Watanzania tujifunzeni kiarabu

الغة العربية المبارك [emoji91]
 
If the so called God cannot and has no ability to hear and understand languages other than Arabic, and I am able to hear and understand more than 4 languages, who between me and him has greater or extraordinary capabilities? The answer is pretty obvious, its me. That's why I am saying I should be worshipped. I'm the God.
 
Sasa itakuaje kwa wale ambao wamekataa kabisa uislam kama Wachina, Wahindu, Wabudha, Wajapan, Wakorea, Manasara n.k

Allah atawafanya nini hao maana kiarab hawajui na hawataki uislam.
Achana na hao wasiotaka kiarabu.

Allah mwenyewe hajui wanawake atawapa nini huko akhera. Wanaume tumeahidiwa mabikra 72 wenye macho mazuri, makalio mazuri na maziwa mazuri. Wanawake hawajaahidiwa chochote. Ni kama vile hawana chao huko kwa Allah.
 

Injili halisi ilishushwa na kufundishwa kwa lugha ya Kiibraniya (HEBREW)
Mmiliki wa INJILI HALISI hakua akijua lugha zaidi ya Kiibraniya?
TAHADHARI:
Sijataja BIBLE hapa.
 
Injili halisi ilishushwana kufundishwa kwa lugha ya Kiibraniya.
Mmiliki wa INJILI HALISI hakua akijua lugha zaidi ya Kiibraniya?
Kushushwa ama kufundishwa kwa kiebrania hakuna shida. Shida ni kutaka watu wajifunze kiebrania, waaombe kwa kiebrania na wafikiri kiebrania. Kwamba mungu haelewi maombi yakitumwa kwake kwa lugha tofauti na kiebrania hafi watu tuombe kiebrania?
 
Kwa nini tujifunze Kiarabu wakati ipo automatic translator?
Ukiachana na sababu kuwa ni lugha ya peponi. Ikiwa hii ndio kesi, basi ijayo itakuja kwako, lakini itakuwa sawa.

Kwanza kabisa, Kiarabu kinachukuliwa kuwa lugha ya Kurani, ambayo ni kitabu kitakatifu cha Uislamu. Kwa hivyo, inaruhusu wale wanaojifunza kuelewa maadili na imani ambazo zinaunda msingi wa maisha ya Kiislamu. Hii inafungua maoni mapya ya uelewa wa kitamaduni na kidini.

Pili, lugha ya Kiarabu imebeba historia ndefu na ustaarabu mkubwa. Kwa kuelewa historia hii, wanafunzi wanaweza kupata ufahamu wa kina katika mchango wa Waarabu katika nyanja za sayansi, sanaa, na falsafa.
Tatu, Kiarabu ni lugha hai inayozungumzwa na mamilioni ya watu duniani kote. Kwa kuijifunza, watu binafsi wanaweza kuwasiliana vyema na jumuiya pana na tofauti, na kuimarisha uelewa wa kitamaduni na mawasiliano ya kitamaduni.

Asante Jibu Nukuu
 
Aliyekudanganya kuwa Kiarab ni lugha ya peponi mtafute haraka na umtie makofi,, kakupotosha kijana.
 
Hii lugha tunaoijua ni raha Sana daah sijawai kujutia kuijua kabisa
 
Kabisa aiseee.... Kama hujui kiarabu huendi peponi. Pigs ua galagaza. Huendi.
 
Ukiniambia nichague lugha ipi bora, nitakuambia Kiarabu. is the best language in the world, msikilize Spokesman wa Hamas Abu ubaidah, mashallah kiarabu hadi raha.
 
تخدع نفسك
 
عافيه، شكرا حبيبي، الله يحفظك ويعطيك الصحة والعافية
 
Sisi tujifunze kiaarabu wakati waarabu wenyewe hawapendi kujifunza chochote, kinachowabeba ni pipa la mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…