Watanzania tusidanganyane ni muda wa karia to go

Watanzania tusidanganyane ni muda wa karia to go

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I wll be short

1. KALIA NDO ANA SUPPORT KUPANGA MATOKEO, HOW? officials wa mechi zote wanapangwa na genge lake. KUPANGA BAADHI ya mechi. nani ashinde nani asishinde. every thing is planned.

ie : yanga watapewa Azam fc wakitaka tu kwenda nusu fainali. au robo fainali. kama last season. kama unabisha . tupo hapa.

2. SWALA LA WAHAMUZI, 4 YEARS LINI AMEWAI LIKAZIA.
huko hicho tafuta interview ya Kalia akikazia swala la officials. amna mfano tatu malonga mwamuzi mbovu ndo alikuwa kwenye list ya marefa bora.

3. VIWANJA, swala la hili, any one akikaza tff ndani ya 2 years ana solve hili tatizo. kalia is all talk..
I know 2 companies walikuwa ready to finance under rent .. hadi sasa process hazi ishi. Mfano: kwa mkapa tumepigwa.

4. TIMU YA TAIFA. tuna wachezaji hadi abroad. Kalia kaweka mamluki wake pale kama bodi ya timu ya taifa.

Mfano: Kagua elimu ya benchi la ufundi na mafanikio. utacheka. incompetence tu na friendship tu
.
5. KARIA POCKETS ARE TOO DEEP. huyu awezi toka may be raisi wa inchi ndo matoe. pale tff ndo mazima. labda afe ila amna mtu wa kumtoa pale tff.

INCOMPETENCE LIGI YETU ITABAKI NA SIMBA NA YANGA TU. CLUB NYINGINE ZITAKUFA.

Sorry sina chuki nae. ila ajilekebishe. do it for the country sio sawa kuwa corrupt hadi watu baki wanaona. akaze basi. tumkumbuke kwa mema
 
I wll be short

1. KALIA NDO ANA SUPPORT KUPANGA MATOKEO, HOW?? officials wa mechi zote wanapangwa na genge lake. KUPANGA BAADHI ya mechi. nani ashinde nani asishinde. every thing is planned.

ie : yanga watapewa Azam fc wakitaka tu kwenda nusu fainali. au robo fainali. kama last season. kama unabisha . tupo hapa.

2. SWALA LA WAHAMUZI, 4 YEARS LINI AMEWAI LIKAZIA.
huko hicho tafuta interview ya Kalia akikazia swala la officials. amna.
mfano : tatu malonga mwamuzi mbovu ndo alikuwa kwenye list ya marefa bora

3. VIWANJA, swala la hili, any one akikaza tff ndani ya 2 years ana solve hili tatizo. kalia is all talk..
I know 2 companies walikuwa ready to finance under rent .. hadi sasa process hazi ishi.

mfano : kwa mkapa tumepigwa.

4. TIMU YA TAIFA. tuna wachezaji hadi abroad. Kalia kaweka mamluki wake pale kama bodi ya timu ya taifa.

mfano : kagua elimu ya benchi la ufundi na mafanikio. utacheka. incompetence tu na friendship tu
.

5. KARIA POCKETS ARE TOO DEEP. huyu awezi toka may be raisi wa inchi ndo matoe. pale tff ndo mazima. labda afe ila amna mtu wa kumtoa pale tff.


INCOMPETENCE LIGI YETU ITABAKI NA SIMBA NA YANGA TU. CLUB NYINGINE ZITAKUFA.

sorry sina chuki nae. ila ajilekebishe. do it for the country sio sawa kuwa corrupt hadi watu baki wanaona. akaze basi. tumkumbuke kwa mema
Sio kwa kuwakosea heshima ila marefa kama Tatu Malogo na kheri Sasi Kuna mtu yupo nyuma Yao.
Awa marefa wame boronga mechi nyingi lakini Bado wanapewa mechi kubwa za maamuzi, Aya mambo hayatokei kwa bahati mbaya.
Marefa wa kike wengi hawawezi kumudu izi mechi waende kuchezesha kule kwa wanawake.
 
Yanga wamechukua kombe mara nyingi kwenye utawala wa karia ila ndio wanaongoza kulalamika.h

hii sio simba na yanga. despite marefa wote kuwa simba.

we will see with time.
 
Yanga wamechukua kombe mara nyingi kwenye utawala wa karia ila ndio wanaongoza kulalamika.
Yanga wanajua pale Tff Kuna kundi kubwa la Wana Simba walichokifanya ni kuwekeza kwenye timu na benchi la ufundi.
Ndio maana mechi ya mwisho ya Simba na Yanga kheri Sasi alikataa Magoli ya Yanga lakini Bado hakuweza kukataa yote.
 
I wll be short

1. KALIA NDO ANA SUPPORT KUPANGA MATOKEO, HOW? officials wa mechi zote wanapangwa na genge lake. KUPANGA BAADHI ya mechi. nani ashinde nani asishinde. every thing is planned.

ie : yanga watapewa Azam fc wakitaka tu kwenda nusu fainali. au robo fainali. kama last season. kama unabisha . tupo hapa.

2. SWALA LA WAHAMUZI, 4 YEARS LINI AMEWAI LIKAZIA.
huko hicho tafuta interview ya Kalia akikazia swala la officials. amna mfano tatu malonga mwamuzi mbovu ndo alikuwa kwenye list ya marefa bora.

3. VIWANJA, swala la hili, any one akikaza tff ndani ya 2 years ana solve hili tatizo. kalia is all talk..
I know 2 companies walikuwa ready to finance under rent .. hadi sasa process hazi ishi. Mfano: kwa mkapa tumepigwa.

4. TIMU YA TAIFA. tuna wachezaji hadi abroad. Kalia kaweka mamluki wake pale kama bodi ya timu ya taifa.

Mfano: Kagua elimu ya benchi la ufundi na mafanikio. utacheka. incompetence tu na friendship tu
.
5. KARIA POCKETS ARE TOO DEEP. huyu awezi toka may be raisi wa inchi ndo matoe. pale tff ndo mazima. labda afe ila amna mtu wa kumtoa pale tff.

INCOMPETENCE LIGI YETU ITABAKI NA SIMBA NA YANGA TU. CLUB NYINGINE ZITAKUFA.

Sorry sina chuki nae. ila ajilekebishe. do it for the country sio sawa kuwa corrupt hadi watu baki wanaona. akaze basi. tumkumbuke kwa mema


Mbwinde Wazima huko..?

Mzee Wa Watu Wallace Karia Kakukosea nini tena?

Kwenye kipindi chake cha Uongozi ndo tunashuhudia timu Zetu Simba,Yanga na Taifa stars zikipata Mafanikio Makubwa...! Sasa huyu mzee na ' Hii Must Go' inakujaje Kujaje ? Embu tufafanulie.!
 
Mbwinde Wazima huko..?

Mzee Wa Watu Wallace Karia Kakukosea nini tena?

Kwenye kipindi chake cha Uongozi ndo tunashuhudia timu Zetu Simba,Yanga na Taifa stars zikipata Mafanikio Makubwa...! Sasa huyu mzee na ' Hii Must Go' inakujaje Kujaje ? Embu tufafanulie.!
time will tell. mimi sina shida nae.
we could do much better. amna improvement. tuna alot of better players

karia ajafanya chochote ku improve the league. wala timu ya Taifa.

also money improved simba and yanga not karia
 
KAria kafanya kaz nzito sana.. sema nyie vijans msojua mambo ya uongozi ndo huwa mnaleta nzi kwenye sahani.

Hapo karia mbaya kisa simba anashinda... acha umama mjukuu waang
 
Back
Top Bottom