hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kwani wewe huoni namna zinavyotatuliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe huoni namna zinavyotatuliwa?
Tukana yote umalize kama unayo.Unataka matusi siyo?
Mimi ni msema kweli na siyo chawaCHawa kama chawa...katika ubora wake..
Omba omba ni wewe unayeweka namba zako za simu ili utupiwe makombo. Mimi naweza kukulisha na kukuvisha kwa miaka mitano ndiyo maana sijipendekezi kwa mafisadi wa nchi hii. Mbwiga wewe.Hata iwe ni indirect tax bado wewe huwezi kuchangia chochote kile maana sizani hata kama unaweza kwenda kununua chochote kile dukani zaidi ya kuwa ombaomba tu.
Wanalifokoa sanaAlaah kumbe boga😄
Watanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama SamiaLucas Mwashambwa hata Samia naye ni mroho wa madaraka kama sio hivyo basi asigombee ameshatumikia vya kutosha kuanzia kuwa Makamu wa Rais mpaka kuwa Raisi mfululizo kwa miaka 10
Mungu akusamehe sana na akuponye maradhi yako.Wanalifokoa sana
Chawa ndiyo mnamtaka kwani akishashiba anawatupia makomboWatanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama Samia
Chawa jikeMungu akusamehe sana na akuponye maradhi yako.
Bado5tena utapata tuu,piga ngonjera kila iitwapo Leo!Kwani wapi nimesema natafuta uteuzi ndugu yangu mtanzania? Ningekuwa natafuta uteuzi basi ningekuwa nimeshakata tamaa na kuacha kabisa kuingia na kuandika chochote kile humu jukwaani.
Wewe sizani hata kama unauwezo wa kujilisha kwa mlo mmoja tu kwa siku.wewe ni omba omba tuOmba omba ni wewe unayeweka namba zako za simu ili utupiwe makombo. Mimi naweza kukulisha na kukuvisha kwa miaka mitano ndiyo maana sijipendekezi kwa mafisadi wa nchi hii. Mbwiga wewe.
Huo ndio uroho wa madaraka sasa. Apishe na wengineWatanzania ndio tunamtaka na tumemuomba sana agombee Urais hapo mwakani.ndio maana umeaoma makundi mbalimbali yamemchangia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais hapo Mwakani.hata ndani ya CCM tumesema fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Mama Samia
Ulishawahi kuona najianika kama unavyofanya wewe ? Utaolewa kabla ya siku zakoWewe sizani hata kama unauwezo wa kujilisha kwa mlo mmoja tu kwa siku.wewe ni omba omba tu
😂😂Wanalifokoa sana
Kwa hiyo unakataa kuwa wewe siyo ombaomba?Ukishawahi kuona najianika kama unavyofanya wewe ? Utaomewa kabla ya siku zako
Ni Mama Samia Suluhu Hasssan hadi 2030Huo ndio uroho wa madaraka sasa. Apishe na wengine