Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Kuwa mjinga sii ujinga. Ujinga ni kutokubali wewe mjinga huku mambo inaonekana wazi. Jikubali utolewe ujinga aisee.
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment
 
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment


Hata neno enlightenment unalielewa kweli wewe mtu wa Uswazi? Kubali uelimishwe.
 
Rafiki mwenzangu nakuona hujui chochote kitu. Vitu walivyoviweka hapo ni mipango rafiki. Hakuna kiwanda cha aina hiyo kilichopo huko Kenya. Hata sisi mipango ipo mingi tu.
Kwa maana hiyo mfano unaotaka kuutumia kwa kenya is nonsense maaana hakuna investment yoyote iliyofanyika hapo kenya. Ni makaratasi tu.

Pili: Nimekueleza usiwe unakurupuka kupiga kelele kwenye mitandao vitu usivyovijua.
Idadi ya investment ni kubwa mno na huwezi ukaweka orodha. Na kama hiyo habari huiamini sasa unataka uamini kitu gani yaani unataka nianze kukuwekea orodha hapa? Nikuwekee orodha ya kutengeneza magari?

Okay ngoja nikusaidie kitu kidogo tu:
Soma hapa viwanda vilivyopo pwani:

http://www.pwani.go.tz/storage/app/uploads/public/58d/a0f/987/58da0f9877ad3735577342.pdf

Mtwara:
Kiwanda cha Saruji cha Dangote
View attachment 738283

Tanga:
View attachment 738284

Bado bomba la mafuta kiutoka Hoima kwenda tanga



Nimekupatia mifano michache. Kila mkoa Tanzania kuna big investment

Soma hapa chini upate mchanganuo
Foreign investment in Tanzania - Santandertrade.com
Mkuu asante kwa taarifa.. Hawa wachina wa SINOMA ujenzi wa kiwanda chao Tanga ulianza? Nimeona kwenye link yako kuwa ilikuwa waanze mwezi May mwaka jana.
 
Kaka Quinine sisi hatuimbi Viwanda, bali tunajenga viwanda, lengo letu na Kenya ni tofauti sana, Sisi mbiu yetu kuwa vyerahani vinne ni viwanda tofauti na wenzetu wanaowaza big factory

Kupata uwekezaji mkubwa kama huo ni lazima Lobbying ya nguvu ifanyike, na hao Big company kama Peugeot, Iveco, Ashok Leyland nk kuwapata mabosi wake ni level ya Marais, sio Mwijege akanegotiate na Iveco, JK alijishusha kwa Dangote na matokeo tukayaona,
Kama raisi hataki kutoka nje kuongea na hao Big companies unategemea Big project kutoka wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Viwanda vinaongelewa mdomoni,kuliko uhalisia,hatuko serious!
 
Mbona nasisi tunavyo vingi tu
tapatalk_1521473380520.jpeg
 
Mkuu mimi kweli ni mjinga lakini badi naona nakusikia,katika hizo link yako hizo zote "proposal" tu,kama unajua maana "proposal",kiwanda kinachofanya kazi ni kimoja tu cha Dangote nacho kina matatizo ya uendeshaji..mara gesi hivi mara gesi vile

Link yako ya pili hivyo sio viwanda vya " foreign direct Investment's",sasa Bakharesa nae kawa katika mkumbo wa "FDI"...mbona unaanza kunitiia wasi wasi mkuu😀
Hivi viwanda havifanyi kazi nimwage pi cha za YouTube ?? Usitufanye mafala
1. Kiwanda cha Kiwila Steel. Largest steel factory in East Africa.

2.Kiwanda cha assembly plant cha tractor za Ursus.
3. Kiwanda cha vigae/ ceramic cha Goodwill largest in East Africa.

4. Kiwanda cha vigae/ceramic cha Twyford chalinze.
5. Kiwanda cha nguo. Ujenzi wa viwanda vingine saba vya nguo unaendelea.
 
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment

Huyu si ni yule bricks and mortar engineer??
Consultant wa Nairobi BRT?
 
Embu twende polepole acha povu.
Vile viwanda vya kuunganisha magari Kenya vimeanza kufanya KAZI au mipango?

Hivi unaelewa the real meaning of FDI? MAANA unatilia SHAKA kuhusu FDI ya Dangote cement AMBAYO ni pure and straight monies FROM outside the country's boundaries. Na ukiangalia viwanda vyote vya kuunganisha magari thamani yake haizidi kiwanda cha Dangote.
FDI = Foreign direct Investment kwa lugha nyepesi ya kiswahili ni "uwekezaji wa moja kwa moja wa kampuni za kigeni"....,lakini FDI ina maana zaidi ya hiyo..

Je wewe unajua maana halisi ya "FDI" nini faida na hasara zake,ukichukulia tafsiri halisi ya "FDI" utaona kuwa kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" investement,..Je unajua kwanini !??
 
FDI = Foreign direct Investment kwa lugha nyepesi ya kiswahili ni "uwekezaji wa moja kwa moja wa kampuni za kigeni"....,lakini FDI ina maana zaidi ya hiyo..

Je wewe unajua maana halisi ya "FDI" nini faida na hasara zake,ukichulia tafsiri hasa ya "FDI" utaona kuwa kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" investement,..Je unajua kwanini !??
Acha propaganda. Unatuuliza sisi kuwa kiwanda cha Dangote sio FDI. You are just a big fool
Hili sio jukwaa laakili za mange kimambi
 
FDI = Foreign direct Investment kwa lugha nyepesi ya kiswahili ni "uwekezaji wa moja kwa moja wa kampuni za kigeni"....,lakini FDI ina maana zaidi ya hiyo..

Je wewe unajua maana halisi ya "FDI" nini faida na hasara zake,ukichulia tafsiri hasa ya "FDI" utaona kuwa kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" investement,..Je unajua kwanini !??
Sema kama unajua pimbi wewe
 
Kaka Quinine sisi hatuimbi Viwanda, bali tunajenga viwanda, lengo letu na Kenya ni tofauti sana, Sisi mbiu yetu kuwa vyerahani vinne ni viwanda tofauti na wenzetu wanaowaza big factory

Kupata uwekezaji mkubwa kama huo ni lazima Lobbying ya nguvu ifanyike, na hao Big company kama Peugeot, Iveco, Ashok Leyland nk kuwapata mabosi wake ni level ya Marais, sio Mwijege akanegotiate na Iveco, JK alijishusha kwa Dangote na matokeo tukayaona,
Kama raisi hataki kutoka nje kuongea na hao Big companies unategemea Big project kutoka wapi?
Umemaliza, chukua kahawa boss
 
Mtasema yoote ila jamaa kawabana sana hadi mnatapika hovyo. Hii yote ni husda tu dhidi ya rais kana kwamba kwenu ni huko nje
 
Back
Top Bottom