Watanzania tumpigie kura Diamond kijana wetu

Watanzania tumpigie kura Diamond kijana wetu

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau tuache malumbano ambayo hayana tija ebu tujivunie cha kwetu Diamond ni mwanetu. Kijana wetu mdogo wetu mtanzania mwenzetu ebu tujivunie vya kwetu tofauti zetu tuweke pembení.

Hakuna mtu asiyejua awa vijana maisha waliyotoka mpaka kufikia hapo kwa hiyo tusiwakatishe tamaa tuzidi kuwa nao katika kila hatua Tanzania moja nasisi ni wamoja.

Kura kwa Diamond. Naomba anayejua namna ya kumpigia kura aweke hapa tuhamasishane.

Mungu mbariki kijana wetu mtanzanià mwenzetu.
1622545233083.png
 
We Mataga,
Usiseme watanzania
Jisemee wewe na familia yako.
 
Mzee ndege juzi ile wadau walichekecha muhamala wa wewe kupata kilaji kidogo?
Manyoya....ila Kuna captain wangu hukuhuku kitaa alisimamia show yote hatimaye tukala Bata mpk club tulienda mixer nyama choma
 
Kwani na yeye ameingia kwenye siasa
 
wadau tuache malumbano ambayo ayana tija ebu tujivunie cha kwetu diamond ni mwenetu. kijana wetu mdogo

Wewe kama ni muislamu wakweli na unasali n.k, basi mpe nasaha huyu ndugu yetu, naona mnazidi kumpa sapoti kwenye mambo yasiyompendeza Mwenyezi Mungu. Mrudieni Mungu, na acheni mambo ya upuuzi uasiyompendeza Mungu.
 
Back
Top Bottom