Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ww ni mrangi kweli au ni jina tu?Tumieni miili yenu kufanya shuguli zenu
Ova
Hahahahaha kwenda na wakati ni kupitia kuiga wanachofanya wenzetu ila nashangaa kwenye teknolojia tuko nyuma sana. Tunaiga fasheni za viatu na jinzi za kuchanika chanika ila mambo ya msingi hakuna 😂😂😂Huwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje
Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani
Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Opec wasitutese sisi walaji tunaangamia hivihivi huku tunajiona tuko katika kipindi kigumu sana.Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni!
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Aisee kwa Comments zako tu, una IQ ya kiwango sana.Huwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje
Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani
Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Bei chini ya mafuta? Huku nani anapandisha bei?Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni!
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Bora tu wasitishe uzalishaji turudi kwenye stone ageOpec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni!
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Wasukuma watatajirika na mikoteni yao ya kukokotwa na Wanyama,wataanza kusafirisha abiria kutoka kanda ya Ziwa kuelekea sehemu mbalimbali.Bora tu wasitishe uzalishaji turudi kwenye stone age
Usafiri wa nyungo, fagio na fisi utarasimishwaWasukuma watatajirika na mikoteni yao ya kukokotwa na Wanyama,wataanza kusafirisha abiria kutoka kanda ya Ziwa kuelekea sehemu mbalimbali.
Kazi ipo kwa trafiki.
Hio gari ya kutumia umeme haiwezi safiri toma Dar kwenda nayo Mbeya au Mwanza...charge yake imeenda mbali sana ni 200KM inabidi uchaji tenaHuwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje
Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani
Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Endelea kuota....Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Mkuu mbona DIT inabadilisha mfumo kila uchao?Huwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje
Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani
Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Usimchokoze huyo atakuuzia jokofu la kuhifadhia maiti bila kung'amua.Ww ni mrangi kweli au ni jina tu?