Watanzania tusidanganyane ni muda wa karia to go

Ni kweli amepanga matokeo ya jana mechi ya Yanga na Kengold ilitakiwa iwe draw ya 1-1 ila Ken gold wakanyimwa goli halali
 
Nimesoma nilipofika hapo kwenye WAHAMUZI nikajua nyie ndio wale wakati mnazaliwa hawajalia hadi mmetiwa kidole
 
Mafanikio ya Taifa stars ni kama yapi mkuu?
 
What is KALIA?
What is WAHAMUZI?

Hiki ni kiswahili au ni lugha mtambuka πŸ€” shule gani hii??
 
Unatumia kiungo gani kufikiria?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nami nahitimisha kuwa wewe ni debe tupu..!
 
Mtu mwenyewe unaandika "wahamuzi" unataka tukusikilize?
 
Wat
Atakula wapi sasa kiongozi
 
Watu wataanza kupiga makelele kuwa ligi ratiba yake imepangwa kiupendeleo
 
Karia aende tu nimeshangaa wachezaji wengi wazuri hawapo Timu ya Taifa kaweka jamaa zake tu.
 
KAria kafanya kaz nzito sana.. sema nyie vijans msojua mambo ya uongozi ndo huwa mnaleta nzi kwenye sahani.

Hapo karia mbaya kisa simba anashinda... acha umama mjukuu waang
Kwa Karia,,,
. Tumecheza Afcon
. Ligi ni bora sasa
. Timu zote zina ufadhili kupitia Azam
. Hali ya viwanja ni nafuu
. Shule zimepata mipira
. Simba queen wamecheza mashindano makubwa
. Ligi za vijana zimekuwa
. Yanga na Simba na biashara zinaheshimika kimataifa
. Fedha za goli la mama ni kupitia uongozi wake
 
time will tell. mimi sina shida nae.
we could do much better. amna improvement. tuna alot of better players

karia ajafanya chochote ku improve the league. wala timu ya Taifa.

also money improved simba and yanga not karia
Hebu acha kutuchanganyia kiingereza. Halafu watu wa aina yako wanaochomekea kiingereza mara nyingi huwa hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…