- Thread starter
- #21
Mwaka juzi nilipita huko Iramba nikaambiwa huyo jamaa homeboy wako ni mchawi kweli kweli.Mwigulu anategemea uchawi na umafia uchwara kubakia na ubunge wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka juzi nilipita huko Iramba nikaambiwa huyo jamaa homeboy wako ni mchawi kweli kweli.Mwigulu anategemea uchawi na umafia uchwara kubakia na ubunge wake.
Mwaka juzi nilipita huko Iramba nikaambiwa huyo jamaa homeboy wako ni mchawi kweli kweli.
Ulikuwa na miaka mingapi enzi ya utwala waNyerere?Humu kuna thread inasema "Rais Samia atoa shilingi bilioni 300 kukamilisha ujenzi majengo ya Serikali Dodoma". Hii ilishamiri zaidi kuanzia awamu ya tano na hii ya sita ninaona kama inaendeleza kwa kasi sana.
Utakuta hata Diwani na Mwenyekeiti wa Serikali za Mtaa anapoongelea fedha zilizotolewa na Serikali au jambo lililofanywa na Serikali wanaliunganisha na kutendwa na Mheshimiwa Rais.
Hii kwangu mimi imekuwa inanisumbua. Badala ya kusema tu kuwa Serikali imefanya hili au imetoa fedha basi fashion imekuwa ni jambo hilo limefanywa na Mhe. Rais au kitu hicho kimewezeshwa na Mhe. Rais.
Watanzania tumekuwaje? Hivi tumeshindwa hata kuelewa kuwa wananchi ndiyo kila kitu na wapo juu hata ya Rais? We are the people to make or unmake the government.
Yaani kadri siku zinavyoenda tunashindwa sana kujitambua! Na Ndugai kuomba msamaha wa namna ile ndiyo katengeneza precedent mbaya kabisa.
Kumchomoa hapo ni kazi basi. So akishinda 2025 atakuwa mbunge kwa miaka 20? Du hebu komaeni bhana!Jamaa ni mshirikina balaa.
Humu kuna thread inasema "Rais Samia atoa shilingi bilioni 300 kukamilisha ujenzi majengo ya Serikali Dodoma". Hii ilishamiri zaidi kuanzia awamu ya tano na hii ya sita ninaona kama inaendeleza kwa kasi sana.
Utakuta hata Diwani na Mwenyekeiti wa Serikali za Mtaa anapoongelea fedha zilizotolewa na Serikali au jambo lililofanywa na Serikali wanaliunganisha na kutendwa na Mheshimiwa Rais.
Hii kwangu mimi imekuwa inanisumbua. Badala ya kusema tu kuwa Serikali imefanya hili au imetoa fedha basi fashion imekuwa ni jambo hilo limefanywa na Mhe. Rais au kitu hicho kimewezeshwa na Mhe. Rais.
Watanzania tumekuwaje? Hivi tumeshindwa hata kuelewa kuwa wananchi ndiyo kila kitu na wapo juu hata ya Rais? We are the people to make or unmake the government.
Yaani kadri siku zinavyoenda tunashindwa sana kujitambua! Na Ndugai kuomba msamaha wa namna ile ndiyo katengeneza precedent mbaya kabisa.
Kumchomoa hapo ni kazi basi. So akishinda 2025 atakuwa mbunge kwa miaka 20? Du hebu komaeni bhana!
Du. Hata imekuwasha kweli kweli!Kwani tatizo Liko wapi. Wewe unapata Shida gani. Kama lawama zote unampa Kiongozi why not kumpa na maneno matamu na tena unaweza Kuta hata afuatilii.
Nachoona hapa, usiyejitambua Ni wewe, unahangaika na Minor things. Fanya kazi mkuu. Ishi maisha yako. Acha kuteseka. Tumwombee baba „ Mandela“ wa Tanzania. By the way kuna watanzania Pia wana Mandela wao. Vipi hujakereka.
2025 itakuwa hivyo tena?Huwa hashindi bali anatangazwa mshindi.
Hafai kabisaMwigulu anategemea uchawi na umafia uchwara kubakia na ubunge wake.
2025 itakuwa hivyo tena?
Du! nitakuunganisha na jamaa yangu umpe moyo ana mpango wa kumng'oa hiyo 2025Ni mbali kidogo, japo sitegemei hali tofauti.
Du! nitakuunganisha na jamaa yangu umpe moyo ana mpango wa kumng'oa hiyo 2025
Nashangaa kwa nini rais anawapenda wanaojikomba kwake?Mh Rais nilimsikia, na mimi najua kuwa urais ni Taasisi. Anatakiwa rais akanushe hadharani kuwa hana mfuko binafsi alipoweka fedha kuleta maendeleo. Kama hakemei basi anapenda kusifiwa sanaWatanzani ni wa hovyo mda mrefu tu,,, wewe tu umechelewa kujua