Watanzania tumuombee kwa Mungu kijana Diamond

Mleta mada wacha papara.. tulia, jifunze kuandika vizuri ndo uje hapa

mbona roho juu juu kama kaptula ya askari wa kikoloni? tuliza wenge mzee
 
nilipoona heading tuu,nikajua huyu tayari tunampoteza kwa ngoma...
 
Vp walishawasha wasafi fm???
 
Diamond mpambe tu..jiulize kwa nini tangazo la Diamond Karanga linachezwa clouds???kwa jeuri ya Ruge angelifyekelea mbali na kurudisha vijisenti vyao..Ila kwa nini linaendelea kuwepo ???
Acha ushamba na ujinga wewe ile ni biashara uliona wapi hera inakataagwa kwani anaitangaza bureeee
 
Mbona Alli anazo kampuni ila apendi Matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…