Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

A blind man indeed.Yote hayo yangefanikiwaje bila yeye kumaliza muda wake na kuwa na continuity.Sina haja ya kutetea his legacy,even a normal man in the village can see.Ukimsikiliza Magufuli,ukiangalia body language yake na matendo yake,you see a new Tanzania.That is who he was.
 
Wewe msukule tulia! Marehemu aachwe kupendwa na familia yake, uje umpende wewe chawa! Kisa tu alikupa ulaji!

Uwe na aibu hata kidogo basi.
1.Thomas Sankara
2.Patrice Lumumba.
3.Julius Nyerere.
Wanakumbukwa ,je kwa nini?
 
Ndugu, kitu ambacho naamini, dhambi waliyo itenda Kwa JPM itawatafuna na macho ya wengi yataona, na Kuna siku watajisema wazi
 
Wewe ni mpumbavu sana na ninyi ndiyo mlionufaika katika utawala wake, waache watu waseme wachoke wenyewe. Mabaya yote yale hukuyaona mjinga wewe.
Walionufaika ndiyo hao hao bado wanaendelea kunufaika hata baada ya kumsaliti...Wanaoumia ni wale ambao walikubali kufunga mikanda ili nchi baadaye iwe ya manufaa kwa wote, kinachoumiza ni hata baada ya kukubali kuchumia juani (mateso yote yale hata ya kukosa demokrasia) project ika abort kabla ya matokeo, hasara mara mbili tumepata wengi wa sisi tunaoumia...
 
Marehemu ashatangulia mbele ya haki (my take) kufahamu chanzo cha kifo chake hakusaidii kumrudisha duniani,wala maneno ya watu hayawezi kubadilisha mema aliyoyafanya,ila pia napenda kuwatahadharisha enyi wapenzi wa marehemu,siyo mambo yote aliyofanya enzi za uhai wake yalikuwa mema,kwa hiyo msipanic watu wanapolalika.
 
Mungu atawaumbua taratibu.
Tena mmoja baada ya mwingine.
Tunawaona na tunawaelewa.

Waligeuza kikao cha mkutano mkuu maalumu wa CCM kuwa Sherehe ya Ushindi.

Wananadhani watanzania wote tumeridhika na kilichotokea na kinachoendelea.

Tatizo ni kwamba kila mlamba asali anaishia kusikiliza feedback kutoka kwa CHAWA wake.

Lakini Mungu sio wa Msoga team pekee.

Mungu pia ni wa wafiwa wote Ulimwenguni.

Iko siku yao wale team Janaba na majibu ni hapa hapa Duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…