Hauhljafanya utafiti wa kutosha kama kweli chuma ilete huiba hela na kuchana ndio kinga yao.
Ukikua utaacha kulaumu.
Kila mtu alinde pesa take anavyojua tusipanguane.
Hakuna mwenye pesa hivuo usiumie sana utapata presha.
Pesa mpya zinapendwa sana na chuma ulete na dawa yao ni kukata kona ya hio noti.
Mi binafsi sita acha kuchana pesa hasa mpya nilioipokea benki, pesa kuukuu kwangu hazina shida.
Kwa uelewa huu ambao ndiyo mtizamo na msimamo wa jamii iliyo kubwa ya watanzania wafanyao biashara tulio nao,

Ambao wengi uamini ukiwa mfanyabiashara basi upaswi kujiangaisha na elimu wala kuwa na utu wa kibiashara (business ethics)

*We tazama tu hata mwandiko wa mtu unaelezea mengi kumuhusu mtu mwenyewe.

Nakiri kuwa bado kama taifa tuna safari ndefu sana kufikia ndoto za baba wa taifa katika kutokomeza kabisa maadui watatu wa taifa yaani ujinga,maradhi na umasikini.
 
Duh! hii ni mpya kwangu......maajabu hayataisha duniani...
Ndo ushangae sasa, kwenye karne hii tunayoishi ya 21 utegemei jamii ikiendelea kufanya mambo ya kijinga yaliyofanywa na jamii ya karne ya 16
 
Kwa uelewa huu ambao ndiyo mtizamo na msimamo wa jamii iliyo kubwa ya watanzania wafanyao biashara tulio nao,

Ambao wengi uamini ukiwa mfanyabiashara basi upaswi kujiangaisha na elimu wala kuwa na utu wa kibiashara (business ethics)

*We tazama tu hata mwandiko wa mtu unaelezea mengi kumuhusu mtu mwenyewe.

Nakiri kuwa bado kama taifa tuna safari ndefu sana kufikia ndoto za baba wa taifa katika kutokomeza kabisa maadui watatu wa taifa yaani ujinga,maradhi na umasikini.
Hao mameneja wenyewe wamekalia viti kwa tunguli na hirizi.
Halafu kwenye simu na komputa hatuna mamlaka ya kuunda mwandiko kila kitu kipo kwenye software, mwandiko upo shuleni na vyuoni.
Siku nyingine tumia neno sahihi sio mwandiko maana herufi zote zilishaandikwa kazi yangu ni kuzikopi tu.
Mwandiko ni uumbaji wa herufi kitu ambacho hakipo kwenye simu.
Huwa mnajifanya mnajua kukosoa wakati mnakosoa kwa kukosea.
Kama wewe huwa unaunda mwandiko ktk vifaa hivi basi wewe ni konki master umemzidi mpaka billgate.
 
Mie na wale wanaozifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Wananikera basi tu!
Na haohao wanakua kimbelembele kukataa hela kuukuu.
Ila yote haya JK, noti za kabla ya awamu yake zilikua imara sana. Sijui kwanini huyu mswahili wa Msoga aliamua kubadili na kutuletea noti zisizo na ubora, hali akijua taifa hili bado lina nakisi kubwa ya watu sio civilised.
Mkuu hizo noti ni za kikwete? Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi kikwete alibadili noti zilipoingia tu zikawa siku mbili zimechakaa watu wakaanza lalamika zikawa zikienda bank hazirudi zikaondolewa kwenye mzunguko.
Lakini nasikia kuwa note halisi zilikuwa poa ila kuna wazee walimwaga shehena la bandia mtaani na hivi ndo zilikuwa mpya watu hawajui fake na really ni ipi. Ni tetesi tu hizi niliskia.
 
Hao mameneja wenyewe wamekalia viti kwa tunguli na hirizi.
Halafu kwenye simu na komputa hatuna mamlaka ya kuunda mwandiko kila kitu kipo kwenye software, mwandiko upo shuleni na vyuoni.
Siku nyingine tumia neno sahihi sio mwandiko maana herufi zote zilishaandikwa kazi yangu ni kuzikopi tu.
Mwandiko ni uumbaji wa herufi kitu ambacho hakipo kwenye simu.
Huwa mnajifanya mnajua kukosoa wakati mnakosoa kwa kukosea.
Kama wewe huwa unaunda mwandiko ktk vifaa hivi basi wewe ni konki master umemzidi mpaka billgate.

Ongera naona hivi sasa umeandika kwa umakini na siyo papara, hapo nimekubali defeat.
Ila huo mstari wako wa kwanza kuhusu tunguri na hirizi ndo umenichefua maana ume-generalize kana kwamba ni lazima wote lazima wafanye hivyo ndo wawe mameneja.
 
Ongera naona hivi sasa umeandika kwa umakini na siyo papara, hapo nimekubali defeat.
Ila huo mstari wako wa kwanza kuhusu tunguri na hirizi ndo umenichefua maana ume-generalize kana kwamba ni lazima wote lazima wafanye hivyo ndo wawe mameneja.
Ongera ndio nini?
 
Mwenye Uzi haamini katika chuma ulete. Kwa taarifa yako ni sayansi ya hali ya juu, ila kuchana pesa ni kama kujihami, niwashauri!! Chukuwa mkaa wa moto weka kwenye maji mpaka usikie Ile sauti "psiiiiiiiiiiiiiiii" . Upooze na weka sehemu unayohifadhi pesa zako. Mchawi hakaribii.
 
Hauhljafanya utafiti wa kutosha kama kweli chuma ilete huiba hela na kuchana ndio kinga yao.
Ukikua utaacha kulaumu.
Kila mtu alinde pesa take anavyojua tusipanguane.
Hakuna mwenye pesa hivuo usiumie sana utapata presha.
Pesa mpya zinapendwa sana na chuma ulete na dawa yao ni kukata kona ya hio noti.
Mi binafsi sita acha kuchana pesa hasa mpya nilioipokea benki, pesa kuukuu kwangu hazina shida.
Akili za kindezi hizi,hizi imani za chuma ulete. ni ungese tu mbona hawaendi benki kuchukua pesa?
 
Mwenye Uzi haamini katika chuma ulete. Kwa taarifa yako ni sayansi ya hali ya juu, ila kuchana pesa ni kama kujihami, niwashauri!! Chukuwa mkaa wa moto weka kwenye maji mpaka usikie Ile sauti "psiiiiiiiiiiiiiiii" . Upooze na weka sehemu unayohifadhi pesa zako. Mchawi hakaribii.

Afadhali umeleta njia mbadala ambayo itaminimize madhara katika pesa zetu, asante kwa hilo.
 
Back
Top Bottom