Watanzania tumjulie hali Mr Nice

Watanzania tumjulie hali Mr Nice

Watanzania tunakuwaje lakini?

Leo hii Mr Nice ni mgonjwa sisikii watanzania hasa vyombo vya habari pamoja na wasanii wakimfatilia kumjulia hali hata kujua anaendeleaje au hata yamkini kujua mahitaji ya ugonjwa wake angalau kusaidia kimnya.

Wanasubilia yakitokea ya kutokea utasikia redio station zote wanapiga nyimbo zake huku wakimwaga sifa kedekede kwake na maneno tuliyazoea ati pengo lake halitozibikaa Mara ohoo alikuwa mtu wa watu nk.

Magazeti nayo page zote za mbele zitapambwa na habari zake. Nasema kama mmekaa kimnya kipindi hiki mkae kimnya milele nisisikie. Mtauliza Mimi ni nani hill haliwahusu. Ila sio vema kuendelea na huu unafiki kwa mtualiyetoa vibao mmurua kama kuku kapanda baiskel bata kavaaa laizoni.

Nasema nanyi pia mliomtumia kipindi cha campaign 2005 Leo hii mmetupa hamna habari naye kabisaa. Wengine ni wasanii mko kimnya nasikia na nimeota wengine mmepewa mlungura wa million 50 hata kutoa kidogo kwa mwenzenu mko kimnyaa kabisaa.

Nimeona picha yake akiwa hospital hali yake si nzuri kwa maadili siwezi weka hapa ila anahitaji maombi yetu na kujitoa kwetu kusaidia sio yatokee ya kutoakea ndio tuanze unafiki Mara Ohoo alikuwa rafiki yangu pengo lake halitozibika, halitozibika bibi yako?

Shenzy

Our society is insane..
 
Mr nice ndo nn??ni yule anayegombea urais wa tiketi ya ccm au sio ??
 
Aseme kwanza kama yeye ni ccm au ukawa

Kama ni ccm wampeleke Lumumba au chimwaga kama ni ukawa tutamchangia


ukiona mtu anawabagua watanzania kwa ukabila, rangi, vyama vyao hafai kuwa kiongozi katika nchi hiii
 
Msanii akikodiwa kuburudisha kwenye mikutano ya kisiasa tusimhukumu.Pale anakuwa yupo kazini.Tusibaguane.Sote ni wa Tz.
 
Jamaa kila siku afya yake inazidi kudhoofika,what's wrong with this mr takeu?
IMG-20160226-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom