Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hana shida anatafuta mumeHuyo Kilaza aliesoma kwa kuungaunga kwa ushawishi wa Baba yake mpaka ikapelekea ikawa nongwa kuandika neno kilaza hapa jukwaani kisa tuu tunamkera Baba yake aliewaita watoto wa Watanzania wenzake vilaza?
Hakuna adui wakudumu vyuma vikaumane..naunga mkono.
..tupeleke posa toka kwa Mdude Nyagali.
Hakuna adui wakudumu vyuma vikaumane
Huyu aliyedisco UDOM akavushwa ndo unamsifia hapa?TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!
Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.
Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?
Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.
Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Na michembeTumpe airport ya Chato awe anaanikia udaga.
Wewe inaamini ktk makaratasi? Wangapi wana vyeti lkn vichwani patupu - MTU anaweza kudisco kwa sababu zilizo nje ya uwezo wakeHuyu aliyedisco UDOM akavushwa ndo unamsifia hapa?
Uchawa huko ccm mpka vikongwe..huyo aliefeli shule nae kilaza tu kma mshuaTeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!
Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.
Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?
Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.
Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Kilaza aliesoma kwa kuungaunga kwa ushawishi wa Baba yake mpaka ikapelekea ikawa nongwa kuandika neno kilaza hapa jukwaani kisa tuu tunamkera Baba yake aliewaita watoto wa Watanzania wenzake vilaza?
TeamJf,
Salaam na hongereni sana kwa mfungo MTUKUFU na QARESMA!
Nimefuatilia mazungumzo ya binti wa hayati John Joseph Pombe Magufuli katika kumbukizi ya kifo cha baba yake nimegundua ni MTU bright sana.
Anaonekana kuwa MTU wa kaliba ya baba yake (seriousness, appearance, na word build-up). Ni zawadi gani tunayoweza kumpa kijana huyu mdogo ambaye marehemu baba yake ameacha mchango mkubwa kwa taifa?
Viongozi huandaliwa lkn pia ni innate quality.
Msakila Kabende
Kakonko - Tanzania
Kuna nchi hata moja duniani isiyolipa viongozi wastaafu na familia zao? Wewe ikitokea ukawa Rais utafuta utaratibu huo?Bunge litunge sheria ya Mafao ya watoto wa maraisi kama ilivyofanya kwa wenza ya viongozi πππ. nchi ya wajinga na kutoa zawadi tu. Sio apambana kweli!π‘π‘π‘π‘
π€£π₯΄Kwa kitu gani alichotufanyia?
Nchi imekuwa na wajinga wengi hadi inasikitishaNchi hii kwa kupeana peana jamani? Mpe nyumba yako.
Huyo ni mke wangu.acha tamaaNajitolea kuwa mumewe
Hustahili hata kuwa mume wa Amba rutiNajitolea kuwa mumewe