Watanzania tupo nyuma ya wakati

🤣😂 Mwalimu wa history wamekuvurugah
 
Huu uzi unazungumzia:
-population,
-geography,
-science and technology,
-history

Sasa hoja ni ipi hapa? Au lengo la uzi ni lipi hapa? Au unataka huduma za kijamii ziwe zinapatikana separately? Au unataka kisema wamekosea kujenga majengo ya kisasa? Au unataka kusema watu uliowaona hapo na mazingira waliyonayo ni kwamba hawaikubali science and technology? Au unataka kusema kwamba historia haina umuhim katika jamii na dunia kwa ujumla? Au unataka watu wasisome ili AI pekee ije kuwa kama sehemu ya kutatua matatizo ya watu?


Idiot....!
 
Sheria & utawala wao upoje ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…