Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Swala la Magufuli kwenye hii mada linatoka wapi?

Hakuna anaemchukia huyo mama yako (kama kweli wewe ni mwanae), amepata nafasi hiyo kikatiba aitumie vizuri Ili awashawishi wamchague tena 2025, aitumie vizuri Ili watanzania wengi wasimchukie kama unavyodai kwenye comment yako.

Lakini swala la kusema achaguliwe tu,eti kwasababu ni mwanamke (mama yako) hilo sio sawa kabisa.

Mkuu,umesahau kuweka namba na jina lako chini na comment yako,huwezi jua huenda akakauona.
 
Hajamaliza mwaka kelele nyiingi. Kuna waliokereka hawakutaka awe rais uyu mama kutokana na imani yake na uzanzibari. Lakini wapo wakristo wanamkubali na wanampenda sana. Wabarikiwe
Wewe hujaona sababu nyingine zinazofanya achukiwe tofauti na Dini yake?
 
AU TUNAONEKANA MAZEZETA NN.???

MAANA HAIWEZEKANI KBS RAISI WA NCHI AONGEE UTUMBO UTUMBO TU KAMA ULE....

[emoji117]ISHU NI KUMCHAGUA RAISI MWENYE UWEZO WA KUONGOZA NCHI HII YENYE DHIKI KUBWA , NA KUIFIKISHA KTK ENEO INAYOSTAHILI KUWEPO.

Watu kama ninyi ipo cku mukuchukuliwa na kuswekwa ndani,,, alafu muanze kumlaumu mama anawaonea mara oh katili. Ushauri wangu,, Chunga maneno yako mkuu yacje kukugarimu.
 
Vyama visimamishe wagombea ikiwemo wanawake. Wapiga kura watachagua vile itakavyowapendeza.
Pamoja na hilo, ndugu mleta mada bado unayo nafasi ya kuendelea kuwapigia kampeni wanawake, lakini maamuzi ya mwisho yatafanywa na mpiga kura.
Si vema, si busara na haiwezekani kutuwekea shinikizo la lazima eti vyama vyote visimamishe wagombea wa jinsia moja.
 

Co mama yangu,,,but namchukulia kama mama yangu mzazi,,, namuheshimu pia.

Kwenye Swala la tozo hata mimi limenigusa sana babaa. Kwa upande wangu naamini ataweka sawa 2mpe muda. Ndiyo kwanzaa hajamariza mwaka. 2mpe nafac.
 
Ni kweli mkuu, Mimi pia licha ya Ajira nimewekeza kwenya kilimo. Nina shehena ya mahindi nimehifadhi kwenye mifuko nasubiri Bei ipande. Serikali haina budi pia lutafuta masoko ya uhakika ya mazao.
 
Tumpe nafasi gani wakati alikuwepo mnataka ukoo wa kikwete uendelee maana hata kipindi cha Spika Samweli Sita mlisema zamu ya wanawake ili muendelee kuitafuna nchi mithili ya kambale
 
Umenifurahisha namna ulivyokwepa kufanya analysis ya "vigazeti kusema hagombei". Haha ha haaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…