Watanzania tuombeni Mungu, OPEC huenda wakasitisha uzalishaji wa mafuta mwezi huu

Watanzania tuombeni Mungu, OPEC huenda wakasitisha uzalishaji wa mafuta mwezi huu

Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Tafuta mbadala,tuko bize na tozooo
 
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.

Ni kweli walahi
Ehh Mwenye Enzi Mungu tuhurumie [emoji2972]
 
Kwa sasa natambua nani anashikiria uchumi wa dunia
 
Ni muda muafaka wa Dunia kuanza upya ili tujue wenzetu walitucha wapi.
Japo natania tu.
 
Umenikumbusha aise,nlimuuziaga
Mtu jokofu hilo kumbe ni brigadier wa,jeshi

Ova
Daah. Umenikumbusha enzi za ujana.

Nilizamia party moja huko mkoa. Nikamshtua maza mmoja. Kumbe ni ofisa mkubwa tu. Naona watu wananiangalia tu nikadhani wananionea wivu kumbe ni bosi aisee.
 
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Wenzenu wenye akili wanaweka vikao kujadili issues wajingawajinga mmebaki kuwasikiliza akina Gwajima! Salini sasa tuone kama mafuta yatakuja kwa upepo wa kisulisuli.
 
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Nilitegemea ushauri Wizara ya fedha na mipango imuombe ama Spika au mwingine mwenye mamlaka aitishe Bunge la dharura kubadili matumizi ya serikali yanayotokana makusanyo yake ya fedha ikiwemo tozo kwa ajili ya kununua ( siyo kukopa wala kuazima ) Teknolojia ya kuchimba mafuta Bahari kuu na huko mto kilombelo!! Na tusafishe mafuta sisi na kutumia. While oil refinery za Kigamboni zifufuliwe na tununue mafuta ghafi ya bei Rahisi kutoka ng'ambo wakati tunamaliza kukamilisha kuchimba mafuta yetu.
 
Huwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje

Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani

Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Vipi gari la Masoud Kipanya....!!
 
Kwamba wanaona bei ni ndogo ?
 
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Wasitishe ili wapumbav wote walioko shithole countries wanyooshwe
 
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Anzeni uzalishaji WA gesi na mafuta kwenye nchi zenu acheni upumbav WA tuombe Mungu ,wtf are you retards ?
Afrika ina utajiri WA mafuta na gesi hao mataahira mnaowaita viongozi wenu huwa wanafanya nini ?
 
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.

Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.

Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Nchi zenu zinashindwa kufanya exploration ,extraction na refinery ya mafuta na gesi kitu ambacho watu wamefanya miaka zaidi ya 120 iliyopita mna akili kweli ,au nyie watu weusi ni subhuman species ambayo haiwezi kukaa Chini na kufanya vitu let alone kuvumbua vitu na kuna na solutions za matatizo yanayoikabili jamii yenu ?
 
Back
Top Bottom