Watanzania tuunganeni kukemea uovu bila kujali itikadi zetu za vyama

Watanzania tuunganeni kukemea uovu bila kujali itikadi zetu za vyama

Msukuma Original

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
928
Reaction score
3,330
Watanzania muda umefika wa kuweka pembeni tofauti zetu za kisiasa na badala yake tuungane kupinga uonevu na dhuluma.

Rais anasema watanzania wameridhika na tozo. Hakuna mtanzania aliyeridhika na tozo, tuungane tukatae kwa kauli moja hii dhuluma. Kama vyanzo vingine vya mapato hawavioni wasitubebeshe huu mzigo. Maisha yetu yanazidi kuwa magumu kwa maslahi ya watu wachache.

Ajira hakuna, wao wenyewe wanasema uchumi umeporomoka lakini badala ya kutafuta vyanzo vya mapato visivyodidimiza zaidi uchumi wa watanzania ndio kwanza tunabebeshwa mzigo tusioweza kuubeba. Watanzania tafadhalini sana tuweke kando itikadi zetu za kisiasa tukatae hizi dhuluma.

Gesi imepanda, Vodacom wamepandisha vifurushi, tigo wanapandisha vifurushi kuanzia tarehe 16 August, huko si kutaka tuikimbie nchi yetu wenyewe?
 
watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.

na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.

niashara zinaendelea kama kawaida.

leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.

wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.
 
watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.

na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.

biashara zinaendelea kama kawaida.

leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.

wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.

Sisi wana Chadema wazalendo tunaunga mkono kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.

Shida ni zetu sisi, barabara za vijijini mbovu, shule hakuna madawatu, hatuna hospitali halafu mpumbavu mmoja anakuja anatuhamasisha eti tusichangie....ebo! kafie mbali kule. wewe uko Canada unakula starehe na familia yako. tuache na maisha yetu.
 
Lkn tunafundishwa kutumia cm kwa bajeti, na kutumia fedha na muda wetu vzr .. Tuandamane ss au kampuni za cm !?
 
Kabisa, watanzania tumezidi kwa kuonewa na kukaa kimya tafadhali tuweke mbali uchama, tuungane tupaaze sauti zetu, la sivyo tutajawekewa hadi kodi ya pua.
 
Watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.

biashara zinaendelea kama kawaida. leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.
wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.

Sisi wana Chadema wazalendo tunaunga mkono kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe. Shida ni zetu sisi, barabara za vijijini mbovu, shule hakuna madawatu, hatuna hospitali halafu mpumbavu mmoja anakuja anatuhamasisha eti tusichangie....ebo! kafie mbali kule. wewe uko Canada unakula starehe na familia yako. tuache na maisha yetu.

Tanzania ni nchi yetu sisi na vizazi vijavyo, tutaijenge sisi wenye uchungu. Uchungu wa mwana aujuaye mzazi, wazalendo wa ukweli ndio tunauchungu na nchi yetu.

Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania, hakuna wa kututenganisha na Tanzania isipo kuwa kifo tu, na tutazikwa ktk ardhi yetu ya tz .
Mungu ibariki Tanzania.
 
watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.
na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.
biashara zinaendelea kama kawaida.
leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.
wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.
Sisi wana Chadema wazalendo tunaunga mkono kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.
Shida ni zetu sisi, barabara za vijijini mbovu, shule hakuna madawatu, hatuna hospitali halafu mpumbavu mmoja anakuja anatuhamasisha eti tusichangie....ebo! kafie mbali kule. wewe uko Canada unakula starehe na familia yako. tuache na maisha yetu.
Wewe mburula ondoka kwenye uzi wangu.
 
watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.
na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.
niashara zinaendelea kama kawaida.
leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.
wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.
Unapopata nafasi ya kuchangia jambo hebu jifunze kutumia hiyo nafasi vizuri usiongee pumba..... Sasa unaongea lugha ya kukera kama hii ili iweje?!
 
Lkn tunafundishwa kutumia cm kwa bajeti, na kutumia fedha na muda wetu vzr .. Tuandamane ss au kampuni za cm !?
Ukitaka maendeleo jitahidi sana kutowapangia watu namna ya kuishi as long as wanalipa bili zao na kodi stahiki na maisha yanakwenda.

Unapo wapangia watu namna ya kuishi unavuruga mifumo ya value of chain ambayo hufanya kazi automatically.
 
Hakuna mtanzania aliyeridhika na tozo, tuungane tukatae kwa kauli moja hii dhuluma.
Kama mimi ni Mmarekani nirudisheni kwetu, ila kwa moyo wangu wote nimeridhia tozo. Njaua kuna changamoto ya viwango ila mama anaupiga mwingi.
 
watanzania tumeridhika kuchangia maendeleo yetu sisi wenyewe.
na mpaka sasa tunatuma pesa kama kawaida na tunakatwa kama kawaida.
niashara zinaendelea kama kawaida.
leo nimemtumia babu yangu 50,000/ na nimekatwa, nimejisikia fahari kulipa kodi ya kizalendo.
wanachadema wote tusikubali kudanganywa na watu wanao ishi Canada, tuchangie maendeleo yetu.

Mimi toka tozo za kihuni zianze nimesitisha kutuma hela kwa njia ya simu. Sitaki huo ujinga. Na nimewaambia wote wanaotaka hela yangu wafungue bank account.
 
Watanzania wanafiki hawana umoja.. Zimbabwe Dona likipanda Bei watu wanakinukisha mtaani..sema sisi wa ovyooo
 
Back
Top Bottom