Watanzania tupo nyuma ya wakati

Watanzania tupo nyuma ya wakati

De Fernandez

Member
Joined
Oct 13, 2023
Posts
22
Reaction score
26
Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea kutokea Kijitonyama.

Binafsi ni miezi 6 tangu nifike Tabata, route zangu zilikuwa hazinipeleki kule.

Ila kila tukikunja kona, ninashangaa jinsi mji ilivyobadilika. It’s just not the same.

Maduka mengi yamevunjwa na kuwekwa kisasa, liquor stores kibao, pamechagamka. People don’t sleep.

This is only in 6 months.

Kuna rate of change watu wengi tunashindwa kuukubali kwasababu tunapenda ile comfort tunaopata vitu vikikaa the same.

Ila the world does not care about your comfort, the world will change with or without you.

Na ndio maana kwenye mitaala yetu, tukiendelea kufundisha na kutoa mtihani kwenye vitu kama maji maji war na kuukwepa ukweli kwamba.

-AI
-Remote work
-Freelancing n.k

Zitakuja kuchukua kazi za anayesoma kuhusu maji maji war, we have a big problem.

The world will fail to teach you important things, ila ni muhimu uwe na flexibility kujifunza on your own, na pa kuanzia at least jifunze kuhusu:

-Discipline (Both Financial and Self Discipline)
-Afya njema
-Kujiamini
-Philosophy zako
-Integrity / Uaminifu
- Work Ethic
-Spiritual Guidance
  • Business Principles
  • Flexibility
Fix whatever is not yet completely broken in your life, before it becomes an uncurable disease.
~KAGA
 
😂🤣Saa tisa usiku unawaza haya badala ya kupiga cha asubuh?

Hiyo inaitwa land use succession. Mabadiliko kwendana na wakati. Btw huyo rafiki yako ni wa kiume au wa kike?
 
Assume tupo watu 60+ mil wote tuingie kwenye
  • AI
  • Remote work
  • Freelancing
Nchi nyingi za Africa zimepata uhuru 1950 +, ukilinganisha na nchi ambazo zimepata uhuru 1776 au zijawahi kutawaliwa utaona tupo nyuma sana.

Kutokana na Mazingira yetu.. ambayo bado tunapambana na

1. Malaria / kipindupindu
2. Njaa, ingawa kilimo ndio uti wa mgongo & wakulima ni wengi kuliko wafanyakazi
3. Ukosefu wa miundombinu ya Elimu
4. Rushwa & Kujilimbikizia mali
5. Upungufu wa nishati, Nishati ni anasa

Hadi hapo mazingira hayaruhusu
  • Remote work
  • Freelancing
I hope baada miaka 100 ijayo, tutakuwa unapo fikiri.

All in all, sehemu inaaza kuchangamka kwa majengo & biashara then mambo mengine ndio yanafuata

Asante
 
Assume tupo watu 60+ mil wote tuingie kwenye

  • AI
  • Remote work
  • Freelancing

Nchi nyingi za Africa zimepata uhuru 1950 +, ukilinganisha na nchi ambazo zimepata uhuru 1776 au zijawahi kutawaliwa utaona tupo nyuma sana.

Kutokana na Mazingira yetu.. ambayo bado tunapambana na

1. Malaria / kipindupindu
2. Njaa, ingawa kilimo ndio uti wa mgongo & wakulima ni wengi kuliko wafanyakazi
3. Ukosefu wa miundombinu ya Elimu
4. Rushwa & Kujilimbikizia mali
5. Upungufu wa nishati, Nishati ni anasa

Hadi hapo mazingira hayaruhusu

  • Remote work
  • Freelancing

I hope baada miaka 100 ijayo, tutakuwa unapo fikiri.

All in all, sehemu inaaza kuchangamka kwa majengo & biashara then mambo mengine ndio yanafuata

Asante
Sidhani kama ni sababu kuna nchi kibao za Asia tulikuwa hatujapishana sana ile now sisi na hizo nchi ni sawa na mbingu na mafuta.

Kuhusu remote work watu washaanza kufanya na freelancing pia. Kitu pekee ninachokiona kila mtu anataka kufanya na same job kwenye freelancing.
 
Haya mambo ukiwa unaishi bongo huwezi kuona wala kujua ,ndio maana Uwanja taifa jana umejaa na mvua yake kwa kweli Tz itachukua 100 yrs kubadilika wajinga ni wengi kuliko wasomi na hao wasomi 50%pia ni wajinga wanashindwa kuwa creative wanasubiri kazi serikalini.
 
Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea kutokea Kijitonyama.

Binafsi ni miezi 6 tangu nifike Tabata, route zangu zilikuwa hazinipeleki kule.

Ila kila tukikunja kona, ninashangaa jinsi mji ilivyobadilika. It’s just not the same.

Maduka mengi yamevunjwa na kuwekwa kisasa, liquor stores kibao, pamechagamka. People don’t sleep.

This is only in 6 months.

Kuna rate of change watu wengi tunashindwa kuukubali kwasababu tunapenda ile comfort tunaopata vitu vikikaa the same.

Ila the world does not care about your comfort, the world will change with or without you.

Na ndio maana kwenye mitaala yetu, tukiendelea kufundisha na kutoa mtihani kwenye vitu kama maji maji war na kuukwepa ukweli kwamba

-AI
-remote work
-freelancing n.k

Zitakuja kuchukua kazi za anayesoma kuhusu maji maji war, we have a big problem.

The world will fail to teach you important things, ila ni muhimu uwe na flexibility kujifunza on your own, na pakuanzia at least jifunze kuhusu:

-Discipline (Both Financial and Self Discipline)
-Afya njema
-Kujiamini
-Philosophy zako
-Integrity / Uaminifu
- Work Ethic
-Spiritual Guidance
  • Business Principles
  • Flexibility
Fix whatever is not yet completely broken in your life, before it becomes an uncurable disease.
~KAGA
Sawa kabisa na cha ajabu ninachoona mim kila wakati serikali zetu zipo nyuma ya upeo wa wananchi. Utakuta wananchi wanaanzisha na kujenga miji kila mahali halafu ndio serikali inakuja baadaye kupanga miji!
 
Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea kutokea Kijitonyama.

Binafsi ni miezi 6 tangu nifike Tabata, route zangu zilikuwa hazinipeleki kule.

Ila kila tukikunja kona, ninashangaa jinsi mji ilivyobadilika. It’s just not the same.

Maduka mengi yamevunjwa na kuwekwa kisasa, liquor stores kibao, pamechagamka. People don’t sleep.

This is only in 6 months.

Kuna rate of change watu wengi tunashindwa kuukubali kwasababu tunapenda ile comfort tunaopata vitu vikikaa the same.

Ila the world does not care about your comfort, the world will change with or without you.

Na ndio maana kwenye mitaala yetu, tukiendelea kufundisha na kutoa mtihani kwenye vitu kama maji maji war na kuukwepa ukweli kwamba

-AI
-remote work
-freelancing n.k

Zitakuja kuchukua kazi za anayesoma kuhusu maji maji war, we have a big problem.

The world will fail to teach you important things, ila ni muhimu uwe na flexibility kujifunza on your own, na pakuanzia at least jifunze kuhusu:

-Discipline (Both Financial and Self Discipline)
-Afya njema
-Kujiamini
-Philosophy zako
-Integrity / Uaminifu
- Work Ethic
-Spiritual Guidance
  • Business Principles
  • Flexibility
Fix whatever is not yet completely broken in your life, before it becomes an uncurable disease.
~KAGA
Ubarikiwe sana uzi mzuri sana🙏
 
Sasa mkuu ulitaka kwenye history watoto wafundishwe mambo ya artificial intelligence?? Hiyo inahusiana vipi na history mzee
 
Hii maji maji war ni kitu gani?
Mkuu hii majimaji war ni vita iliyopiganwa kati ya muunganiko wa makabila ya kusini mashariki mwa tanganyika wakiongozwa na Chifu Kinjekitile, dhidi ya mkoloni, (kwa wakati ule tulikua tunatawaliwa na Mjerumani).

Kwa maelezo zaidi tufuta google.
 
Umesahau kingine tumebase kwenye usimba na uyanga kuliko kufocus kwenye vitu vya maana
Viongozi Serikalini wanafurahi sana tunavyojadili Simba na Yanga, Wema na Wozu, Kajala na Masanja. Hawatamani kuona tunajadili mambo ya Bima ya Afya, Mafao ya Wenza wa Viongozi na Ripoti ya CAG n.k.

Utashangaa Bungeni, Mbunge anasimama anatumia Dakika Tatu kuwapongeza Yanga, Dakika mbili kutambulisha wageni waliomtembelea Bungeni, kisha dakika zilizobaki kuishukuru na kuipongeza Serikali. Kisha anakaa.. Hana hoja

Kiufupi kama Taifa tumepoteza mwelekeo.
 
Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea kutokea Kijitonyama.

Binafsi ni miezi 6 tangu nifike Tabata, route zangu zilikuwa hazinipeleki kule.

Ila kila tukikunja kona, ninashangaa jinsi mji ilivyobadilika. It’s just not the same.

Maduka mengi yamevunjwa na kuwekwa kisasa, liquor stores kibao, pamechagamka. People don’t sleep.

This is only in 6 months.

Kuna rate of change watu wengi tunashindwa kuukubali kwasababu tunapenda ile comfort tunaopata vitu vikikaa the same.

Ila the world does not care about your comfort, the world will change with or without you.

Na ndio maana kwenye mitaala yetu, tukiendelea kufundisha na kutoa mtihani kwenye vitu kama maji maji war na kuukwepa ukweli kwamba

-AI
-remote work
-freelancing n.k

Zitakuja kuchukua kazi za anayesoma kuhusu maji maji war, we have a big problem.

The world will fail to teach you important things, ila ni muhimu uwe na flexibility kujifunza on your own, na pakuanzia at least jifunze kuhusu:

-Discipline (Both Financial and Self Discipline)
-Afya njema
-Kujiamini
-Philosophy zako
-Integrity / Uaminifu
- Work Ethic
-Spiritual Guidance
  • Business Principles
  • Flexibility
Fix whatever is not yet completely broken in your life, before it becomes an uncurable disease.
~KAGA
Mpuuzi wewe ndiyo maana hujui kwanini Israel na Palestina wanapigana.Yaani Wazee wetu walipigana kututoa kwenye Utumwa na Ukoloni unakuja hapa unaongea Ujinga.Yaani umesahau kuwa mpaka sasa bado tunanyonywa na Mbeberu uonaongea Ujinga hapa Waafrika mpaka sasa wanauzwa kama bidhaa masokoni bado unaongea ujinga hapa ,Wakoloni mpaka sasa bado wanagawa silaha kwa waasi ili tupigane wenyewe kwa wenyewe unaona haina mana kujua hayo . Mpuuzi wewe unajiona unazo akili kiss unaongea lugha ya kigeni kweli wewe ninmzigo kweli kweli.Yaani umesahau Watu wanakwenda Maka kwasababu ya historia kama hiyo unayoipuuza . Siku ukijua umetoka wapi unakwenda wapi ndiyo utajua nini Umuhimu wa Historia.
 
Back
Top Bottom