Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

Unaonaje hapa?
Huoni kama sera zao zilikuwa ni moja?
Kuna ubaya gani watu wakilinganisha Rais wetu mrithi na mtangulizi wake aliyemrithisha?
Acha wanyonge wakumbuke Magufuli na mama akitoka matajiri nao pia watamkumbuka.
Your browser is not able to display this video.
 
Umeanza vizuri lakini katikati ya mistari nimemuona Makamba jr na Mdude Nyagali
 
Umeanza vizuri lakini katikati ya mistari nimemuona Makamba jr na Mdude Nyagali

Siko hapa kukupendeza wewe. Hata sikujui. Usijipe umuhimu ambao huna.

Hujaweza kuitetea hoja yako.

Hujaweza hata kuielezea.

Which is typical for people who have no respect for a logic following exchange.

I have no respect for such people.

Mimi najadili hoja.

Wewe unanijadili mimi, kwa ad hominem fallacy, unajadili watu.

Kwa mtaji huu, hatutaelewana.
 
Unaonaje hapa?
Huoni kama sera zao zilikuwa ni moja?
Kuna ubaya gani watu wakilinganisha Rais wetu mrithi na mtangulizi wake aliyemrithisha?
Acha wanyonge wakumbuke Magufuli na mama akitoka matajiri nao pia watamkumbuka.
View attachment 2960206
Mimi nimegoma kumsahahu Magufuli.
Msahauni nyinyi kama mnataka.
 
Wewe jizi nyamaza,

JPM hatosahaulikana daima utakufa lakini JPM ataendelea kutajwa na wewe hutakuwa na nafasi yoyote ya kumbukumbu popote pale.

JPM aliwafanya mbaya majizi, wababaishaji, mafisadi, wahuni, wavivu nk sasa hivi yanajitokeza kuropoka ujinga. Huyo mama yako akiondoka hakuna mtu atakayemkumbuka kwa chochote.

JPM shall prevail in the citizens' memoirs for decades to come, and nobody from all fronts dares to stain his excellent record and survive the damage of his/her career as a politician, academician, renowned business figure, engineer, lawyer, successful entrepreneur, professional of any field, etc.
 
Wewe ni shabiki, huhitaji kutumia akili
 
Kati ya watu wameongea kitu cha maana ni wewe watu wamebaki kuzungumzia mzoga kila siku unatusaidia nini mama ni Bora maraelfu ya maguful
Panya aliehai ni bora zaidi mara mia kuliko simba aliekufa, hata kama panya huyo anakutafunia mahindi yako ghalani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…