Watanzania tunaimba viwanda mdomoni, Kenya wanajenga viwanda

Kuwa mjinga sii ujinga. Ujinga ni kutokubali wewe mjinga huku mambo inaonekana wazi. Jikubali utolewe ujinga aisee.
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment
 
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment


Hata neno enlightenment unalielewa kweli wewe mtu wa Uswazi? Kubali uelimishwe.
 
Mkuu asante kwa taarifa.. Hawa wachina wa SINOMA ujenzi wa kiwanda chao Tanga ulianza? Nimeona kwenye link yako kuwa ilikuwa waanze mwezi May mwaka jana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Viwanda vinaongelewa mdomoni,kuliko uhalisia,hatuko serious!
 
Hivi viwanda havifanyi kazi nimwage pi cha za YouTube ?? Usitufanye mafala
1. Kiwanda cha Kiwila Steel. Largest steel factory in East Africa.
2.Kiwanda cha assembly plant cha tractor za Ursus. 3. Kiwanda cha vigae/ ceramic cha Goodwill largest in East Africa.
4. Kiwanda cha vigae/ceramic cha Twyford chalinze. 5. Kiwanda cha nguo. Ujenzi wa viwanda vingine saba vya nguo unaendelea.
 
Tatizo lako siyo mjinga pekee ni mpumbavu. Mpumbavu ni yule anajifanya anajua kumbe kichwa kimejaa funza tu. Ni wewe hapa. Usilazimishe tufanane mimi ninakuzidi mbali mno kwenye level ya enlightenment

Huyu si ni yule bricks and mortar engineer??
Consultant wa Nairobi BRT?
 
FDI = Foreign direct Investment kwa lugha nyepesi ya kiswahili ni "uwekezaji wa moja kwa moja wa kampuni za kigeni"....,lakini FDI ina maana zaidi ya hiyo..

Je wewe unajua maana halisi ya "FDI" nini faida na hasara zake,ukichukulia tafsiri halisi ya "FDI" utaona kuwa kiwanda cha Dangote hakina hadhi ya kuitwa "FDI" investement,..Je unajua kwanini !??
 
Acha propaganda. Unatuuliza sisi kuwa kiwanda cha Dangote sio FDI. You are just a big fool
Hili sio jukwaa laakili za mange kimambi
 
Sema kama unajua pimbi wewe
 
Umemaliza, chukua kahawa boss
 
Mtasema yoote ila jamaa kawabana sana hadi mnatapika hovyo. Hii yote ni husda tu dhidi ya rais kana kwamba kwenu ni huko nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…