Watanzania tumejifunza nini kupigwa Risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump?

Watanzania tumejifunza nini kupigwa Risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump?

Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3041884View attachment 3041885

Sote naamini tunaendelea kufuatilia taarifa ambayo imeisimamisha Dunia nzima na kuitikisa pamoja na kuteka vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii ulimwenguni kwote kunakotokana na kupigwa risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump Rais mstaafu wa Marekani na mgombea Urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican alipokuwa akihutubia jukwaani huko Pennsylvania.

Taarifa za kupigwa kwa Donald Trump zimewashitua sana wamarekani na kuwaunganisha wanasiasa wote wakubwa Nchini humo wale wa Democratic na Republican,katika kulaani tukio hilo na kusema kuwa Marekani siyo mahali pa siasa za vurugu .Rais Bideni pia amelaani sana tukio hilo la kupigwa risasi kwa Mpinzani wake huyo Mkuu.

Tukio hilo limewakumbusha mbali sana hasa kwa kuzingatia kuwa wamarekani wamewahi kupoteza Marais wao baada ya kupigwa Risasi.na kwa mara ya Mwisho na kwa John F Kennedy aliyepigwa risasi miaka ya 60.

Sasa nataka kuwaulizeni Watanzania mmejifunza nini kupitia tukiona hilo? Mimi nimejifunza kuwa matukio ya aina hiyo yanaweza kutokea mahali popote pale na nchi yoyote ile bila kujali ni nchi maskini au nchi tajiri ,linaweza kutokea hata kama nchi ina teknolojia ya kiwango cha juu au intelijensia ya kiwango cha kimataifa.

Embu fikiria Marekani yenye kila aina ya teknolojia ya kisasa,zana za kisasa, miundombinu bora,ujuzi na maarifa ya kila kitu lakini walishindwa kung'amua tukio hilo na kulizima kabla ya risasi kumpata mgombea Urais jukwaani.

Nimejifunza pia uharaka wa vyombo vyake vya ulinzi katika kumuokoa mtu kutoka eneo la tukio na kumkabili adui,maana adui aliuwawa palepale.lakini ukiangalia namna walinzi walivyokimbia haraka kwenda kumzingira Trump pale jukwaani huku wengine wakiendelea kulizinguka jukwaa zidi ya adui ,namna walivyokuwa wakimtoa jukwaani na kumkimbiza haraka kwenye gari.

Umahiri wa kumtungua adui bila kupiga risasi hovyo hovyo ambazo pengine zingeleta madhara kwa wengine,lakini pia umakini wa kutumia Risasi na slaha zao.maana walinzi wale walijibu mapigo kwa kumuelekea adui na siyo kupiga risasi zisizo na maana au kuleta taharuki zaidi.

Lakini pia namna watu waliokuwa mkutanoni walivyokaa chini kwa uharaka sana kujihami.hapa ni somo zuri sana maana kama wangeamua kukimbia huku na huku pengine kungetokea maafa au vifo vingi kutokana na kukanyagana .lakini wamarekani wale nimeona wote walilala chini kwa haraka sana huku vyombo vyao vikimkabili adui kwa uhodari mkubwa sana.

Lakini pia watanzania hususani wanasiasa tuwe wasikivu sana pale vyombo vya ulinzi hususani jeshi la polisi linapowanyima kibali chama kufanya mkutano sehemu fulani ,kwa sababu ya taarifa za kiintelijensia kwa sababu za kiusalama.

kwa sababu nimekuwa nikiona baadhi ya vyama hususani CHADEMA wakinyimwa kibali kwa sababu ya intelijensia au taarifa kuonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani au hali kutokuwa shwari au kutokea kwa uvunjifu wa amani . CHADEMA huanza kuleta kukejeli au kutoa lugha za dharau au ujuaji.

Mwisho tuache kuitupia lawama serikali kwa kila jambo kuwa imehusika.hii ni kwakuwa unakuta mtu kapotea au kakutwa na majereha halafu watu kwa mihemuko wanaanza kuropoka kuwa serikali imehusika.jambo ambalo unakuta hawana ushahidi wala uthibitisho wa aina yoyote ile ambao unaweza kutolewa mahakamani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ambacho hujajifunza we chawa ni kwamba the assassin's have been assasinated and injured. Wakati huku waliompiga risasi TL wanakula nyongeza za mishahara na vyeo
 
Ambacho hujajifunza we chawa ni kwamba the assassin's have been assasinated and injured. Wakati huku waliompiga risasi TL wanakula nyongeza za mishahara na vyeo
Unawafahamu? Kama unawafahamu kwanini usitoe ushahidi wako?
 
Miaka zaidi ya 60 ya Uhuru bado mnajifunza tu
Wengine stendi ya bus hakuna vyoo wanajisaidia kwenye ndoo, bado mnajufunza tu
Poleni sana endelea kujifunza
Kwani hivyo vyoo huwa unaingia bure? Si unalipia? Kama unalipia kwanini usiende kwenye vyoo vingine vya kulipia?
 
Mheshimiwa Rais alitoa pole na hata Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan ambaye kwa wakati huo alikuwa ni makamu wa Rais alifika mpaka Nchini kenya hospitali aliyokuwa amelazwa kumjulia hali
Mh. Mama saw aliend
Aliend kwa iman yake binafs
Mbona hakugharamiw matibabu yake kam kweli mzee baba alitoa pole , acha unafiki man
 
Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3041884View attachment 3041885

Sote naamini tunaendelea kufuatilia taarifa ambayo imeisimamisha Dunia nzima na kuitikisa pamoja na kuteka vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii ulimwenguni kwote kunakotokana na kupigwa risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump Rais mstaafu wa Marekani na mgombea Urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican alipokuwa akihutubia jukwaani huko Pennsylvania.

Taarifa za kupigwa kwa Donald Trump zimewashitua sana wamarekani na kuwaunganisha wanasiasa wote wakubwa Nchini humo wale wa Democratic na Republican,katika kulaani tukio hilo na kusema kuwa Marekani siyo mahali pa siasa za vurugu .Rais Bideni pia amelaani sana tukio hilo la kupigwa risasi kwa Mpinzani wake huyo Mkuu.

Tukio hilo limewakumbusha mbali sana hasa kwa kuzingatia kuwa wamarekani wamewahi kupoteza Marais wao baada ya kupigwa Risasi.na kwa mara ya Mwisho na kwa John F Kennedy aliyepigwa risasi miaka ya 60.

Sasa nataka kuwaulizeni Watanzania mmejifunza nini kupitia tukiona hilo? Mimi nimejifunza kuwa matukio ya aina hiyo yanaweza kutokea mahali popote pale na nchi yoyote ile bila kujali ni nchi maskini au nchi tajiri ,linaweza kutokea hata kama nchi ina teknolojia ya kiwango cha juu au intelijensia ya kiwango cha kimataifa.

Embu fikiria Marekani yenye kila aina ya teknolojia ya kisasa,zana za kisasa, miundombinu bora,ujuzi na maarifa ya kila kitu lakini walishindwa kung'amua tukio hilo na kulizima kabla ya risasi kumpata mgombea Urais jukwaani.

Nimejifunza pia uharaka wa vyombo vyake vya ulinzi katika kumuokoa mtu kutoka eneo la tukio na kumkabili adui,maana adui aliuwawa palepale.lakini ukiangalia namna walinzi walivyokimbia haraka kwenda kumzingira Trump pale jukwaani huku wengine wakiendelea kulizinguka jukwaa zidi ya adui ,namna walivyokuwa wakimtoa jukwaani na kumkimbiza haraka kwenye gari.

Umahiri wa kumtungua adui bila kupiga risasi hovyo hovyo ambazo pengine zingeleta madhara kwa wengine,lakini pia umakini wa kutumia Risasi na slaha zao.maana walinzi wale walijibu mapigo kwa kumuelekea adui na siyo kupiga risasi zisizo na maana au kuleta taharuki zaidi.

Lakini pia namna watu waliokuwa mkutanoni walivyokaa chini kwa uharaka sana kujihami.hapa ni somo zuri sana maana kama wangeamua kukimbia huku na huku pengine kungetokea maafa au vifo vingi kutokana na kukanyagana .lakini wamarekani wale nimeona wote walilala chini kwa haraka sana huku vyombo vyao vikimkabili adui kwa uhodari mkubwa sana.

Lakini pia watanzania hususani wanasiasa tuwe wasikivu sana pale vyombo vya ulinzi hususani jeshi la polisi linapowanyima kibali chama kufanya mkutano sehemu fulani ,kwa sababu ya taarifa za kiintelijensia kwa sababu za kiusalama.

kwa sababu nimekuwa nikiona baadhi ya vyama hususani CHADEMA wakinyimwa kibali kwa sababu ya intelijensia au taarifa kuonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani au hali kutokuwa shwari au kutokea kwa uvunjifu wa amani . CHADEMA huanza kuleta kukejeli au kutoa lugha za dharau au ujuaji.

Mwisho tuache kuitupia lawama serikali kwa kila jambo kuwa imehusika.hii ni kwakuwa unakuta mtu kapotea au kakutwa na majereha halafu watu kwa mihemuko wanaanza kuropoka kuwa serikali imehusika.jambo ambalo unakuta hawana ushahidi wala uthibitisho wa aina yoyote ile ambao unaweza kutolewa mahakamani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe zwazwa umezunguka kote shida yako ni kuishambulia Chadema,ndiyo maana huteuliwi kwa vile huna akili.
 
Wewe punguani una mamlaka gani ya kuifanya CCM ifanye au isifanye uovu? Wewe si chochote ndani ya CCM. Huna uwezo hata wa kuzuia au kuamrisha choo cha ofisi za CCM kisafishwe au kibakie kichafu, halafu unajifanya una uwezo wa kuyajua yanayotendwa na CCM gizani.

Kikwete aliyekuwa Mwentekiti wa CCM Taifa, alisema CCM hawawezi kuachiana hata chupa ya maji mezani, akimaanisha wengi wao wapo tayari hata kuuana. Hayati Magufuli, Mwenyekiti wa CCM Taifa aliwahi kunena kuwa ndani ya CCM kuna majizi! Wewe nguchiro, usiyetambulika na yeyote ndani ya CCM unathubutu kutamka kuwa CCM haiwezi kutenda uovu, wakati chama kimajaa watu wenye historia chafu za kufanya mauaji. Fuatilia historia ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, mkoa wa Mwanza, na wengine wengi, ndiyo utajua hii CCM ni chama cha kishetani kwa kiwango gani.
CCM ni chama safi na ndio maana kinaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania kuliongoza Taifa letu. ni chama kilichobeba maono ya kulipeleka mbele Taifa letu na kumfanya kila mtanzania mwenye bidii ya kazi na uchapa kazi kutimiza ndoto zake.CCM ndio nuru na Taa ya Taifa letu.ikizima ni sawa na kuliingiza Taifa gizani na hatarini .
 
Mh. Mama saw aliend
Aliend kwa iman yake binafs
Mbona hakugharamiw matibabu yake kam kweli mzee baba alitoa pole , acha unafiki man
Lissu alichangiwa pesa hadi na wabunge wa CCM kule Bungeni.
 
Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3041884View attachment 3041885

Sote naamini tunaendelea kufuatilia taarifa ambayo imeisimamisha Dunia nzima na kuitikisa pamoja na kuteka vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii ulimwenguni kwote kunakotokana na kupigwa risasi na kujeruhiwa kwa Donald Trump Rais mstaafu wa Marekani na mgombea Urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican alipokuwa akihutubia jukwaani huko Pennsylvania.

Taarifa za kupigwa kwa Donald Trump zimewashitua sana wamarekani na kuwaunganisha wanasiasa wote wakubwa Nchini humo wale wa Democratic na Republican,katika kulaani tukio hilo na kusema kuwa Marekani siyo mahali pa siasa za vurugu .Rais Bideni pia amelaani sana tukio hilo la kupigwa risasi kwa Mpinzani wake huyo Mkuu.

Tukio hilo limewakumbusha mbali sana hasa kwa kuzingatia kuwa wamarekani wamewahi kupoteza Marais wao baada ya kupigwa Risasi.na kwa mara ya Mwisho na kwa John F Kennedy aliyepigwa risasi miaka ya 60.

Sasa nataka kuwaulizeni Watanzania mmejifunza nini kupitia tukiona hilo? Mimi nimejifunza kuwa matukio ya aina hiyo yanaweza kutokea mahali popote pale na nchi yoyote ile bila kujali ni nchi maskini au nchi tajiri ,linaweza kutokea hata kama nchi ina teknolojia ya kiwango cha juu au intelijensia ya kiwango cha kimataifa.

Embu fikiria Marekani yenye kila aina ya teknolojia ya kisasa,zana za kisasa, miundombinu bora,ujuzi na maarifa ya kila kitu lakini walishindwa kung'amua tukio hilo na kulizima kabla ya risasi kumpata mgombea Urais jukwaani.

Nimejifunza pia uharaka wa vyombo vyake vya ulinzi katika kumuokoa mtu kutoka eneo la tukio na kumkabili adui,maana adui aliuwawa palepale.lakini ukiangalia namna walinzi walivyokimbia haraka kwenda kumzingira Trump pale jukwaani huku wengine wakiendelea kulizinguka jukwaa zidi ya adui ,namna walivyokuwa wakimtoa jukwaani na kumkimbiza haraka kwenye gari.

Umahiri wa kumtungua adui bila kupiga risasi hovyo hovyo ambazo pengine zingeleta madhara kwa wengine,lakini pia umakini wa kutumia Risasi na slaha zao.maana walinzi wale walijibu mapigo kwa kumuelekea adui na siyo kupiga risasi zisizo na maana au kuleta taharuki zaidi.

Lakini pia namna watu waliokuwa mkutanoni walivyokaa chini kwa uharaka sana kujihami.hapa ni somo zuri sana maana kama wangeamua kukimbia huku na huku pengine kungetokea maafa au vifo vingi kutokana na kukanyagana .lakini wamarekani wale nimeona wote walilala chini kwa haraka sana huku vyombo vyao vikimkabili adui kwa uhodari mkubwa sana.

Lakini pia watanzania hususani wanasiasa tuwe wasikivu sana pale vyombo vya ulinzi hususani jeshi la polisi linapowanyima kibali chama kufanya mkutano sehemu fulani ,kwa sababu ya taarifa za kiintelijensia kwa sababu za kiusalama.

kwa sababu nimekuwa nikiona baadhi ya vyama hususani CHADEMA wakinyimwa kibali kwa sababu ya intelijensia au taarifa kuonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani au hali kutokuwa shwari au kutokea kwa uvunjifu wa amani . CHADEMA huanza kuleta kukejeli au kutoa lugha za dharau au ujuaji.

Mwisho tuache kuitupia lawama serikali kwa kila jambo kuwa imehusika.hii ni kwakuwa unakuta mtu kapotea au kakutwa na majereha halafu watu kwa mihemuko wanaanza kuropoka kuwa serikali imehusika.jambo ambalo unakuta hawana ushahidi wala uthibitisho wa aina yoyote ile ambao unaweza kutolewa mahakamani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ilikuwa MBINU ya Trump na Chama chake kupata mvuto. Haiwezekani risasi iparaze sikio na shavu, MBINU ya kumpunguza Biden makali ya kampeni. Trump mwenyewe alikodi wahuni wakaingia Ikulu kwa kuruka ukuta, Trump hayuko sawa kichwani.
 
Hiyo ilikuwa MBINU ya Trump na Chama chake kupata mvuto. Haiwezekani risasi iparaze sikio na shavu, MBINU ya kumpunguza Biden makali ya kampeni. Trump mwenyewe alikodi wahuni wakaingia Ikulu kwa kuruka ukuta, Trump hayuko sawa kichwani.
Tuviache vyombo vya ulinzi na usalama vya Marekani vifanye uchunguzi na kutoa ripoti rasmi.
 
Back
Top Bottom