Watanzania tunaomba mjifunze tofauti ya ‘Meter’ na ‘Square meter’, mnatutesa sana wafanyabiashara kufundishana mambo ya darasa la pili

Hivi book lote like la katiba huwa linafundishwa shuke ya msingi? Hivyo ni vitu vya chuo na law school, hapa tunazungumzia vitu ambavyo ni very basic na vinafundishwa shuke ya msingi, elewa neno MSINGI
 
Tume soma basi mkuu,acha hasira.
 
Hii naondoka nayo.

#YNWA
 
Hivi book lote like la katiba huwa linafundishwa shuke ya msingi? Hivyo ni vitu vya chuo na law school, hapa tunazungumzia vitu ambavyo ni very basic na vinafundishwa shuke ya msingi, elewa neno MSINGI
Kwaiyo wew hupaswi kufaham katiba yako kisa hufundishwi yote shule??? Ulitaka shule ikupe katiba yote kwani izo measurement watu wanafundishwa vipimo vyote?? Pengine hata haki zako huzijuwi. Hata mim sikulaumu kwa kutofahamu ndo mana nkasema vitu vyingine huezi kulaum mtu kwa kutojuwa
 
Elewa neno (basic) msingi kujua haki zako za kiraia hio ndio basic ndio maana civics inafundishwa shuleni, kujua vipimo ni basic pia ndio maana unafundishwa shuleni pia tena kuanzia shule ya msingi.

Kujua katiba yote hiyo ni taaluma ya Sheria na sio basic.
 
Iyo basic ya katiba yako wewe unaifahamu kwa kiasi gani.
 
kuna vitu vya msingi ndani ya katiba vinavyofundishwa shule ya msingi, na hivyo wote tunapaswa kuvijua, mfano muundo wa serkalinnk. ila sio katiba yote.., katiba yote ni specialisation ya wanasheria.
 
Kuwa na degree sio kujua Kila kitu.

Jifunze kumuelewesha vizuri mteja wako, huduma nzuri kwa wateja ni moja ya jukumu lako
 
Nilimuuliza msomi mmoja
"What is pitch diameter ya hili eneo ?
Aligigongongagonga na neno "pitch"mpaka nikamnyang'anya tape meter na kumounyesha njia ya kupima pitch diameter
Sasa kila msomi atakuwa anajua hiyo pitch diameter? Kila mtu ana eneo lake alilosomea. Mtu amesomea lugha au lishe, unategemea atajua hayo mavipimo kweli?
 
Punguza ujuaji na makasiriko mkuu.
 
Punguza ujuaji mkuu
 
Kuna watu wazima hata orodha tu hawajaishika kichwani na aana degree hawa unawachukuliaje?
Sasa unaishika orodha ili ikusaidie nini? Yaani dunia ya sasa tools zilo kila mahala haswa kwenye simu yako, kwa nini ujiipe shida utafikiri bado unaishi zama za wakina Vasco Dagama
 
We're matakro nini... Tutafute pesa kwa tabu wakat wa kutumia tujisumbue kujua vitu vya kipuuzi visivyo tuhusu... Nikija dukani kwako ili upate pesa yangu lazima uniambie tofauti ya jogoo na kuku ni ipi hutaki baki na ushubwada wako...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakumbuka kuna kipindi nmemwambia mtu nilitembea Mile kama kumi hv. Akawa hajaelewa umbali anatolea tu mifano kama hapa mpaka wap hv? Ikabdi nimwambie kwa KM nd akaelewa
Sasa mile ni kipimo tusichokitumia sana haswa kama ilivyo kwa hectare na futi, sisi tunatumia Km. Hata kwenye vipimo vya uzito tunatumia zaidi Kg na sio Lbs. Ukienda US bado wanatumia kipimo cha galoni kwenye vimiminika (mafuta) ambacho ni takribani lita 4 kwa nchi zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…