Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Mwaka jana nakumbuka walifunguwa cha vw, nafikiri sasa ndio ulikuwa wakati muafaka wakufufuwa cha matairi na kile cha rejeta walao tukawauzie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
joto la jiwe njoo hapa upewe a taste of your own bitter medicine na your own enlightened brothers.😀😀😀
 
That gay. He is a product of a burst condom from a failed abortion. That gay thinks he has a better IQ to lecture us on FDI. Never ever give your knowledge to such fools. Some people were born for no reason. We need to eliminate them.


But mulisaaa dear,where do you get energy to call Kenyans gay?when its on the record that you are the gay boy stalking Kenyans on this forum.
 
That gay. He is a product of a burst condom from a failed abortion. That gay thinks he has a better IQ to lecture us on FDI. Never ever give your knowledge to such fools. Some people were born for no reason. We need to eliminate them.[/QUOTE


You should not stoop to that level mulisaaa,I guess you can be a good boy if only you stopped being gay ,and asking Kenyans to fvck your loose boypussy.
 
Tatizo lenu vijana ni kupiga kelele tu pasipo evidences. Watulalio starabika wanabishana kwa hoja.
Hebu tembelea TZ Private Sector
TZ Private Sector (@tpsftz) | Twitter



Annabel! acha kua mpunga,huyo mwenzako anachokueleza ni wazi kabisa .Huu ushabiki wa kijinga unaokufanya usione naomba ungeachana nao na uwangalie hali halisi Tanzania, najua unajua haya mambo lakini tatizo unamuona kama mpinzani wako.
 
Kwanza kukosea jina langu wakati limeandikwa hapo juu na hapo hapo umequote comment yangu inaonesha namna ulivyo mvivu wa kufuatilia mambo. Kwa kukosea kuandika jina langu umekuwa disqualified na kwa mantink hiyo maelezo yako siyo authentic. Unaropoka tu ili siku iende.

acha kua mpunga,huyo mwenzako anachokueleza ni wazi kabisa
Hapa mwenzetu unaonesha ni namna gani ulivyo bendera fuata upepo. Huna maamuzi yako binafsi. Na huenda hujui hata kile jamaa yako alichokuwa anaongelea.
Sisi vijana wazalendo hatuwezi kukubali nyie watu wachace muweze kupotosha jamii ya TZ kwa kuropoka ropoka tu. Unapongelea Private Sector unatakiwa ueleze kiundani na uelewe. Kwanza kabisa Tanzania inaongoza hapa Africa Mashariki FDI. Fanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kuweka comment zisizo na maana.

Huu ushabiki wa kijinga unaokufanya usione naomba ungeachana nao na uwangalie hali halisi Tanzania
Naendelea kusisitiza siwezi nikakubali vijana ambao sio wazalendo wakapotosha. Kwanza wewe ndiye unayeleta ushabiki wa kijinga maana huna facts. Unaandika maneno meeengi yasiyo na evidences. Mimi ninakupatia references wewe unapayuka tu.
ajua unajua haya mambo lakini tatizo unamuona kama mpinzani wako
Ona sasa unakorukia hii ni kuonesha namna ulivyo weak katika kujadiliana. Tunataka wapinzani wenye vision nasiyo wapinzani kama nyie vibaraka wa adui wa nchi yetu. Lengo la upinzani ilikuwa ni kuchochea maendeleo. Lakini nyie wenzetu ni kupinga tu na kudhalilisha watu.
 
These companies have been in Kenya but have never uplifted poor kenyans.

Look at the many coffee and tea estates that occupy most fertile kenya land owned by Britain which repatriate profits leaving kenyans poor

narrow minded
 
Kwanza kukosea jina langu wakati limeandikwa hapo juu na hapo hapo umequote comment yangu inaonesha namna ulivyo mvivu wa kufuatilia mambo. Kwa kukosea kuandika jina langu umekuwa disqualified na kwa mantink hiyo maelezo yako siyo authentic. Unaropoka tu ili siku iende.


Hapa mwenzetu unaonesha ni namna gani ulivyo bendera fuata upepo. Huna maamuzi yako binafsi. Na huenda hujui hata kile jamaa yako alichokuwa anaongelea.
Sisi vijana wazalendo hatuwezi kukubali nyie watu wachace muweze kupotosha jamii ya TZ kwa kuropoka ropoka tu. Unapongelea Private Sector unatakiwa ueleze kiundani na uelewe. Kwanza kabisa Tanzania inaongoza hapa Africa Mashariki FDI. Fanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kuweka comment zisizo na maana.


Naendelea kusisitiza siwezi nikakubali vijana ambao sio wazalendo wakapotosha. Kwanza wewe ndiye unayeleta ushabiki wa kijinga maana huna facts. Unaandika maneno meeengi yasiyo na evidences. Mimi ninakupatia references wewe unapayuka tu.

Ona sasa unakorukia hii ni kuonesha namna ulivyo weak katika kujadiliana. Tunataka wapinzani wenye vision nasiyo wapinzani kama nyie vibaraka wa adui wa nchi yetu. Lengo la upinzani ilikuwa ni kuchochea maendeleo. Lakini nyie wenzetu ni kupinga tu na kudhalilisha watu.

uzalendo mimi sio mzalendo kama ndio hivyo fyuuuuuuuuuuuu

upofu na uzoba alafu jitu lenyewe masikini haliwazi why me? pole sana
 
Nimekueleza hujui hata maana ya FDI. Kisha nikakueleza fanya utafiti. Kiwanda kilichojengwa siyo kimoja tu.
Rejea #90
Umepewa list ya viwanda vitano:-
1. Kiwanda cha Goodwill cha ceramic cha vigae. Largest ceramia factory in East Africa.
2. Kiwanda cha TwyFord cha ceramic cha vigae Chalinze
3. Kiwila steel cha chuma and largest in East Africa.
4. Kiwanda cha kleesoft cha detergents Chalinze
5. Kiwanda cha Vegea. Viwanda ni vingi sana

Nikakupatia viwanda vilivyoko mkoa wa pwani:- Comment #99

1. Maweni Limestone Ltd-Kisemvule
2. Unifly Corporation Ltd-Dundani
3. Blanket&Textile Manufacturing Co.Ltd-Kiguza
4. Knauf Gypsum Ltd-Kisemvule
5. China Goldrich -Shungubweni
6. Mass Plastic Ltd - Mwanambaya
7. East Star Co.Ltd - Dundani
8. Goodwili Tanzania Ceramics Co.Ltd
9. Kilua Steel Co. Ltd
10. Kisarawe Cement Company
11. Prayosha Industries Company
12. Yuko’s Enterprises East Africa Limited.

Vyote hivyo ni foreign investors

Sasa tukikuita wewe ni mwehu tutakuwa tumekosea?
hizo tu?
 
These companies have been in Kenya but have never uplifted poor kenyans.

Look at the many coffee and tea estates that occupy most fertile kenya land owned by Britain which repatriate profits leaving kenyans poor
the same way all your Gold is in UK with Acacia?
 
Tanzania investors wataongea nanyi lugha ipi?Si mtapigwa chenga kwenye drafting contracts hohoho,manake kiingereza kimeshawapiga chenga,huku kenya tumejanjaruka kwa ukwasi wa kujua kila neno la kiingereza na pia tuna ujanja mwingi kupindukia!
Una hasara kichwani mwako

Mungu akusamehe
 
Lakini bado unaishi 'dunia' nyingine, tofauti na ninayoishi.



Kweli kabisa. Ndiyo maana nakuona upo delusional. Kutofautiana mitazamo hakuna shida. Ila mtu akiwa delusional, kama mlivyo pro-Magufuli na pro-CCM government, basi ni tatizo. Huu ni mtazamo wangu tu.



Dude, if you don't see them PROBLEMS (and not challenges as you say), then you are proving my above point.
Bruv, CCM has RULED this country since Uhuru. And for 56+ years, I have seen nothing but absolute poverty, miseries, crooks and corrupt politicians ripping off our country. Now, we are even in the worst case, under this maniac of a president. But, some people like you, see this cuckoo as messiah!!!

But, hey, if you are rolling with them crook CCM politicians, you can definitely see A LOT OF OPPORTUNITIES. As bunch of you are just OPPORTUNISTS. Riding with any of the CCM crooks when they are in power. Way to go bruv.
You're writing nonsense

No any Empiricism in you're argument rather than toilet words
 
Matatizo sio nishati,Matatizo wawekezaji hawaiamini Tanzania,Tanzania sio sehemu salama kwa kuwekeza,tizama yaliyomkuta Dangote,...

Siasa anazoleta Magufuli zimepitwa na wakati,siasa za kufunga na kungua wapinzani,leo mpizani huyu yuko sero,leo yule yuko Polisi,Jana mwandishi huyu kaokotwa nk,unafikiri nchi za wawekezaji hawazioni hizi habari!??..

Unafikria kwanini Uhuru Kenyata ameamua kuyamaliza na Odinga,Uhuru na Odiga wameamua kukaaa mezani kuyamaliza ili waiendeleze nchi yao,!!

Kwetu Tanzania ndio kwanza Raisi anapiga vijembe watanzania wenye mawazo mengine ya kuongoza,badala ya kukaa na vyama vya upinzani kutatatua tafauti zao il tuijenge nchi yetu yeye ndio kwanza anafanya kila mbinu kuviua vyama vya upinzani!!,..

unafikiri haya yote hayaonekani!??unafikiri nani atakuja kuwekeza katika nchi kama Tanzania!!??
Hujui kitu kuhusu Investment records za Tanzania ,kwa kukusaidia nenda TIC

Na kukujuza zaidi Leo na kuendelea tuko China kwenye mkutano na matajiri Wa China kuhusu uwekezaji Tanzania na wengi wamekubali kuja kuwekeza kwenye ,viwanda vya processing na madawa baridi

Just wait and see , Soon Tanzania will shake the World
 
Mimi siongelei CCM ya Nyerere. Ninaongelea post-Nyerere CCM. Hii ndiyo kansa ya taifa letu.
Umesema vizuri kuhusu China. Hivi unajua China na Tanzania zilikuwa kwenye viwango sawa vya umaskini in the 1950-1970s? Lakini leo hii, China inaisaidia Tanzania, huku Tanzania ikiendelea kuwa maskini.

Walioshiriki kuivuruga nchi hii, mmoja ndiyo yupo Ikulu leo, huku wengine tukiambiwa tuwaache kuwasema. Halafu mtu unakuwa shabiki wa CCM na viongozi wake.
Ongea facts sio maneno ya mtaani ,tatizo unachanga siasa na Policy ya Tanzania ya viwanda

Hivi nyie vichwa vyenu vimemeza nin?
 
Hana shida yoyote? Kwa hiyo ufisadi wake wa nyumba za serikali, DSM Ferry, mikataba ya ujenzi wa barabara, na maamuzi yake yaliyolitia hasara taifa (Furahisha petrol station, samaki wa Magufuli, na Sterling saga) hauna na hayana shida yoyote?

Nimekuwa nikisema humu, kwenye taifa lenye watu wanaojielewa, Magufuli alipaswa kuwa jela na siyo Ikulu.

Ati hana kosa lolote. Kwa yeye kuwa CCM, na kukubali mabadiliko hayo, kunamfanya naye awe sehemu ya tatizo. Maana sijawahi kumsikia akisema hadharani kwamba hakubaliana na mabadiliko hayo (kabla ya urais). Na wala sasa sijamsikia hata akiongelea suala la Azimio la Arusha na miiko ya viongozi. If he is genuine, sasa si ana power ya kulipa taifa muelekeo? Lakini anafanya nini: ameamua kuwa above the law, na kufanya mambo gizani (kujitoa OGP) ili wananchi tusifahamu. Sasa hiyo miiko ya viongozi itapatikanaje kama mambo yanafanyika gizani?

Kwenye list of shame mbona hakuwepo??
Halafu yule mwenye theluji kichwani alivyoingia kwenu cdm ndiyo akawa malaika.
 
FDI = Foreign direct Investment kwa lugha nyepesi ya kiswahili ni "uwekezaji wa moja kwa moja wa kampuni za kigeni"....,lakini FDI ina maana zaidi ya hiyo..

Je wewe unajua maana halisi ya "FDI" nini faida na hasara zake,ukichukulia tafsiri halisi ya "FDI" utaona kuwa kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" investement,..Je unajua kwanini !??

Aisee kama ni hivyo mimi sioni haja ya kuendelea na mjadala na wewe. Yaani Dangote Cement si FDI?? A private firm which came in the country with the capital to invest in cement industry!!?? Duu ngoja nikuache.
 
Back
Top Bottom