Watanzania, tumpongeze Yusuf Manji kwa kuwa mzalendo na kurudi nyumbani. Rais Samia asichelewe, amuite Ikulu wazungumze

Watanzania, tumpongeze Yusuf Manji kwa kuwa mzalendo na kurudi nyumbani. Rais Samia asichelewe, amuite Ikulu wazungumze

Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Nini kilimsibu Manji mpaka ahame nchi? Au ni yule yule marehemu aliowakimbiza akina Lissu na Lema?
 
Huyu ndio alimbambikizia mtoto wa Mengi drugs kwa Kua alikua na ugomvi na dr Mengi ili kijana akauliwe India , alichofanyiwa na jiwe ni karma

sasa ameludi Nchini Atatii sheria bila shurti kuna kipindi hii Nchi ilikua kama yake jiwe alijua kumnyoosha huyu muhindi fisadi
 
Mimi naona hata asipolipa kodi sawa ,kama akiweza kutoa ajira million 8 ,ambazo hizi takataka ccm zimekuwa zikitoa ahadi hewa ,basi apewe na ulinzi kabisa ...


Miaka mitano tunateseka tuu ,no ajira ,hakuna kuongeza mishahara ,biashara ngumu ,yale magenge ya dodoma ni kusisituza tu watu wajiajiri bila mazingira wezeshi...

Apewe na aridhi bure kabisa ...

Nasema uongo ndugu zangu

Kwa ajila zipi za mishahara ya elfu 80 ni bora vijana wakauze line kwenye mitandao ya Simu wanapata zaidi kuliko ajila za huyo tapeli
 
alipe kwanza kodi ya quality cenre. muhindi tangu lini akawa mzalendo africa. hao watu nimefanya nao kazi nawajua vzr sana. nenda kwa mo uangalie mishara ya wahindi na waswahili. ngozi nyeusi mnapenda sana kushoboka na ngozi nyeupe.
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Naunga mkono hoja. Wakulima wa mbaazi, ufuta, alizeti na mazao mengine huko Mtwara, Lindi, Singida, Dodoma hii ni habari njema kwenu.
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
🤝🤝🤝
 
Usalama?

Ngoja tutafakari haya yafuatayo:

kwani yeye ana shida gani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama? Je wafanya biashara wote walipiga hodi ikulu ili kutamkiwa na kuhakikishiwa usalama na rais? Yeye ana upekee upi ambao inalazimu rais amhakikishie usalama?
Rostam alikuwa na upekee gani hadi akaigeuza Ikulu kama sebule yake kipindi cha Mwendazake? Yeye ndiye alikuwa Mfanyabiasha pekee nchi hii? Na akaamrishwa kabisa na Mwendazake akagombee ubunge Morogoro
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Kwahiyo Mama Samia amemrudisha mwizi?
 
Kwanza jiulize alikwenda wapi? Huko alikokuwa ni kama nani. Ukishafahamu kwamba huyu ni mchumaji mali tu na kuondoka ndo utaelewa ujimnga wako. Kuna watu muna ujinga wa kudumu! Yaani nchi ya watu milioni 60 inahangaika na mtu mmoja. Muhindi! Unaamini Manji ni muhimu sana! unaamini Yanga ni kitu muhimu sana!
Roho ya kimaskini, kwa nini watu maskini mnawachukia sana watu waliofanikiwa?
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Kama ni mwizi Mahakama zetu zimeshindwa nini kum convict? Manji yupo Tanzania na yeye ni kizazi cha tatu katika ukoo wao.

Babu yake alikuwa ndiye mmiliki wa Quality Garage pale Pugu Road ilivyokuwa inachonga mabodi ya mabasi yote nchini kuanzia UDA, KAMATA, SCANDINAVIA nk.

Mpaka mwaka 2015 makampuni ya Yusuf Manji chini ya Quality Group yalikuwa yanaajiri Watanzania zaidi ya 2000. Na alikuwa ndiye mnunuzi na exporter mkubwa wa mbaazi na ufuta.

Kama alikuwa na matatizo Basi yalipaswa yatatuliwe kwa maongezi na siyo kwa kumuundia kesi FAKE ili tu aishi rumande.

Unam traumatize Manji, anaondoka, wafanyakazi 2000 wanapoteza kazi, wakulima wanashindwa kuuza mbaazi, unakosa Kodi hata kama ni Kodi kiduchu. Je hiyo ni akili au mavi?

Hizi chuki za Mwendazake dhidi ya matajiri ndizo zimemkasirisha MUNGU wetu, ndiyo maana Mwendazake amekufa licha ya kuwa chini ya ulinzi wa hali ya juu na Madaktari full-time.
 
Chuki na visasi ni ugonjwa mbaya sana.
Chuki ni dhambi inayomua muhusika haraka Sana.RIP usimpenda kaja
 
Ndani ya Utawala wa shetani tza imepoteza jumla ya matajiri 6 kutokana na msongo wa mawazo.
 
Tuliambiwa MANJI anauza madawa ya kulevya
Anauza madawa ya kulevya wapi ? Yako wapi hayo madawa
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Hii nchi Nani sio mwizi?? Haya Sawa , Manji alibanwa watanzania tulipata nn sasa zaidi ya Kila kitu kuwa terrible na uchumi kushuka huku tukidanganywa umepaaa....katika wizi huo aliokuwa anafanya Manji maisha yalikuwa mswano Sana ...... Kusema mtu Fulani anaibia nchi na kumbana vilivyo inatakiwa impact yake ionekane Kwa wananchi, tofaut ya kuibiwa na kutokuibiwa iwe wazi ...Kwa Tz ni vise versa..... Heri kipindi cha mafisadi na majambazi kuliko kipindi cha shujaa
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Kama ni mwizi walishindwa nini kumfunga jela wakati Magufuli mwenyewe ndio alikuwa ni DPP na Jaji vilevile aliyewafunga jela watu wa Chadema kiuonevu kabisa.
 
Back
Top Bottom