Uchaguzi 2020 Watanzania tusiyumbishwe, chagua CCM, chagua Magufuli chagua maendeleo na maisha yako. Usindanganyike!

Uchaguzi 2020 Watanzania tusiyumbishwe, chagua CCM, chagua Magufuli chagua maendeleo na maisha yako. Usindanganyike!

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
 
Ukweli wako wa rohoni ndo wa watanzania wote? We hujitambui kabisa
 
Mimi ni mtumishi wa umma. Hivi naanzaje kumchagua Magufuli aliyenitesa kwa miaka mitano?
Iwe usiku ama mchana, kura yangu itakwenda kwa Lissu na siyo huyo dhalimu anayetesa watu.
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
Kwamba nisidanganyike???mbona miaka yote tokea mpo madarakani uongo umekuwa kama chakula chenu ambacho hamuwezi ishi bila kuusema? This time sidanganyiki kuwachagua ccm tena,sasa imetosha na ni muda muafaka wa kuwapa wengine nao waonyeshe mapya. CCM ni ile ile,hamna jipya..ntaenda na Lissu Oktoba 28.
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
kAWAHUBIRIE WATOTO WENZAKO KUHUSU HILI
MIMI NAIFAHAMU CCM TANGU INAZLIWA 1977.
NA NAIKUMBUKA TANU NA ASP.
KAMA INGELIKUWA TANU AU ASP UNGELIKUWA NA HOJA LAKINI SI CCM YA 2020
"NCHI YETU INAHITAJI MABADILIKO KASEMA NYERERE"
''TUSIPO YAPATA NDANIYA CCM TUTAYATAFUTA NJE YA CCM''
SASA WAKATI NI HUU WA MABADILIKO NJE YA CCM

Nakuomba na wewe amka ushiriki katika hili ili uhisabiwe miongoni mwa mashujaa wa Tanzania
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
Ndugu watanzania msifanye makosa kuichagu CCM, mtajutia maisha yenu yote.
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
Huyo mbaguzi wa maendeleo, anaewagawa watanzania kimaendeleo kwa sababu ya vyama wakati wote wanalipa kodi hatumchagui mwaka huu. Mwaka huu tunaenda na Tundu Antiphas Lissu!!
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.

NI YEYE
 
Kama tume ni ya Mzee Mushi JPM hatoshinda ila kama ni tume huru hii ya NEC mbona asubuhi tu JPM anabeba ndoo.
Mtajua hamjui mwaka huu. Endeleeni tu na ubaguzi wenu wa kikabila. Kweli CCM mmenyimwa akili na Mungu.
 
Hatuchagui CCM, tumechoka kutekwa na kupotea... tunataka amani yetu kama ambavyo Tanzania imekuwa ikisifika duniani kote tangu kipindi cha Mwalimu.
 
Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.

Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la uchaguzi mwaka huu hawatafanya mzaha au kushawishiwa vinginevyo.

Siyasemi haya kama sehemu ya kampeni la hasha. Bali ukweli wangu wa rohoni. Ni kweli yapo mapungufu machache ya kimaendeleo lakini yanarekebika.Hivyo tarehe 28.10. 2020 fanya hima kapige kura pigia CCM upate maendeleo ya kweli.
Watu wanataka uhuru,haki na maendeleo ya watu..Hata Ghadaffi alileta maendeleo Libya ila watu wakamkataa ..hatutaki jitu katili
 
Mtajua hamjui mwaka huu. Endeleeni tu na ubaguzi wenu wa kikabila. Kweli CCM mmenyimwa akili na Mungu.
Ballot box,vikaratasi vya kura na wasimamizi wa uchaguzi wapo kwaajili ya kumtanga za Lissu!!.
haya ngoja tutaona huwo ushindi wa Lissu utapitia wapi.
 
Huu ni mwaka 56 muko madarakani lkn naona kila siku njaa inazidi ukosefu wa ajira watu kuathirika kisaikologya kiakili na hata kifikra utamkuta kijana wa miaka 20 utasema ni mzee wa miaka 80 kwa mawazo ya maisha na dhiki inayomkumba
 
Back
Top Bottom