Tafuta mbadala,tuko bize na tozoooOpec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Hahaha nimeuliza tu maana naona anajiita kwa hio IDUsimchokoze huyo atakuuzia jokofu la kuhifadhia maiti bila kung'amua.
Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Ni kweli acha ubishi mimi mwenyewe nipo kikaoni hapa.Haiwezi kutokea, never. Labda useme watapunguza uzalishaji au ku-stick kwenye same output levels sababu bajeti zao kwa sehemu kubwa zinategemea mafuta.
Jina tuWw ni mrangi kweli au ni jina tu?
Umenikumbusha aise,nlimuuziagaUsimchokoze huyo atakuuzia jokofu la kuhifadhia maiti bila kung'amua.
Daah. Umenikumbusha enzi za ujana.Umenikumbusha aise,nlimuuziaga
Mtu jokofu hilo kumbe ni brigadier wa,jeshi
Ova
Wenzenu wenye akili wanaweka vikao kujadili issues wajingawajinga mmebaki kuwasikiliza akina Gwajima! Salini sasa tuone kama mafuta yatakuja kwa upepo wa kisulisuli.Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Nilitegemea ushauri Wizara ya fedha na mipango imuombe ama Spika au mwingine mwenye mamlaka aitishe Bunge la dharura kubadili matumizi ya serikali yanayotokana makusanyo yake ya fedha ikiwemo tozo kwa ajili ya kununua ( siyo kukopa wala kuazima ) Teknolojia ya kuchimba mafuta Bahari kuu na huko mto kilombelo!! Na tusafishe mafuta sisi na kutumia. While oil refinery za Kigamboni zifufuliwe na tununue mafuta ghafi ya bei Rahisi kutoka ng'ambo wakati tunamaliza kukamilisha kuchimba mafuta yetu.Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Kwa nini tusiyachukue kutoka Urusi kama wanavyofanya wachina, wahindi na waganda?Tutachukua Uganda
Vipi gari la Masoud Kipanya....!!Huwa tunajifanya wajuaji sana ingawa tunategemea kila kitu kutoka nje
Wakati dunia imeanza kutengeneza magari ya umeme na gas sisi hatuna hata akili ya kuwaza hayo
Nchi nyingi zinabadilisha mfumo wa magari
Sisi tunalalamika tu na kusema eti tumerogwa na nani
Hakuna ubunifu halafu tunajifanya kwenda na wakati
Good luck guys
Wasitishe ili wapumbav wote walioko shithole countries wanyooshweOpec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Anzeni uzalishaji WA gesi na mafuta kwenye nchi zenu acheni upumbav WA tuombe Mungu ,wtf are you retards ?Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.
Nchi zenu zinashindwa kufanya exploration ,extraction na refinery ya mafuta na gesi kitu ambacho watu wamefanya miaka zaidi ya 120 iliyopita mna akili kweli ,au nyie watu weusi ni subhuman species ambayo haiwezi kukaa Chini na kufanya vitu let alone kuvumbua vitu na kuna na solutions za matatizo yanayoikabili jamii yenu ?Opec wana kikao leo kitachojadili ama wasitishe uzalishaji wa mafuta ili kujibu tuhuma za nchi za Magharibi za wao kutokuzalisha mafuta kwa wingi ili wamlinde Urusi apate kuuza mafuta yake.
Vilevile Opec hawafurahishwi na bei ya chini ya mafuta iliyopo sokoni.
Ndugu zangu Watanzania tumwombe Mungu atuepushe na hilo.