Watanzania tuheshimu kura zetu, kama CHADEMA sasa hivi wanatukanana, na hata kutaka kupinduana, ndio tuwakabidhi nchi? Hapana, tuwape muda kuwasoma

Watanzania tuheshimu kura zetu, kama CHADEMA sasa hivi wanatukanana, na hata kutaka kupinduana, ndio tuwakabidhi nchi? Hapana, tuwape muda kuwasoma

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe na kinywa chake kimeoza

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi.

#zimwiLikujualo
 
Sisiemu ni Bakari Ali, Chadema ni Ali Bakari yale yale tu.
 
Hawa jamaa chama chao hakika tulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe.

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi
My friends, ladies and gentlemen viongozi wa Chadema Taifa na wafuasi wao wamepoteza dira na uelekeo kabisa,

ni wanafiki na waongo wa kiwango cha juu mno. Kila moja sasa anasema lake, na mpaka imefikia hatua wanaChadema wenyewe hawajui wamuamini nani miongoni mwao kwa namna wanavyolumbana kwa uoptoshaji.

Nadhani chadema imepoteza uhalali wa kuitwa chama cha siasa 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe na kinywa chake kimeoza

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi
Kwani BASHIRU ALLY ni wa chama gani?.
 
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe na kinywa chake kimeoza

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi
Hakuna kitu kinachoogopwa sana na wabongo kama vita 🤣 🤣 🤣
 
My friends, ladies and gentlemen viongozi wa Chadema Taifa na wafuasi wao wamepoteza dira na uelekeo kabisa,

ni wanafiki na waongo wa kiwango cha juu mno. Kila moja sasa anasema lake, na mpaka imefikia hatua wanaChadema wenyewe hawajui wamuamini nani miongoni mwao kwa namna wanavyolumbana kwa uoptoshaji.

Nadhani chadema imepoteza uhalali wa kuitwa chama cha siasa 🐒
Hiyo dira iliyopotea wewe unaifahamu?.
Njaa mbaya sana.
 
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe na kinywa chake kimeoza

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi
Sehemu palipo na Demokrasia uhuru wa kujieleza na kuwa na maoni/mtazamo tofauti ni kawaida. Hayo matusi unayoyasema ni yapi weka ushahidi, ninachokiona ni utofauti wa mtazamo na maoni kwa wagombea hao wawili kwa kila pande. Kwa maoni yangu wanaonyesha ukomavu wa Demokrasia.
 
Hiyo dira iliyopotea wewe unaifahamu?.
Njaa mbaya sana.
Yes,
naifahamu gentleman.

Chadema imetoka kwenye dira ya amani na upendo, na inaelekea kwenye vurugu, fujo na uvunjifu wa amani.

ndio maana unaona unafiki wa kiwango cha juu sana, kutuhumiana mambo ya uongo na uptoshaji wa wazi kabisa miongoni mwa viongozi na wafuasi wao 🐒
 
Ni Mpumbavu na mshamba ndio atakuelewa. Ni bora hawa wanao pambana kwa maslahi ya taifa kuliko wanaouana kimya huku wakiwa wameoza na hawana hata chembe ya uwezo wa kutoka mbele ya wananchi. Chadema ni wanaume na wanajua siasa kuliko ccm inayouza nchi kila kuchao.
 
Ni Mpumbavu na mshamba ndio atakuelewa. Ni bora hawa wanao pambana kwa maslahi ya taifa kuliko wanaouana kimya huku wakiwa wameoza na hawana hata chembe ya uwezo wa kutoka mbele ya wananchi. Chadema ni wanaume na wanajua siasa kuliko ccm inayouza nchi kila kuchao.
Maslahi ya konyo, kipi umeona kina maslahi ya taifa
 
Hawa jamaa chama chao hakijatulia kwa kiwango cha kupewa nchi au wabunge. Ndani kimeoza, kina vita, fitna, mapambano, husda. Mbowe alijaribu kuonyesha mambo yako sawa kwa busara zake kabla hajastuka kwamba msaidizi wake ni mteja wa mirembe na kinywa chake kimeoza

Tuna familia, watoto, ndugu, wazazi, bibi na babu. Tuko tayari hatma yao 2025 October tuikabidhi kwa kichaa kama Lissu ambaye ataanza kuvuruga na kutukana watu hovyo? Hilo Baraza la Mawaziri ambalo wataliunda watajadilije mambo ya nchi?

Kama sasa hivi wanataka kupinduana, watashindwaje kambi moja ishirikiane na jeshi kupindua kambi nyingine? Tunaona Sudan hali ilivyo? Tuko tayari kukimbia vita twende nchi jirani? Ipi? zote hali mbaya, Burundi, Rwanda ni hovyo kabisa, Kenya tia maji, Uganda iko katika de facto state of war kama Rwanda, Burundi na Congo.

Kenya sasa hivi tuna amani wameanzisha crusade dhidi ya wasanii wetu, sembuse twende kule kama wakimbizi
Mshirikishe PHILIP MANGULA hili jambo huenda akakushauri vizuri.
Huenda ulikuwa bado mdogo sana 2015 pale CCM makao makuu hivyo hukupata kujua Emmanuel Ncimbi aliongea nini baada EL kuenguliwa.
 
Sehemu palipo na Demokrasia uhuru wa kujieleza na kuwa na maoni/mtazamo tofauti ni kawaida. Hayo matusi unayoyasema ni yapi weka ushahidi, ninachokiona ni utofauti wa mtazamo na maoni kwa wagombea hao wawili kwa kila pande. Kwa maoni yangu wanaonyesha ukomavu wa Demokrasia.
Hicho chama cha wahuni
 
Back
Top Bottom