Hakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Hivi wafikiri kuanzisha chama ni kama kuazisha bustani ya nyanya , unastahili kabidhiwa kwa D.C wa kimataifa ili akupige shoo mpaka kisogo kilegeeHakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Ndio maana tunahitaji chama kitakachoweza kusimamia 👆🏼Suala muhimu si chama kipya, bali chama kinachomaanisha na kuishi katika kuleta na kusimamia:
1: Maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa.
2: Maendeleo ya wananchi kwa kuweka mazingira bora.
3: Haki za msingi kwa kila mwananchi kuzingatiwa kwenye michakato ya kimaisha.
Huitaji chama bali watu sahihi. Ndani au nje ya unapopafikiria. Kuanzisha chama kipya si jibu sahihi.Ndio maana tunahitaji chama kitakachoweza kusimamia 👆🏼
Embu tueleze kuna kazi gani kubwa hiyo ?Hivi wafikiri kuanzisha chama ni kama kuazisha bustani ya nyanya , unastahili kabidhiwa kwa D.C wa kimataifa ili akupige shoo mpaka kisogo kilegee
Hivi kwenye hivi vyama vilivyopo vya upinzani utawezaje kupata watu sahihi ?Huitaji chama bali watu sahihi. Ndani au nje ya unapopafikiria. Kuanzisha chama kipya si jibu sahihi.
Subiri mapovu toka wa wachagga walioko humuHatuna chama cha upinzani, especially CDM ndo hakuna kitu..
We ni ccm tu unajichanganyaHakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Kabla sijakujibu tz ipo na vyama vingapi? Why chama kipya badala ya kuongeza nguvu ,akili mpya katika vyama vilivyopo?Embu tueleze kuna kazi gani kubwa hiyo ?
TrueHakuna ubishi ya kwamba watanzania wanajitaji chama cha kuweza kuwa na sera mmbadala dhidi ya chama tawala.
Hata hivyo ,vyama vilivyopo vimekosa kukubalika kwa watanzania walio wengi kutokana na yafuatayo:
1: Act Wazalendo ,wako zaidi Tanzania Visiwani
2: Chadema kimenenea baadhi ya mikoa haswa walikotoka viogozi wakuu wa chama.Kule Zanzibar hawapo
3: CUF ilimezwa na ACT Wazalendo
Nawasilisha
Watu wapo kote, CCM na vyama vya upinzani. Tatizo ni mifumo ndani ya vyama kuleta watu sahihi, malengo ya kila mmoja na vyama na pia kukengeuka.Hivi kwenye hivi vyama vilivyopo vya upinzani utawezaje kupata watu sahihi ?
DC wakimataifa ni yule jamaa mfupi anaye ongea kama comedian auHivi wafikiri kuanzisha chama ni kama kuazisha bustani ya nyanya , unastahili kabidhiwa kwa D.C wa kimataifa ili akupige shoo mpaka kisogo kilegee
DC wa kimataifa yupo Kisarawe , mie Dc wa mtaani kwangu , ukileta mchezo unapigwa shoo mpaka miguu inaingia Tumboni, dadekiDC wakimataifa ni yule jamaa mfupi anaye ongea kama comedian au