Watanzania tunyamaze kabisa, kuhusu bandari tumelikoroga wenyewe tulinywe!

Watanzania tunyamaze kabisa, kuhusu bandari tumelikoroga wenyewe tulinywe!

Siamini kama ni akili za Mheshimiwa kukubali kuiuza bandari.
"Mwanangu samiah Mungu amekukumbuka,SASA kazi uliopata ni ya muda tu,fanya kweli mwanangu kama wenzako usije ukajifanya mzalendo kuliko wenzio,tafuta pa kushika ILI vitukui na vilembwe vifaidike"!sauti ya mama yake hiyo!!

SASA

Akajiuliza nitashika wapi!!?gesi imeenda,madini yameenda kilichosalia ni mbuga za wanyama na Bandari!

Ngoja nijaribu,akapata na sadaka KWA Mwamposa akatoa kupitia Rc wa Dar!!

"TUENDELEE kushangilia anaupiga mwingi HADI Bandarini"tena tuimbe KWA sauti!!
 
"Mwanangu samiah Mungu amekukumbuka,SASA kazi uliopata ni ya muda tu,fanya kweli mwanangu kama wenzako usije ukajifanya mzalendo kuliko wenzio,tafuta pa kushika ILI vitukui na vilembwe vifaidike"!sauti ya mama yake hiyo!!

SASA

Akajiuliza nitashika wapi!!?gesi imeenda,madini yameenda kilichosalia ni mbuga za wanyama na Bandari!

Ngoja nijaribu,akapata na sadaka KWA Mwamposa akatoa kupitia Rc wa Dar!!

"TUENDELEE kushangilia anaupiga mwingi HADI Bandarini"tena tuimbe KWA sauti!!
Inasikitisha ila ndo ivo
 
"Mwanangu samiah Mungu amekukumbuka,SASA kazi uliopata ni ya muda tu,fanya kweli mwanangu kama wenzako usije ukajifanya mzalendo kuliko wenzio,tafuta pa kushika ILI vitukui na vilembwe vifaidike"!sauti ya mama yake hiyo!!

SASA

Akajiuliza nitashika wapi!!?gesi imeenda,madini yameenda kilichosalia ni mbuga za wanyama na Bandari!

Ngoja nijaribu,akapata na sadaka KWA Mwamposa akatoa kupitia Rc wa Dar!!

"TUENDELEE kushangilia anaupiga mwingi HADI Bandarini"tena tuimbe KWA sauti!!
Hahahaaaa, unataka kusema ajipime kupitia familia ya mwanzilishi mzalendo JKN
 
Huo ndo ukweli mchungu ambao makada wengi wa chama Cha mapinduzi hawataki kuusikia, watanzania tumelea mfumo wa hovyo wa kiutawala wenye kulinda maslahi ya viongozi na sio umma Leo hii viongozi wamekuwa wakubwa kuliko umma ulio wapa madaraka mwisho wanauza Mali ya umma bila wasi wasi na hofu yoyote alafu mwisho tunamtafuta mchawi hakika Mungu alimnyima mwafrika kitu Cha pekee sana ambacho ni Akili
JamiiForums-1059566392.jpg
 
Back
Top Bottom