Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

Watanzania tulio wengi tunampenda Hayati Rais Magufuli, hamtafanikiwa kubadilisha ukweli huo kamwe!

A blind man indeed.Yote hayo yangefanikiwaje bila yeye kumaliza muda wake na kuwa na continuity.Sina haja ya kutetea his legacy,even a normal man in the village can see.Ukimsikiliza Magufuli,ukiangalia body language yake na matendo yake,you see a new Tanzania.That is who he was.
Kweli wewe punguani, alikuwa anatuzamisha baharini! Mungu fundi. Toenu upumbavu wenu na marehemu wenu aliyekufa kwa kipindupindu. Mtu gani hata taarifa za ugonjwa hazikutolewa. Walimuheshimu kusema Covid, bado mnalalama. Sasa kwa taarifa yenu ni KIPINDUPINDU ndiyo chanzo cha kifo chake, sababu ya kula vyakula ovyo barabarani. Huku ameshika kuku anayekunyakunya yeye anakula mahindi.
 
We kahaba wa twita umeorodhesha umbea wako. Hakuna alichofeli hayati JPM wananchi wameshuhudia alichofanya kwa miaka mitano aliyoongoza. Unaleta ngojera za twita JF huku kuna watu wenye akili.
Nimecheka kwa nguvu, eti dhalimu hakuna alichofeli wananchi wameshuhidia. Kwani ni wapi wananchi waliachwa waseme kwa kujiamini kuwa wameridhika na kazi? Ilikuwa ni marufuku kukosoa ama kupinga zaidi ya kusifia, na ukikosoa unatekwa na kundi lake la watu wasiojulikana. Yule alikuwa ni shetani kwenye umbile la binadamu fullstop.
 
Ndugu, kitu ambacho naamini, dhambi waliyo itenda Kwa JPM itawatafuna na macho ya wengi yataona, na Kuna siku watajisema wazi
Umeshachimba kaburi lako pembeni yake pale chattle? Wenzio kina Makonda makaburi yao yako tayari, subiri nafasi zijae.
 
Mungu atawaumbua taratibu.
Tena mmoja baada ya mwingine.
Tunawaona na tunawaelewa.

Waligeuza kikao cha mkutano mkuu maalumu wa CCM kuwa Sherehe ya Ushindi.

Wananadhani watanzania wote tumeridhika na kilichotokea na kinachoendelea.

Tatizo ni kwamba kila mlamba asali anaishia kusikiliza feedback kutoka kwa CHAWA wake.

Lakini Mungu sio wa Msoga team pekee.

Mungu pia ni wa wafiwa wote Ulimwenguni.

Iko siku yao wale team Janaba na majibu ni hapa hapa Duniani.
Lile kaburi pale pembeni ya la dhalimu ni la kwako au la Chalamila?
 
Nimecheka kwa nguvu, eti dhalimu hakuna alichofeli wananchi wameshuhidia. Kwani ni wapi wananchi waliachwa waseme kwa kujiamini kuwa wameridhika na kazi? Ilikuwa ni marufuku kukosoa ama kupinga zaidi ya kusifia, na ukikosoa unatekwa na kundi lake la watu wasiojulikana. Yule alikuwa ni shetani kwenye umbile la binadamu fullstop.
Kwa hiyo hayo aliyofanya Tanzania kwa miaka mitano hayati JPM hayaonekani? Watu hawakurusiwa kuyazungumzia?

Mmesahau mlipinga hata alipoanza ujenzi wa JNHP? Mbona unajisahaulisha?
 
Niliposikia kwa mara ya kwanza kwamba hii Sinema ya Royal Tour (ambayo Rais wetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni Main Actor and Tour Guide) ina assert kwamba kifo cha Hayati John Pombe Magufuli kimesababishwa na Covid,nilistuka na sikuamini masikio yangu!Kwa maoni yangu hii inam-compromise sana Rais Samia ambaye ndiye aliyetutangazia kifo cha Hayati Magufuli na kutufahamisha kwamba kilichomuua Rais Hayati Magufuli ni Ugonjwa wa Moyo! Sasa haya ya COVID-19 yametoka wapi tena?!

Najiuliza
a) Hivi Rais Samia alikubalije kushiriki sinema inayopotosha taarifa ya serikali kuhusu jambo zito kama hili?!
b) Kwa nini hakudai hicho kipande kiondolewe?!!
Sitashangaa sana akitokea "mtetea chochote" akisema Rais Samia hakuiona script na kujiridhisha kwamba script ipo sahihi(if it is all acceptable) kabla ya uzinduzi wa movie huko Marekani! That would be a serious blunder and an act of gross incompetence on the part of her presidential advisers.
Kwa maoni yangu anayeongea kwenye hii script ni "Spin Master", na utetezi wake umekaa kipuuzi na hauna mashiko. Ashakum si matusi.
Iwapo anachosema "Spin Master" ndiyo hoja na majibu ya serikali (kwamba kilichosemwa kuhusu sababu ya kifo cha Magufuli ni COVID-19 ni kauli ya Wanaharakati (ambao wanatajwa kwa majina), mimi naomba kuuliza mbona sasa hawakusema (kwenye hiyo sinema ya Royal Tour) kwamba "kuna na Watanzania wengi wengine (na hata watu wa nje),ambao wanaamini Rais Magufuli kauawa?!

Rais Samia aliwahi kuwakemea kwa hasira wanaodai Hayati Rais Magufuli kauawa.Aakasemawwenye ushahidi kwamba Hayati Rais Magufuli kauawa wampelekee.

Baada ya sinema ya Royal Tour kulikoroga, ni wazi sasa kwamba kumbe kweli kuna umuhimu wa kuunda Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Wadanganyika tunataka kujua kwa uhakika: Je, Rais Magufuli alikufa kwa Ugonjwa wa Moyo (ambao haukusababishwa na mkono wa Mtu), alikufa kwa COVID-19 au aliuwawa?! Na alikufa lini exactly?!
Naamini Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ataona umuhimu huu. Asipuuze hili, hasa ikizingatiwa kwamba yeye ndiye Main Actor and Main Guide in this movie that has come up with this act of not only gross disrespect for our late President but also explosive provocation directed towards our Nation and all Tanzanians!
Namshauri pia Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan awe mwangalifu sana kutambua kwamba kifo cha Magufuli kimeligawanya Taifa... na hivyo afanye kazi ya ziada kutuunganisha badala ya kutugawa na kuruhusu Watu (na hasa) Viongozi kutonesha vidonda kila kukicha!

Kauli tata zimeshamiri nchini na zinaleta taharuki kila kukicha!
Mfano wa kauli tata!
a) "...ile ilikuwa Nidhamu ya woga tu!"
b) "Nchi imeharibiwa sana hii!"
c) "Sasa tunairudisha Tanzania Duniani!"
d) N.k.

Kwa bahati mbaya sana, kauli zinazotolewa kila kukicha kumkandia na kuchafua jina la Hayati Rais Magufuli zinachochea wasiwasi na hasira kwa baadhi ya Watanzania! Kama nilivyosema, zinaleta taharuki. Baadhi ya Wadanganyika tunajiuliza:
a) Kwa nini wenzie waliomo serikalini ndio wanaongoza mashambulizi?!
b) Kwa nini serikali ya Awamu ya 6 inaonekana ku-enjoy kuitupia madongo serikali ya awamu ya 5,yaani serikali ya Magufuli?Strangely, by more than 90%, serikali ya awamu ya 6 ndiyo serikali ya awamu ya 5!! Rais wa sasa ndiye alikuwa Makamu wa Rais Magufuli (na Mshauri wake Mkuu), Makamu wa Rais wa sasa ndiye alikuwa Waziri wa Fedha, Waziri Mkuu yuleyule, Mkuu wa Usalama wa Taifa yuleyule, IGP yuleyule, CDF yuleyule, Jaji Mkuu yuleyule n.k., n.k.
c) Kwa nini baadhi ya Viongozi wa serikali ya awamu ya 6 wanatoa matamshi ambayo yanaashiria kwamba kumbe (labda) walikuwa na Chuki kubwa kwa Rais, Mwenyekiti na Amiri Jeshi Mkuu wao, Rais Magufuli?!
d) Inakuwaje wale wote waliotofautiana na Rais Magufuli wamepandishwa vyeo na kauli zao na matendo yao yanaonyesha hawajutii walichofanya?! Ni kama vile wanatamba kwa "Ushujaa" wao wa kupambana na Rais Magufuli?! Wote tunazikumbuka zile audio clips...!!
e) Kwa nini baadhi ya viongozi wa "Matawi ya Juu" nchini wako bize kumbomoa Magufuli and his Legacy! Hivi hii well-coordinated attempt at "Character Assassination" ina lengo gani na faida gani?! Imesababishwa na nini?!
f) Kwa nini serikali na Chama hamumtetei Magufuli?! Saa zote ni kimya au mashambulizi tu! Kwa nini???
g) Hivi mmesahau kwamba mwenzenu amepumzika na hana tena Uwezo wa Kujitetea?
h) Hivi mmesahau kwamba Hayati Rais Magufuli ameacha Mke na Watoto ambao mnawaumiza sana kwa Mashambulizi yenu na/au kimya chenu? Kwa nini msiwaache walau wakauke machozi? Hivi mnasahau kwamba wao ni Bin Adam na wanawashangaa sana, to say the least?

Hivi ni sawa kweli kwamba Serikali, Chama Tawala, Wabunge, Mawaziri, Taasisi mbalimbali, Jumuia mbalimbali (mfano: UV-CCM, UWT, Wastaafu, n.k.)... wote mko kimya kabisa kila Hayati Magufuli anavyotukanwa na kudharirishwa?! Eti hata Viongozi wa Dini nao mko kimya! Mbona haiingii akilini?!

Unafiki huu, mmm...! Au labda ni ukondoo tu...?! Au ni guilty consciousness...?!

Sasa kama Magufuli alikuwa Rais mbaya kiasi hicho (which I don't believe anyway), inawezekanaje nyinyi washirika wake wote muwe wasafi kiasi hicho cha kuthubutu kumtupia mawe mazito hivyo Mwenzenu?!
a) Collective Responsibility iko wapi?!
b) Hivi nyie wengine mnaponaje?!
c) Hivi mnajua kwamba kwenye sheria za kimataifa iliwekwa precedent kwenye Nuremberg Trials (baada ya Vita Kuu ya Dunia)?! Kesi za Washirika wa Hitler...! Kwa kifupi, Mahakama ya Kimataifa iliamua kwamba Rais/Kiongozi Mkuu hawezi kuwa Shetani na Mawaziri/Wasaidizi wake wote wakawa Malaika...!! Never!
d) Mbona mnatufanya wadanganyika mafala?!
e) Mbona mnajichanganya hivyo?!

Narudia!
a) Wasiwasi na hasira za Wadanganyika zinasababishwa na mengi.
b) Mungu anayajua maovu yetu yote (sisi wote),huwezi kuficha,na hukumu zake ni za kweli.
c) Tusicheze na moto!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Mkuu


Umeandika kwa uchungu sana ila nakushauri usiwatukane hao washukiwa yupo ambaye hana nasaba na yeyote awaye yote atawahudia wote kwa wakati mmoja, Watanzania waathirika katika hilo wako kimya sio kwamba ni waoga ila alama za nyakati zimewatonya kwamba adui halisi ni yupi na yuko radhi kufanya nini.

Machozi yenu yatafutwa lakini pia mtaingiwa na huruma kwanini yeye ambaye yuko amechukua hatua hizo.

Epuka kisasi ni hatarishi kwa uhai
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu


Umeandika kwa uchungu sana ila nakushauri usiwatukane hao washukiwa yupo ambaye hana nasaba na yeyote awaye yote atawahudia wote kwa wakati mmoja, Watanzania waathirika katika hilo wako kimya sio kwamba ni waoga ila alama za nyakati zimewatonya kwamba adui halisi ni yupi na yuko radhi kufanya nini.

Machozi yenu yatafutwa lakini pia mtaingiwa na huruma kwanini yeye ambaye yuko amechukua hatua hizo.

Epuka kisasi ni hatarishi kwa uhai
•Kuna watu wanakwenda ulaya Mara nyingi kuliko kwenda makwao kuwaona wazee wao!
•Kuna watu wanauchungu wa vifo vya wengine kuliko Vifo vya wazazi wao ndugu na Jamaa zao.
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
•Mtu anashindwa kabisa kukumbuka kifo cha mjomba wake au mama yake au baba na kumfanyia ibada badala yake anakuwa na uchungu zaidi na kifo cha mtu baki,tena cha ajabu anakuwa mkali kweli.
 
Ni hivi, alikuwa kiongozi muovu na mlevi wa madaraka. Watu walikuwa wanaenda naye kinafiki tu lakini walikuwa hawamkubali. Watanzania wangekuwa wanamkubali asingenajisi chaguzi za nchi hii. Na kwa taarifa yako hao viongozi wenzake wanajua fika kura alizopata na walizopata chama chama chake, ni aibu hata kuzitaja.
Kwataarifa yako yeye alipata kura nyingi lakini wasaliti aliowakingia kifua ndiyo wengi wa mchongo...Kama asingejali yale aliyopanga akajiangalia yeye angebakia na kura zake ambazo zilikuwa zakutosha...Danganya wengine, sisi wengine tunakucheki tu kwa jicho la dharau kwakua hujui usemayo
 
Kwa hiyo hayo aliyofanya Tanzania kwa miaka mitano hayati JPM hayaonekani? Watu hawakurusiwa kuyazungumzia?

Mmesahau mlipinga hata alipoanza ujenzi wa JNHP? Mbona unajisahaulisha?

Kufanya hajafanya kwa mshahara wake bali kodi za wananchi, miundombinu hata wakoloni walijenga na bado tuliwakataa. Au wananchi hawakuona hizo reli na meli walizoweka wakoloni?
 
Kwataarifa yako yeye alipata kura nyingi lakini wasaliti aliowakingia kifua ndiyo wengi wa mchongo...Kama asingejali yale aliyopanga akajiangalia yeye angebakia na kura zake ambazo zilikuwa zakutosha...Danganya wengine, sisi wengine tunakucheki tu kwa jicho la dharau kwakua hujui usemayo

Alipata kura ambazo hata wapiga kura hawakufika! Uza ubongo huo mkuu maana unakaa nao kwa hasara.
 
Mtaani wengi tunamkubali, nashangaa mitandaoni kuna wanaomkosoa tuuu bila kuona zuri lake, anyways kuna kikundi kiliundwa kumponda
 
Niliposikia kwa mara ya kwanza kwamba hii Sinema ya Royal Tour (ambayo Rais wetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni Main Actor and Tour Guide) ina assert kwamba kifo cha Hayati John Pombe Magufuli kimesababishwa na Covid,nilistuka na sikuamini masikio yangu!Kwa maoni yangu hii inam-compromise sana Rais Samia ambaye ndiye aliyetutangazia kifo cha Hayati Magufuli na kutufahamisha kwamba kilichomuua Rais Hayati Magufuli ni Ugonjwa wa Moyo! Sasa haya ya COVID-19 yametoka wapi tena?!

Najiuliza
a) Hivi Rais Samia alikubalije kushiriki sinema inayopotosha taarifa ya serikali kuhusu jambo zito kama hili?!
b) Kwa nini hakudai hicho kipande kiondolewe?!!
Sitashangaa sana akitokea "mtetea chochote" akisema Rais Samia hakuiona script na kujiridhisha kwamba script ipo sahihi(if it is all acceptable) kabla ya uzinduzi wa movie huko Marekani! That would be a serious blunder and an act of gross incompetence on the part of her presidential advisers.
Kwa maoni yangu anayeongea kwenye hii script ni "Spin Master", na utetezi wake umekaa kipuuzi na hauna mashiko. Ashakum si matusi.
Iwapo anachosema "Spin Master" ndiyo hoja na majibu ya serikali (kwamba kilichosemwa kuhusu sababu ya kifo cha Magufuli ni COVID-19 ni kauli ya Wanaharakati (ambao wanatajwa kwa majina), mimi naomba kuuliza mbona sasa hawakusema (kwenye hiyo sinema ya Royal Tour) kwamba "kuna na Watanzania wengi wengine (na hata watu wa nje),ambao wanaamini Rais Magufuli kauawa?!

Rais Samia aliwahi kuwakemea kwa hasira wanaodai Hayati Rais Magufuli kauawa.Aakasemawwenye ushahidi kwamba Hayati Rais Magufuli kauawa wampelekee.

Baada ya sinema ya Royal Tour kulikoroga, ni wazi sasa kwamba kumbe kweli kuna umuhimu wa kuunda Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Wadanganyika tunataka kujua kwa uhakika: Je, Rais Magufuli alikufa kwa Ugonjwa wa Moyo (ambao haukusababishwa na mkono wa Mtu), alikufa kwa COVID-19 au aliuwawa?! Na alikufa lini exactly?!
Naamini Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ataona umuhimu huu. Asipuuze hili, hasa ikizingatiwa kwamba yeye ndiye Main Actor and Main Guide in this movie that has come up with this act of not only gross disrespect for our late President but also explosive provocation directed towards our Nation and all Tanzanians!
Namshauri pia Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan awe mwangalifu sana kutambua kwamba kifo cha Magufuli kimeligawanya Taifa... na hivyo afanye kazi ya ziada kutuunganisha badala ya kutugawa na kuruhusu Watu (na hasa) Viongozi kutonesha vidonda kila kukicha!

Kauli tata zimeshamiri nchini na zinaleta taharuki kila kukicha!
Mfano wa kauli tata!
a) "...ile ilikuwa Nidhamu ya woga tu!"
b) "Nchi imeharibiwa sana hii!"
c) "Sasa tunairudisha Tanzania Duniani!"
d) N.k.

Kwa bahati mbaya sana, kauli zinazotolewa kila kukicha kumkandia na kuchafua jina la Hayati Rais Magufuli zinachochea wasiwasi na hasira kwa baadhi ya Watanzania! Kama nilivyosema, zinaleta taharuki. Baadhi ya Wadanganyika tunajiuliza:
a) Kwa nini wenzie waliomo serikalini ndio wanaongoza mashambulizi?!
b) Kwa nini serikali ya Awamu ya 6 inaonekana ku-enjoy kuitupia madongo serikali ya awamu ya 5,yaani serikali ya Magufuli?Strangely, by more than 90%, serikali ya awamu ya 6 ndiyo serikali ya awamu ya 5!! Rais wa sasa ndiye alikuwa Makamu wa Rais Magufuli (na Mshauri wake Mkuu), Makamu wa Rais wa sasa ndiye alikuwa Waziri wa Fedha, Waziri Mkuu yuleyule, Mkuu wa Usalama wa Taifa yuleyule, IGP yuleyule, CDF yuleyule, Jaji Mkuu yuleyule n.k., n.k.
c) Kwa nini baadhi ya Viongozi wa serikali ya awamu ya 6 wanatoa matamshi ambayo yanaashiria kwamba kumbe (labda) walikuwa na Chuki kubwa kwa Rais, Mwenyekiti na Amiri Jeshi Mkuu wao, Rais Magufuli?!
d) Inakuwaje wale wote waliotofautiana na Rais Magufuli wamepandishwa vyeo na kauli zao na matendo yao yanaonyesha hawajutii walichofanya?! Ni kama vile wanatamba kwa "Ushujaa" wao wa kupambana na Rais Magufuli?! Wote tunazikumbuka zile audio clips...!!
e) Kwa nini baadhi ya viongozi wa "Matawi ya Juu" nchini wako bize kumbomoa Magufuli and his Legacy! Hivi hii well-coordinated attempt at "Character Assassination" ina lengo gani na faida gani?! Imesababishwa na nini?!
f) Kwa nini serikali na Chama hamumtetei Magufuli?! Saa zote ni kimya au mashambulizi tu! Kwa nini???
g) Hivi mmesahau kwamba mwenzenu amepumzika na hana tena Uwezo wa Kujitetea?
h) Hivi mmesahau kwamba Hayati Rais Magufuli ameacha Mke na Watoto ambao mnawaumiza sana kwa Mashambulizi yenu na/au kimya chenu? Kwa nini msiwaache walau wakauke machozi? Hivi mnasahau kwamba wao ni Bin Adam na wanawashangaa sana, to say the least?

Hivi ni sawa kweli kwamba Serikali, Chama Tawala, Wabunge, Mawaziri, Taasisi mbalimbali, Jumuia mbalimbali (mfano: UV-CCM, UWT, Wastaafu, n.k.)... wote mko kimya kabisa kila Hayati Magufuli anavyotukanwa na kudharirishwa?! Eti hata Viongozi wa Dini nao mko kimya! Mbona haiingii akilini?!

Unafiki huu, mmm...! Au labda ni ukondoo tu...?! Au ni guilty consciousness...?!

Sasa kama Magufuli alikuwa Rais mbaya kiasi hicho (which I don't believe anyway), inawezekanaje nyinyi washirika wake wote muwe wasafi kiasi hicho cha kuthubutu kumtupia mawe mazito hivyo Mwenzenu?!
a) Collective Responsibility iko wapi?!
b) Hivi nyie wengine mnaponaje?!
c) Hivi mnajua kwamba kwenye sheria za kimataifa iliwekwa precedent kwenye Nuremberg Trials (baada ya Vita Kuu ya Dunia)?! Kesi za Washirika wa Hitler...! Kwa kifupi, Mahakama ya Kimataifa iliamua kwamba Rais/Kiongozi Mkuu hawezi kuwa Shetani na Mawaziri/Wasaidizi wake wote wakawa Malaika...!! Never!
d) Mbona mnatufanya wadanganyika mafala?!
e) Mbona mnajichanganya hivyo?!

Narudia!
a) Wasiwasi na hasira za Wadanganyika zinasababishwa na mengi.
b) Mungu anayajua maovu yetu yote (sisi wote),huwezi kuficha,na hukumu zake ni za kweli.
c) Tusicheze na moto!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Hili bandiko lidumu milele
Ila nahisi wataliondoa muda si mrefu, ngoja idd ipite
 
•Hakuajiri
•Hakuongeza mishahara
•Alipora kwenye beareu de change
•Mauaji ya ajabu na watu kutupwa baharini
•Aliamrisha vijana kumtandika mbunge marisasi kama yote huku akizuia upepelezi na hata gharama za Tina na hata mafao ya hadhi yake
•Aliua demokrasia kwa 100%
•Alikuwa mbaguzi anayetenga baadhi ya maeneo ya taifa letu
•Alitudanganya watanzania KWAMBA tunajenga kwa fedha zetu wenyewe kumbe alikuwa akikopa sio soft loan Bali hard loan,mikopo ya ribs kubwa.
•Alikuwa hashauriki jambo ambalo ni la hatari Sana kwa taifa lolote.
•Kwa ubinafsi wake alitaka kuuwa umaarufu wa AICC,na hata kuiua Dar es salaam badala ya kutengene fair situation to both sides.
•Hasara kem kem kila upande kuanzia kwenye korosho mpaka ujenzi wa barabara zilizo duni (zinavimbaviba kila pahali)
•Ilikuwa likitokoe la hovyo ulikuwa ni mwiko kukosoa unaweza kupotea ghafla dadeki.
•Watu walinyanganywa fedha zao katika mabenki,walipona tu wale waliokuwa wanahifadhi fedha zao katika mabenki ya nje!
•Watu kwa mishtuko walikufa wengi kweli,wengi kukutwa wamejinyonga,wngine kwenye mito,nadhani matajiri wengi walikufa kipindi chake what scene behind no one know!
••Kwa kweli ilikuwa ni wakati wa kiza kinene mno kwa Tanzania hii,led by merciless leader ••
 
Back
Top Bottom