Watanzania tunapaswa kuambiwa na kujua ukweli kwamba Gesi inayochimbwa Mtwara si yetu

Sioni hata sababu ya kuyaweka hapa coz hamkuwasikiliza Sasa hivi itasaidia nn. Ukisema niache Siasa hv huko bungeni tunaingia wananchi wote? Lazima ujue wananchi wanaweza kuwa na mawazo mazuri sana ila yasiwe na nguvu kwa sababu wapo wawakilishi wenye nguvu kubwa ya kupitisha mikataba ya maendeleo kuliko mm mwananchi. Nachoshauri wananchi tuwe nyuma ya wale wabunge wanaotoa maoni sahihi kuhusu Jambo Fulani na ikiwezekana tukosoe siriaz pale tunapoona mikata ya kijinga inapitishwa na wenye nchi.
 

Huu ni Ukweli Mchungu labda ndio maana watu wanahangaika kutafuta mbadala!
Ingawa bado hakuna Mbadala!
Umeeleza Vyema Mnooo
Labda Itokee miujiza Huko Mbele ndio Pascal Mayalla anaweza amua vinginevyo...
Lakini kwa hali ya sasa Ameeleza kila kitu!
 

Kudos Kaka...
Uneelezea kitaalam sana
Umempa na Multiplier effects ya bwawa kusisimua sector nyingine kiuchumi!
Kifuoi Kwenye Gas kuna Watu wachache watafaidika Kielimu zao za gas na wengine Kupiga,Ila Kwenye Bwawa la maji watafaidika watanzania wengi,Kitu ambacho wachache wataumia sababu hawatafaidika Over.
 
Hii yote kikwete kama alivyotufanya ktk escraw na nyinginezo!
Mikataba hii ya gas ilipitishwa kwa hati ya dharura na bunge letu dhaifu sana kupindukia.
Unapokuwa na chombo dhaifu na goigoi cha kutunga sheria haya ndio matokeo yake.
 

Its orchestrated na viongozi wetu wenyewe,...anae hujumu mwafrika ni mwafrika mwenzie, hamna mtu mwingine, wewe umejiuliza hilo swali, mimi nakupa swali gumu zaidi, kwann waafrika tunaishi maisha ya ajabu sana despite miaka 60 ya uhuru? Bado zaidi ya asilimia 70 ya watu wanaishi umasikini wa kutisha sana, nyumba za ajabu, maji ya shida, miji yetu haijapangwa, elimu duni that will never transform us or our mindset, uharibifu wa mazingira, etc, just ask yourself why?

Mungu ametupa resources nyingi sana, zimetusaidia nini? Zaidi sana viongozi wanaingia mikataba ya kuumiza vizazi na vizazi kikubwa wao wamepata 10%, kila bara duniani wamefanya progresses kubwa sana, waarabu, asians, etc except ngozi nyeusi tunahangaika na matatizo yale yale!!!!!! dhahabu, gas, ardhi, na resources zitakazo patikana in future hazitatukomboa. Ndio nature yetu, ni ngumu sana kupata viongozi wanaumia kuona vijana hawana kazi, watu mamillion wnaishi nyumba za tope, it doesnt bother them, political position kwao ni jackpot kutajirika. Ila mimi nasema tu Ole wao, sababu hawa masikini wanavyohaingaika na kufa maisha ya shida wakati Mungu aliweka resources hapa ziwasaidie, Ole wao, sababu kila nafsi pumzi itamtoka na hukumu inatusubiri, machozi ya hawa watu hayatapita bure.

after all, miaka 50 au 100 ijayo nani atakuwepo???, kiburi chao na kujiona wao wanafaa sana kuliko hawa masikini kitakuwa wapi? lakini hukumu ya Mungu haitawaacha, kila dawa feki au pesa ya kununua dawa unayokula, masikini anakufa kwa kukosa huduma hiyo damu inakusubiri. Furahi leo una madaraka lakini adhabu ya kaburi haitakuacha.
 

Uko sawa, ila tusisubiri kaburi, wezi ni familia chache watu wachache kama millioni moja hadi tatu. Waliobaki ni wananchi maskini. Tukiamua tunawajibisha. Watanzania kwa hulka zao ni watu wanaopenda amani na kuwasikiliza viongozi wao. Ila sio waoga Harakati za ukombozi kusini, barani Afrika, vita vya Uganda, mchango, ujasiri wa Mtanzania unaonekana.

Tatizo ni systems (mifumo) yetu zinatupa viongozi dhaifu sana. Suluhisho ni kubadilisha mifumo yetu, katiba mpya.

Si vigumu kufanya hivyo wote tusipoenda kazini wiki moja tu serikali inaanguka, sit down protest, maandamano ya amani nchi nzima. Tatizo la maandamano huwa yanaingiliwa na serikali na wahalifu.
 
Hii yote kikwete kama alivyotufanya ktk escraw na nyinginezo!
Mikataba hii ya gas ilipitishwa kwa hati ya dharura na bunge letu dhaifu sana kupindukia.
Unapokuwa na chombo dhaifu na goigoi cha kutunga sheria haya ndio matokeo yake.

Tubadilishe hivi vyombo vyetu vitavyotunga sheria, kupitia mikataba, kuiwajibisha serikali, kwa kuwa na Katiba mpya. Kuwe na uwazi, ukweli, maoni ya wananchi yazingatiwe.
 
Mkataba wa bandari ya Bagamoyo mmeuona ndugu?...naona unajadiliwa tu na Mwambe ila hauwekwi hadharani
 
Inatakiwa watanzania wenye akili kama yako wawe wengi....wafike asilimia angalau 50 esp mijini. Na kuhusu mifumo inatoa viongozi dhaifu upo sahihi 100%
 
Inatakiwa watanzania wenye akili kama yako wawe wengi....wafike asilimia angalau 50 esp mijini. Na kuhusu mifumo inatoa viongozi dhaifu upo sahihi 100%

Upo vizuri kwenye uwezo wa kufikiri. Watafikia hiyo critical point baada ya rushwa, uhuni, unanijua mimi ni nani, ujambazi, wizi kushamiri kila sehemu.
 
Kwa maana hiyo ule usemi wa Nyerere kuitwa Mazuzu huko pale pale
Bora TPDC imekuwa Machinga maana imekosa umachknow.
 
Sisi ni makalio SASA tuchague moja Yale yenye nywele au mabonde mabonde
 
Moja ya mambo ya hovyo ya serikali ya Kikwete

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mmmmmmh
Watu wangekuwa wanaishi miaka mia mbili sijui ingekuwaje?
 
Weusi mmezidi mno gubu na roho mbaya!! Mungu mwenyewe mlimgeuka !! aka watosa sasa leo mnalilia nini?? tena aliwaambia ''mtajiuza kwa adui yenu na hakuna atakae wanunua!! mtakosa thamani mnooo!!'' ndo haya sie twajua tulieni dawa iwaingie!

hao viongozi wanao kimbiza hela nje wanaya jua haya nyie hamna maana kuwageuka ni dakika sifuri tu sasa akae hapo kwa nini??
 

 
" KARMA "
 
Mbona mambo yapo wazi siku nyingi tu,yule Profesa Muhongo akiwa waziri wa madini na nishati,alipokuwa anauza vitalo vya gesi kwa wageni ulitegemea nini?
Alipouza vitalo alitamba sana kuwa wazungu ndio wenye fedha.Badala ya TPDC kuwezeshwa gesi ikageuka laana.
Labda jambo muhimu ni kujua Huyo Professor aliuza vitalo vingapi na kwa makubaliano yapi.
Pili je mchango wa wamiliki hao kama hawaendelezi vitalo ni hatua gani za kisheria zinaweza kuchukuliwa?
Tatu,kama kweli wameuza gesi yote kwa wazungu mbona miaka yote ya utawala wa Mjomba Magufuli walikimbia ?
Tanzania imelaanika au tubadiri jina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…