Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nzuri hiiNgoja ni comment chochote pengine siku za usoni nitakuwa na uhitaji wa hizi details, by the way thanks a lot mkuu kwa moyo huo kutoa maelezo yote hayo
scholarship zipo nyingi sana china mkuuMkuu inawezakana nikapata schoralship ya degree? ikawa ni full paid kuanzia tution fee na accomodation?
scholarship zipo nyingi sana china mkuu
Upo saburb gani mkuu tusalimiane?Safi sna kiongozi watanzania wote tungekuwa km ww leo tungekuwa mbali sna kiongozi mie binafsi nipo Cape Town South Africa
Hili swali lako aisee!!! Scholarship iwe tena ya kulipia?ni free?
Mkuu sina maana hiyo, yaan maana yangu ni kuwa no tution fee na malazi ni bure?Hili swali lako aisee!!! Scholarship iwe tena ya kulipia?
Shukrani chief
OK, nakuongezea na hii.Mkuu sina maana hiyo, yaan maana yangu ni kuwa no tution fee na malazi ni bure?
Wabheja namhala...Shukrani chief
Wabheja namhala...
ndiyomkuu RMB ni Yuan?
Hata hiyo ya pili?!Ngosha nimesoma kwa umakini but ada na malazi lazima ulipie
Hata hiyo ya pili?!
Nimempata ila ana kitambi sio cha nchi hii. Mi hata sina kitambi[emoji41] [emoji4]Nitafutie mkuu