Watanzania tuipongeze serikali ya CCM kusambaza umeme vijijini kwa kasi na mafanikio makubwa kwa muda wa miaka sita

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imesema imeongeza huduma ya upatikanaji umeme kutoka asilimia 2 mwaka 2007 hadi kufikia 69.6 Juni mwaka huu.

kurugenzi Mkuu wa Rea, Mhandisi Hassan Saidy amesema malengo yalikuwa kufikia asilimia 50 hivyo wameweza kuvuka lengo walilojiwekea.
 
Huo ni wajibu wao!! Hii biashara ya mtu kutekeleza wajibu wake halafu anasifiwa 🤣🤣🤣🤣
 
Samia hajawwkeza kwenye REA labda huko baadaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…