Watanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani

Watanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
 
Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha

Suala muhimu si chama kipya, bali chama kinachomaanisha na kuishi katika kuleta na kusimamia:
1: Maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa.
2: Maendeleo ya wananchi kwa kuweka mazingira bora.
3: Haki za msingi kwa kila mwananchi kuzingatiwa kwenye michakato ya kimaisha.

Hivyo, tunahitaji watu sahihi.
 
Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Hivi wafikiri kuanzisha chama ni kama kuazisha bustani ya nyanya , unastahili kabidhiwa kwa D.C wa kimataifa ili akupige shoo mpaka kisogo kilegee
 
Suala muhimu si chama kipya, bali chama kinachomaanisha na kuishi katika kuleta na kusimamia:
1: Maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa.
2: Maendeleo ya wananchi kwa kuweka mazingira bora.
3: Haki za msingi kwa kila mwananchi kuzingatiwa kwenye michakato ya kimaisha.
Ndio maana tunahitaji chama kitakachoweza kusimamia 👆🏼
 
Hivi wafikiri kuanzisha chama ni kama kuazisha bustani ya nyanya , unastahili kabidhiwa kwa D.C wa kimataifa ili akupige shoo mpaka kisogo kilegee
Embu tueleze kuna kazi gani kubwa hiyo ?
 
Hatuna chama cha upinzani, especially CDM ndo hakuna kitu..
 
Huitaji chama bali watu sahihi. Ndani au nje ya unapopafikiria. Kuanzisha chama kipya si jibu sahihi.
Hivi kwenye hivi vyama vilivyopo vya upinzani utawezaje kupata watu sahihi ?
 
Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
We ni ccm tu unajichanganya
 
Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
True
 
waanzisha vyapa mfano wa act walivyo sasa
Screenshot 2024-07-26 090436.png
 
Hivi kwenye hivi vyama vilivyopo vya upinzani utawezaje kupata watu sahihi ?
Watu wapo kote, CCM na vyama vya upinzani. Tatizo ni mifumo ndani ya vyama kuleta watu sahihi, malengo ya kila mmoja na vyama na pia kukengeuka.

Tujitambue vyema wanaoongozwa na wanaoongoza katika kufikia malengo ya msingi. Msingi wa kufika kwenye malengo unatoka kwenye misukumo miwili: toka kwa mwongozaji na muongozwa.

Ukisema hayanihusu utajikuta nanga inatua usipotarajia.
 
Back
Top Bottom