Watanzania tunapowasifia Kenya kwa Demokrasia pevu, pia tutafakari na hili

Watanzania tunapowasifia Kenya kwa Demokrasia pevu, pia tutafakari na hili

Ungesoma topic yangu yote ungenielewa,mimi nimelenga hasa jinsi wanasiasa wanavyotumia nafasi na madaraka kujitajirisha.

Kuwa na demokrasia huku ukiwa na wananchi maskini kuzunguka nchi nzima huko hakuna manufaa kwa mwananchi.
Manufaa yanabaki kwao hao hao mafisadi wakiwakaanga wananchi kwa mafuta yao wenyewe.

Hiyo Demokrasic ya Kenya iko kwenye majukwaa ya siasa tu,lakini sio kwenye maisha halisi ya mkenya.

Ukitaka kunielewa nenda huko kwa hustlers....Kawangwale,
Mathare,Kariobangi,kiritinithi,Kariokor na kwingineko koote mabandani kuzunguka Nairobi.
Ndio utajua ninachomaanisha!

We huna hoja bali una nongwa. Naona hiyo demokrasia ya Kenya imekuuma ukifananisha na hii ya hapa.
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
VIONGOZI WA TANZANIA UNAUUJUA UKWASI WAO? WATAJE NA WAO TUFANANISHE
 
Bora Wakenya wanasema utajiri wa viongozi na kuweka wazi. Hawa wa Tanzania nani anajua wana ukwasi wa kiwango gani? Kwa vile wapo kimya ndiyo unadhani siyo mafisadi? Siku wakitaja utajiri wao si utazimia. Fikiria tena mara 2.
Hata kama hawasemi wana ukwasi kiasi gani, bado wanasiasa wa Tanzania wana kiasi cha mboga tu ukilinganisha na wanasiasa wa Kenya. Watu walisema Edward Lowasa ni fisadi lakini ukiwaambia wakuonyeshe vitu anavyomiliki au alikoweka fedha hawajui. Kuna kipindi Ridhiwani JK alihusishwa na kila jengo kubwa la biashara au malori long safari. Lakini baada ya kuja Magufuli Ridhiwani alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye hana fedha zile tulizokuwa tunaambiwa.

Kenya Ufisadi na Siasa ni kama kifuniko na mdomo wa chupa. Tajiri ni tajiri kweli
 
Nielewe vizuri hoja yangu hapo mkuu.
Hakuna mahali nimeandika kwamba Tanzania hakuna mafisadi.
Ninajua wapo na iko siku nitaeeka topic hiyo humu.

Mimi hoja yangu kubwa ni kuonyesha jinsi watu tunaowaita "State Capture" wanavyojipanga,na hatimae kumlaghai maskini mpiga kula kwa Slogan ya Mhangaikaji "Hustler" au tuseme kabwela.

Wakati sio kweli bali anawarudishia kilekile alichowapora awali.

Nimejaribu kusema kwamba hapo hakuna Hustler bali mataikuni watupu.
Na mkenya aendelee kujiandaa kukamuliwa upya.
Kwa hapa Tanzania hao wenye ukwasi na ulaghai hawapo?wewe ndugu yetu unaongea nini?
 
Hata kama hawasemi wana ukwasi kiasi gani, bado wanasiasa wa Tanzania wana kiasi cha mboga tu ukilinganisha na wanasiasa wa Kenya. Watu walisema Edward Lowasa ni fisadi lakini ukiwaambia wakuonyeshe vitu anavyomiliki au alikoweka fedha hawajui. Kuna kipindi Ridhiwani JK alihusishwa na kila jengo kubwa la biashara au malori long safari. Lakini baada ya kuja Magufuli Ridhiwani alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye hana fedha zile tulizokuwa tunaambiwa.

Kenya Ufisadi na Siasa ni kama kifuniko na mdomo wa chupa. Tajiri ni tajiri kweli
Uchumi wenu ni mdogo mtapata wapi matajiri wakubwa kulinganisha na matajiri wa kenya kwenye uchumi mkubwa?

Kutokua na matajiri wakubwa haiondoi ukweli kuwa hao matajiri wenu mlionao ni mafisadi ndio maana wanaficha taarifa za utajiri wao.
 
Hiyo 800 sio madafu ya kitanzania brother.

Ni kenya shilings.....

Kwa Tanzania hiyo ni sawa na 16 B.

Hiyo hela haifiki 20b tshs kama sikosei, sasa wingi wake ni upi? Kumbuka wengi wa hao wanasiasa wa Kenya ni wafanya biashara. Achana na hawa akina Mwigulu hapa wanajificha kwenye tai ya bendera ya taifa kumbe ni wezi uchwara.
 
Hata kama hawasemi wana ukwasi kiasi gani, bado wanasiasa wa Tanzania wana kiasi cha mboga tu ukilinganisha na wanasiasa wa Kenya. Watu walisema Edward Lowasa ni fisadi lakini ukiwaambia wakuonyeshe vitu anavyomiliki au alikoweka fedha hawajui. Kuna kipindi Ridhiwani JK alihusishwa na kila jengo kubwa la biashara au malori long safari. Lakini baada ya kuja Magufuli Ridhiwani alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye hana fedha zile tulizokuwa tunaambiwa.

Kenya Ufisadi na Siasa ni kama kifuniko na mdomo wa chupa. Tajiri ni tajiri kweli
Utajiri unaosemwa na watu dhidi ya mtu na anaousema mtu mwenyewe ni vitu viwili tofauti.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Bora hao wanaojiweka wazi kuliko hawa wakwetu wanaoiba kimya kimya!pia ni hatari sana kuongozwa na masikini
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
Sasa tuorodheshee na ukwasi wa wanasiasa wa Tanzania! Si afadhali hao wameweka wazi kuliko akina Mwigulu na Makamba ambao wameficha na haujulikani!
 
Nielewe vizuri hoja yangu hapo mkuu.
Hakuna mahali nimeandika kwamba Tanzania hakuna mafisadi.
Ninajua wapo na iko siku nitaeeka topic hiyo humu.

Mimi hoja yangu kubwa ni kuonyesha jinsi watu tunaowaita "State Capture" wanavyojipanga,na hatimae kumlaghai maskini mpiga kula kwa Slogan ya Mhangaikaji "Hustler" au tuseme kabwela.

Wakati sio kweli bali anawarudishia kilekile alichowapora awali.

Nimejaribu kusema kwamba hapo hakuna Hustler bali mataikuni watupu.
Na mkenya aendelee kujiandaa kukamuliwa upya.
Kwani Watanzania tunakamuliwa kidogo?
 
We huna hoja bali una nongwa. Naona hiyo demokrasia ya Kenya imekuuma ukifananisha na hii ya hapa.
Siongelei kuhusu Demokrasia hapo,bali naongelea ukwapuaji wa mali za umma kwa watu wanaopewa nafasi za kutuongoza katika taasisi zetu za umma.
Hiyo pesa huwa siyo ya serikali bali ni jasho la walipa kodi.

Demokrasia haimsaidii mtu aliye taabani kwa njaa.mfano upo hapo hapo Kenya.

Na pia sijasema kwamba Tanzania hatuna wezi,hapa kuna wezi wengi na ndio hao wamefanya "State Capture" na tukiwasema mnatuambia tunasumbuliwa na njaa....
 
Siongelei kuhusu Demokrasia hapo,bali naongelea ukwapuaji wa mali za umma kwa watu wanaopewa nafasi za kutuongoza katika taasisi zetu za umma.
Hiyo pesa huwa siyo ya serikali bali ni jasho la walipa kodi.

Demokrasia haimsaidii mtu aliye taabani kwa njaa.mfano upo hapo hapo Kenya.

Na pia sijasema kwamba Tanzania hatuna wezi,hapa kuna wezi wengi na ndio hao wamefanya "State Capture" na tukiwasema mnatuambia tunasumbuliwa na njaa....

Hao watu wana pesa na wanazitaja wala hawafichi ili kama una mashaka na vipato vyao liwekwe zuio. Kama unaona hakuna zuio ina maana wafu wameridhika na vipato vya hao wazee.

Unasema demokrasia haimsaidii mtu mwenye njaa, kwani udictator ndio unamsaidia mwenye njaa? Si bora hapo Kenya mtu anaweza hata kuchagua amtakaye na sio kuwekea ? Muwakilishi na mtawala?
 
Hao watu wana pesa na wanazitaja wala hawafichi ili kama una mashaka na vipato vyao liwekwe zuio. Kama unaona hakuna zuio ina maana wafu wameridhika na vipato vya hao wazee.

Unasema demokrasia haimsaidii mtu mwenye njaa, kwani udictator ndio unamsaidia mwenye njaa? Si bora hapo Kenya mtu anaweza hata kuchagua amtakaye na sio kuwekea ? Muwakilishi na mtawala?
Mbona walimchagua Raila lakini wakawekewa Rutto na Chebukati kwa nguvu ya Pesa?

Unapokuwa huru lakini una njaa,ni tatizo kuliko kuwa umeshiba ila hauko huru.

Demokrasia inayotafutwa ni kwa lengo la kupata uhuru wa kila mtu kuishi,kusema na kupata haki ya kusikilizwa bila kujali tabaka lake.
Na hivyo kufuragia maisha yake,huku akipata huduma zote za kijamii kwa mujibu wa katiba ya nchi.

Lakini kwa wanasiasa katiba wanayoitaka ni e itakayowarahishia njia ya kupata madaraka na kuendeleza uporaji na kujitajirisha.

Kenya kuna demokrasia ya majukwaani ndio.
Lakini yule commonnwananchi kuleashinani anaishi kwa tabu balaa!
 
Wewe umechanganyikiwa
Mbona walimchagua Raila lakini wakawekewa Rutto na Chebukati kwa nguvu ya Pesa?

Unapokuwa huru lakini una njaa,ni tatizo kuliko kuwa umeshiba ila hauko huru.

Demokrasia inayotafutwa ni kwa lengo la kupata uhuru wa kila mtu kuishi,kusema na kupata haki ya kusikilizwa bila kujali tabaka lake.
Na hivyo kufuragia maisha yake,huku akipata huduma zote za kijamii kwa mujibu wa katiba ya nchi.

Lakini kwa wanasiasa katiba wanayoitaka ni e itakayowarahishia njia ya kupata madaraka na kuendeleza uporaji na kujitajirisha.

Kenya kuna demokrasia ya majukwaani ndio.
Lakini yule commonnwananchi kuleashinani anaishi kwa tabu balaa!
 
Hata kama hawasemi wana ukwasi kiasi gani, bado wanasiasa wa Tanzania wana kiasi cha mboga tu ukilinganisha na wanasiasa wa Kenya. Watu walisema Edward Lowasa ni fisadi lakini ukiwaambia wakuonyeshe vitu anavyomiliki au alikoweka fedha hawajui. Kuna kipindi Ridhiwani JK alihusishwa na kila jengo kubwa la biashara au malori long safari. Lakini baada ya kuja Magufuli Ridhiwani alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye hana fedha zile tulizokuwa tunaambiwa.

Kenya Ufisadi na Siasa ni kama kifuniko na mdomo wa chupa. Tajiri ni tajiri kweli
Sasa Bro unategemea mwanasiasa wa Kenya tajiri mwenye ukwasi awe sawa na Watanzania kweli? Hauoni hata tofauti ya uchumi wa Kenya na Tanzania?

Mwizi anayeiba Oysterbay hawezi kuwa sawa na mwizi wa Tandale maana hata malengo ya waibe kitu gani ni tofauti
 
Sasa Bro unategemea mwanasiasa wa Kenya tajiri mwenye ukwasi awe sawa na Watanzania kweli? Hauoni hata tofauti ya uchumi wa Kenya na Tanzania?

Mwizi anayeiba Oysterbay hawezi kuwa sawa na mwizi wa Tandale maana hata malengo ya waibe kitu gani ni tofauti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenirahisishia lunch time yangu kabisa!
 
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:

41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!

Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.

Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.

Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.

Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.

Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.

Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.

Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.

Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.

MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?

Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.

Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.

Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.

Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:

Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.

Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.

"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"

Alamsikhi
View attachment 2390694
halafu pia ujue kenya ni nchi ya kibepari.wakati sisi tunahangaika na ujamaa uchwara wenzetu tayari walikuwa wanahangaika na ujasiriamali hivyo hao wameanza biashara miaka mingi.wakenya ni matajiri kweli kweli si kama tanzania na la msingi wenzetu wako wazi kutaja mali zetu lkn kwetu mawaziri hawataji mali zao hadharani na ukitaka kuzijua unaambiwa utaje sababu na utalipia ili kuona hizo mali.hayo ni mambo ya ajabu sana na bora sasa tukawa na katiba mpya itakayofanya hao mawaziri wafike mbele ya bunge ili wataje mali zao na wananchi tuwahoji walizipataje.
 
Huwezi kuwa tajiri ilhali umechagua njia ipelekayo kwenye umasikini.

Watanzania kwa utamaduni,siasa na sera wamechagua umasikini.
 
Back
Top Bottom