Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha