Pre GE2025 Watanzania Tumlinde na Kumtetea Kwa Nguvu zetu zote Rais Samia Zidi ya Waroho Wa Madaraka

Pre GE2025 Watanzania Tumlinde na Kumtetea Kwa Nguvu zetu zote Rais Samia Zidi ya Waroho Wa Madaraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Attachments

  • Screenshot_20240914-204936_Instagram.jpg
    Screenshot_20240914-204936_Instagram.jpg
    333.7 KB · Views: 4
Hata iwe ni indirect tax bado wewe huwezi kuchangia chochote kile maana sizani hata kama unaweza kwenda kununua chochote kile dukani zaidi ya kuwa ombaomba tu.
Omba omba ni wewe unayeweka namba zako za simu ili utupiwe makombo. Mimi naweza kukulisha na kukuvisha kwa miaka mitano ndiyo maana sijipendekezi kwa mafisadi wa nchi hii. Mbwiga wewe.
 
Mwasambwa na msigwa na mafwele au ndo wanahusika na kuteka mbona wanatumia nguvu nyingi kutetea??
 
Lucas Mwashambwa hata Samia naye ni mroho wa madaraka kama sio hivyo basi asigombee ameshatumikia vya kutosha kuanzia kuwa Makamu wa Rais mpaka kuwa Raisi mfululizo kwa miaka 10​
Watanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama Samia
 
Watanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama Samia
Chawa ndiyo mnamtaka kwani akishashiba anawatupia makombo
 
Omba omba ni wewe unayeweka namba zako za simu ili utupiwe makombo. Mimi naweza kukulisha na kukuvisha kwa miaka mitano ndiyo maana sijipendekezi kwa mafisadi wa nchi hii. Mbwiga wewe.
Wewe sizani hata kama unauwezo wa kujilisha kwa mlo mmoja tu kwa siku.wewe ni omba omba tu
 
Watanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama Samia
Huo ndio uroho wa madaraka sasa. Apishe na wengine
 
Back
Top Bottom