Kwamba tumchague Magufuli-:
-tuendelee kutekwa na wasiojulikana.
-kupokea kauli mbaya za masimango
- kuonea watu ktk misingi ya itikadi zao za kisiasa
- kupunjwa mafao yetu tunapo staafu
Kupoteza fao la kujito kwa kulazimisha kusubiri muda ambao hatuna uhakika wa kuufikia.
-Mishahara isiyo panda
..........
..........
TUMELIMIA MENO VYA KUTOSHA
MIAKA 5 INAMTOSHA MAGUFULI HAFAI KUENDELEA.
-tuendelee kutekwa na wasiojulikana.
-kupokea kauli mbaya za masimango
- kuonea watu ktk misingi ya itikadi zao za kisiasa
- kupunjwa mafao yetu tunapo staafu
Kupoteza fao la kujito kwa kulazimisha kusubiri muda ambao hatuna uhakika wa kuufikia.
-Mishahara isiyo panda
..........
..........
TUMELIMIA MENO VYA KUTOSHA
MIAKA 5 INAMTOSHA MAGUFULI HAFAI KUENDELEA.