Watanzania tuunganeni kukemea uovu bila kujali itikadi zetu za vyama

Watanzania tuunganeni kukemea uovu bila kujali itikadi zetu za vyama

Kama mimi ni Mmarekani nirudisheni kwetu, ila kwa moyo wangu wote nimeridhia tozo. Njaua kuna changamoto ya viwango ila mama anaupiga mwingi.
kamwe usikubali kudanganywa, baki na uzalendo wako huo huo.
watanzania wameelewa lengo la tozo hii.
mwezi huu Wizara ya Tamisemi imeidhinisha ma Billioni kwa TARURA na makandarasi tayari wapo site wanatujengea barabara zetu za mijini na vijijini, kwa mkoa wa DSM zimemwagwa Billioni 14 za miradi ya barabara na kazi imeanza kila kona ya nchi.
sasa leo hii atokee mtu aseme eti tozo hii ya miamala eti haifai!!
hapana!
watanzania tunahitaji sana maendeleo.
mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
maendeleo hayana chama, sisi sote tutafaidi, wenye vyama vyao na wasio na vyma. hata wale wale watakao kwepa kulipa tozo bado watanufaika tu, hivyo nawashauri waache roho mbaya, waache uchawa.
sisi ndio watanzania halisi tunaishi Tanzania na tutaifia Tanzania, kamwe tusikubali kuelekezwa nini cha kufanya na wale wanao ishi Canada.
Tunaomba Tozo hii iendelee.
 
kamwe usikubali kudanganywa, baki na uzalendo wako huo huo.
watanzania wameelewa lengo la tozo hii.
mwezi huu Wizara ya Tamisemi imeidhinisha ma Billioni kwa TARURA na makandarasi tayari wapo site wanatujengea barabara zetu za mijini na vijijini, kwa mkoa wa DSM zimemwagwa Billioni 14 za miradi ya barabara na kazi imeanza kila kona ya nchi.
sasa leo hii atokee mtu aseme eti tozo hii ya miamala eti haifai!!
hapana!
watanzania tunahitaji sana maendeleo.
mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
maendeleo hayana chama, sisi sote tutafaidi, wenye vyama vyao na wasio na vyma. hata wale wale watakao kwepa kulipa tozo bado watanufaika tu, hivyo nawashauri waache roho mbaya, waache uchawa.
sisi ndio watanzania halisi tunaishi Tanzania na tutaifia Tanzania, kamwe tusikubali kuelekezwa nini cha kufanya na wale wanao ishi Canada.
Tunaomba Tozo hii iendelee.
Hivi kwa nini Moderator wasiifute hii ID yako? Unaitumia vibaya JF.
 
Back
Top Bottom