Sio hiyo tu. Hata hesabu za ujazo za shule ya msingi za volume na area hawazijui. Na wanataka kuagiza mzigo wa brenda china. Ukiwaaambia ujazo ama cbm ya contena ni kiasi kazaa hawaelewi.
Mpaka unajiuliza shule walienda somea ujinga. Mtu ana degree ila bado hajui hesabu za shule ya msingi. Na bado unakuta huyo mtu ana division one na digrii anayo
Mpaka unajiuliza shule walienda somea ujinga. Mtu ana degree ila bado hajui hesabu za shule ya msingi. Na bado unakuta huyo mtu ana division one na digrii anayo