Mpuuzi wewe ndiyo maana hujui kwanini Israel na Palestina wanapigana.Yaani Wazee wetu walipigana kututoa kwenye Utumwa na Ukoloni unakuja hapa unaongea Ujinga.Yaani umesahau kuwa mpaka sasa bado tunanyonywa na Mbeberu uonaongea Ujinga hapa Waafrika mpaka sasa wanauzwa kama bidhaa masokoni bado unaongea ujinga hapa ,Wakoloni mpaka sasa bado wanagawa silaha kwa waasi ili tupigane wenyewe kwa wenyewe unaona haina mana kujua hayo . Mpuuzi wewe unajiona unazo akili kiss unaongea lugha ya kigeni kweli wewe ninmzigo kweli kweli.Yaani umesahau Watu wanakwenda Maka kwasababu ya historia kama hiyo unayoipuuza . Siku ukijua umetoka wapi unakwenda wapi ndiyo utajua nini Umuhimu wa Historia.