Watanzania tunapowasifia Kenya kwa Demokrasia pevu, pia tutafakari na hili

Watanzania tunapowasifia Kenya kwa Demokrasia pevu, pia tutafakari na hili

Maana ya hustler ni mtu aliyekomaa kutoka chini kwenye umaskini hadi kuwa tajiri. Ni muhangaikaji aliyepata kutokana na kuhangaika kwake. Sasa Ruto anatumia hii slogan kuwa motivate wakenya kuwa hajapata utajiri kwa kurithi kama Uhuru na Odinga ila ameuhangaikia.

So usipotoshe. Kama huelewi uliza
Na kwa maana yake halisi ya

"mpambanaji mwenye kutumia nguvu na akili yake kujitafutia,kwa njia za halali"

Hii haiko hivyo kwa hao woote walioko huko "UDA"

Tunawajua matajiri wa kenya ambao wametafuta na kutajirika kwa nguvu na maarifa yao halali, lakini hawa jamaa wa wheel barrow ni list ya wakwapuaji watupu.

Kwa mfano tu....Rutto-Youth kenya 92.
Mudavadi-Goldeberg scandal nk.

Usinitowe kwenye mada sababu ninaelewa target yangu,ila najuwa kwa wengi Tanzania vile hawapendi kuukemea wizi sababu ndio lifestyle yao kila siku.

Umaskini wa watanzania unasababishwa na "State Capture" ya vigogo wa CCM na washirika wao,wanaohakikisha mtanzania haelimiki na kujitambua haki zake ili wao waendelee kutajirika kwa wizi wa mali za umma.

Serikali imejaa "Asali Boyz tupu"

Hao ni wezi tupu!

Na hawatakasiki mpaka wanaingia makaburini,ingawa watakufa wakiwa matajiri,lakini watazikwa wakiwa mikono mitupu kama walivyoingia Duniani.
 
Maana ya hustler ni mtu aliyekomaa kutoka chini kwenye umaskini hadi kuwa tajiri. Ni muhangaikaji aliyepata kutokana na kuhangaika kwake. Sasa Ruto anatumia hii slogan kuwa motivate wakenya kuwa hajapata utajiri kwa kurithi kama Uhuru na Odinga ila ameuhangaikia.

So usipotoshe. Kama huelewi uliza
Kuhangaika kwa aina gani?

Ruto na Rigathe wote ni vijana wa Moi, inawezakana hawakuzaliwa na wazazi aina ya Odinga na Kenyatta lakini nao ni matokeo ya wizi tu. Google kitu inaitwa YK92.
 
Kama Magufuli alimhonga ghorofa la bilioni 5 hawara wake pale Mwenge, imagine utajiri wake ulikuwa kiasi gani,
halafu anatuambia alikuwa rais wa wanyoge.

Hawa wanasiasa wanaojiita watetezi wa wanyonge ndio majambazi wakubwa
 
Kuhangaika kwa aina gani?

Ruto na Rigathe wote ni vijana wa Moi, inawezakana hawakuzaliwa na wazazi aina ya Odinga na Kenyatta lakini nao ni matokeo ya wizi tu. Google kitu inaitwa YK92.
Naijua hiyo "YK92"

Moi(R.I.P)aliingiwa na hofu ya kuupoteza uraisi wa Kenya pale ilipoanzishwa rasmi siasa ya vyama vingi nchini humo.

Na kwenye uchaguzi wa 1992,alimteua Rutto kuwa kiongozi wa Youth Kenya92.

Hiyo ilipewa jukumu la kuwatafuta na kuwashawishi vijana wengi waliokuwa na mlengo tofauti na KANU ya Moi,ili kuwashawishi wajiunge na KANUkisha kumpigia kampeni Moi nchi nzima dhidi ya wapinzani.

Rutto alilazimika kukatiza Masomo chuo kikuu cha Nairobi,na akaja kuanza jukumu hilo jipya(ingawa baadae alirudia na kuhitimu na kufikia PHD),akiwa amekabidhiwa mamilioni ya pesa ili kupenyeza pale anapoona kuna ugumu.

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa umaarufu wa William Samoei Rutto Mwalimu wa sekondari kutoka Eldoret.

Na alipiga pesa ya kutosha,sababu shughuli ile haikuwa na Auditing yoyote kama zilivyo rushwa zote.

Hiyo fursa ndio ilimuwezesha kuijua kenya na kila kona na kuujenga mtandao ambao ameendelea nao mpaka leo hii.

Hii habari ya kuuza kuku ni ya nyuma zaidi, wakati huo akiwa shule za awali.
Ingawa mpaka leo anawaheshimu sana kuku,na anaendelea na ufugaji mkubwa.
Just-before-the-inauguration-ceremony-Deputy-President-William-Ruto%20(1).jpg
 
Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.
Si afadhali wanao hata huo uhuru wa kuruka? Sisi tumezama moja kwa moja kwenye hilo tope na hatutoki kwani hata uhuru na uwezo wa kuruka hatuna.

Watoto wetu wamezaliwa kwenye tope, wamelelewa kwenye tope. wamekulia kwenye tope, wakakomaa kwenye tope na watazeeka kwenye tope!

Viongozi wanaoopolewa kwenye hilo hilo tope bila ridhaa zetu ndio hao hao wanaoapa kuhakikisha hatutoki kwenye tope hata kwa miaka mia!

Halafu kwa ujinga wako eti unaongelea utajiri wa viongozi huko Kenya! Masikini voicer, unaishi sayari gani? Au tope limekufunika huoni wala kusikia?
 
Naijua hiyo "YK92"

Moi(R.I.P)aliingiwa na hofu ya kuupoteza uraisi wa Kenya pale ilipoanzishwa rasmi siasa ya vyama vingi nchini humo.

Na kwenye uchaguzi wa 1992,alimteua Rutto kuwa kiongozi wa Youth Kenya92.

Hiyo ilipewa jukumu la kuwatafuta na kuwashawishi vijana wengi waliokuwa na mlengo tofauti na KANU ya Moi,ili kuwashawishi wajiunge na KANUkisha kumpigia kampeni Moi nchi nzima dhidi ya wapinzani.

Rutto alilazimika kukatiza Masomo chuo kikuu cha Nairobi,na akaja kuanza jukumu hilo jipya(ingawa baadae alirudia na kuhitimu na kufikia PHD),akiwa amekabidhiwa mamilioni ya pesa ili kupenyeza pale anapoona kuna ugumu.

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa umaarufu wa William Samoei Rutto Mwalimu wa sekondari kutoka Eldoret.

Na alipiga pesa ya kutosha,sababu shughuli ile haikuwa na Auditing yoyote kama zilivyo rushwa zote.

Hiyo fursa ndio ilimuwezesha kuijua kenya na kila kona na kuujenga mtandao ambao ameendelea nao mpaka leo hii.

Hii habari ya kuuza kuku ni ya nyuma zaidi, wakati huo akiwa shule za awali.
Ingawa mpaka leo anawaheshimu sana kuku,na anaendelea na ufugaji mkubwa.View attachment 2390693
Ndio maana namshangaa huyo anayesema Ruto kahangaika
 
Si afadhali wanao hata huo uhuru wa kuruka? Sisi tumezama moja kwa moja kwenye hilo tope na hata uhuru na uwezo wa kuruka hatuna.

Watoto wetu wamezaliwa kwenye tope, wamelelewa kwenye tope. wamekuwa kwenye tope, wakakomaa kwenye tope na watazeeka kwenye tope!

Viongozi wanaoopolewa kwenye hilo hilo tope bila ridhaa zetu ndio hao hao wanaoapa kuhakikisha hatutoki kwenye tope hata kwa miaka mia!

Halafu kwa ujinga wako eti unaongelea utajiri wa viongozi huko Kenya! Masikini voicer, unaishi sayari gani? Au tope limekufunika huoni nyuma wala kushoto?
Kuandika kwangu ya huko Kenya,sio kwamba sielewi wizi ulivyotamalaki hapa kwetu.
Bali hii topic yangu kwa sasa imehusu ....treading story ambayo iko latest East Afrika mkuu!

Huwezi chambua ya jirani ukaacha kuyajua ya kwako.
Ninaelewa sana huku kwetu tunao "State Capture" na sasa wako kazini 100% wakiwatumia "Asali Boyz" wao chini ya Kinara "Rostam & Msoga Company"

Pia ninaelewa mpaka kiburi cha "GSM" Kinapotokea....
Ila hiyo ni mada ingine na wakati wakec bila shaka utakuwa mwingine pia.
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
Hueleweki point yako ni nini. Unataka kukanusha hawajatuzidi kidemokrasia? Unataka kutuambia wanasiasa wa Kenya wangekuwa masikini ndio kungekuwa na demokrasia? Unataka kutuaminishia Kila Mwanasiasa wa kenya aliye tajiri ni mwizi? Unataka kutuaminisha wanasiasa wa Tanzania sio wezi?
 
Bora Wakenya wanasema utajiri wa viongozi na kuweka wazi. Hawa wa Tanzania nani anajua wana ukwasi wa kiwango gani? Kwa vile wapo kimya ndiyo unadhani siyo mafisadi? Siku wakitaja utajiri wao si utazimia. Fikiria tena mara 2.
Bongo kila mstaafu anamiliki shamba na mifugo 😂😂😂
 
Huwezi chambua ya jirani ukaacha kuyajua ya kwako.
Ninaelewa sana huku kwetu tunao "State Capture" na sasa wako kazini 100% wakiwatumia "Asali Boyz" wao chini ya Kinara "Rostam & Msoga Company"
Hapo ndipo tatizo linapoanzia, kwako kunaporomoka unakimbilia ya jirani. Kenya wako kwenye right track, pole pole wanazinduka na kujitambua! Wanajua walikotoka na wanakotaka kufika na wanatambua njia ina visiki.

Sisi ni wapumbavu, hatujui kwamba hatujui. Tuko gizani na tunataka tuendelee kuelekezana humo humo gizani. Gizani hakuna tunachoona lakini hapo hapo tumekaza shingo tukidai tunajua tunakoelekea, really?

Are we being led by instinct like brainless animals or are we humans gifted with brains. Toka lini kipofu kaongoza kipofu na wakafika salama walikotaka kufika. Tuache kudanganyana, hatujui tuliko wala tunakoelekea.

Tumekazana kujenga miunguwatu na kutwa tunapiga vigelegele tukiwasifia viongozi wetu and for what? Wamefanya nini zaidi ya kutunyang'anya wananchi hata kile kidogo tulicho nacho? Who are we kiidding?
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
unafikiri viongozi went wa Tanzania hawala ukwasii huo? au kwa kuwa they fooling us around kuonyesha wao ni patriotics wakati ni mabeberu
 
Naona nia ya mleta huu uzi ni kuipaka matope demokrasia ya Kenya ili tusiione kuwa ni mfano wa kuigwa hapa Afrika. Kwani wagombea wote walikuwa mafisadi? Kama sio basi ni mfano wa kuigwa hata kama CCM hawataki tuwe na demokrasia.

President​

CandidateRunning matePartyVotes%
William RutoRigathi GachaguaUnited Democratic Alliance7,176,14150.49
Raila OdingaMartha KaruaAzimio la Umoja6,942,93048.85
George WajackoyahJustina WamaeRoots Party Kenya61,9690.44
David WaihigaRuth MutuaAgano Party31,9870.23
Total14,213,027100.00
Valid votes14,213,02799.21
Invalid/blank votes113,6140.79
Total votes14,326,641100.00
Registered voters/turnout22,120,45864.77
Source: IEBC
 
Hueleweki point yako ni nini. Unataka kukanusha hawajatuzidi kidemokrasia? Unataka kutuambia wanasiasa wa Kenya wangekuwa masikini ndio kungekuwa na demokrasia? Unataka kutuaminishia Kila Mwanasiasa wa kenya aliye tajiri ni mwizi? Unataka kutuaminisha wanasiasa wa Tanzania sio wezi?
Ungesoma topic yangu yote ungenielewa,mimi nimelenga hasa jinsi wanasiasa wanavyotumia nafasi na madaraka kujitajirisha.

Kuwa na demokrasia huku ukiwa na wananchi maskini kuzunguka nchi nzima huko hakuna manufaa kwa mwananchi.
Manufaa yanabaki kwao hao hao mafisadi wakiwakaanga wananchi kwa mafuta yao wenyewe.

Hiyo Demokrasic ya Kenya iko kwenye majukwaa ya siasa tu,lakini sio kwenye maisha halisi ya mkenya.

Ukitaka kunielewa nenda huko kwa hustlers....Kawangwale,
Mathare,Kariobangi,kiritinithi,Kariokor na kwingineko koote mabandani kuzunguka Nairobi.
Ndio utajua ninachomaanisha!
 
unafikiri viongozi went wa Tanzania hawala ukwasii huo? au kwa kuwa they fooling us around kuonyesha wao ni patriotics wakati ni mabeberu
Ninajua jinsi viongozi wetu walivyo mafisadi,lakini leo nimeongelea hao wa huko kenya kwa sababu ndio Topic iliyoko mezani.

Ninaijua "State Capture" ya Tanzania inavyotunyonya na kututia umaskini watanzania.

Lakini thread yao itakuja tu!
 
Nielewe vizuri hoja yangu hapo mkuu.
Hakuna mahali nimeandika kwamba Tanzania hakuna mafisadi.
Ninajua wapo na iko siku nitaeeka topic hiyo humu.

Mimi hoja yangu kubwa ni kuonyesha jinsi watu tunaowaita "State Capture" wanavyojipanga,na hatimae kumlaghai maskini mpiga kula kwa Slogan ya Mhangaikaji "Hustler" au tuseme kabwela.

Wakati sio kweli bali anawarudishia kilekile alichowapora awali.

Nimejaribu kusema kwamba hapo hakuna Hustler bali mataikuni watupu.
Na mkenya aendelee kujiandaa kukamuliwa upya.

Ww inaonekana una itikadi za kijamaa ambaye utajiri kwako ni kosa. Hao viongozi wa Kenya wameweka utajiri wao wazi na wanahojiwa. Mwenye mashaka na utajiri wao anapaswa kuwahoji. Sio hapa kumejaa majizi yanajiita mazalendo na wala mali zao hawazitaji.
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694

Hauoni kwamba hao wanasema ukweli hawadanganyi ili bunge lifanye maamuzi sahihi, kuliko kudanganya. Hapa Tanzania hata kuulizia fomu ya kiongozi unakamatwa.
 
Back
Top Bottom