Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Hakuna tofauti kati ya mwanamke na mwanaume kwenye siasa

Tofauti ipo kiutendaji tu kati ya mtu mmoja hadi mtu mwingine ima ni mwanamke au mwanaume

Mifumo ya vyama vingi vya kisiasa barani Africa. automatically ni kulinda maslahi ya wanachama wake tu.hata uwe mbovu kiasi gani Kama upo kwenye system.hakuna kitakacho haribika

Kinachofata ni mwendelezo tu wa pale walipo ishia.
 
mkuu Pascal siku hizi mbona Kama unapoteana,mada za akili nyepesi siku hizi ndo unazileta,Mimi ninavyokujua toka zamani unakujaga na mada zenye logic na concrete!!siku hizi nn kimekusibu kiongozi!!
 
Yaani paskali unaacha kujadili sensitive issue kama nchi tuepukane vipi na matovo yasiyo na msingi kila uchao, unaleta mada za uchaguzi hata kabla ya semi year ya urais, kwa mtindo huu hatufiki popote.

Yaani kuna watu wanakuita mwanahabari nguli alafu more of your content zimejaa siasa za uteuzi, HOW😨?

Brother hali ni ngumu kweli ila siyo lazima uwe kiongozi, pambana huko huko kwenye tasnia.
 
Naunga mkono hoja..!
 
Hizi mada zakuongelea Jinsia kama msingi wa uongozi ni za Kipuuzi, Ukiongoza na kufanya vyema hakuna mtu atajali jinsia yako.
 
Mwanamke mwenyewe ni nani?.maana kama ni huyu aliyepo sasa mbona ni mapema sana kuanza kuyaongea hayo wakati ata robo ya mambo ya msingi kwa wananchi hajaanza kuyafanya.Ata hivyo kwa mtazamo wangu hii nchi bado sana kuanza kuwaza kuongozwa na mwanamke.labda kuanzia miaka ya 2080 uko ila sio zama hizi ambazo nchi bado inahitaji misingi imara ya kimfumo na maamuzi thabiti.Ingekua ni nchi yenye mifumo inayojiendesha ningewaza tofauti lakini kwa sasa ambavyo rais ni kila kitu bado sana aise.unless labda tuamue kupoteza tena hiyo miaka.Tuache unafiki.
 
Co mama yangu,,,but namchukulia kama mama yangu mzazi,,, namuheshimu pia.

Kwenye Swala la tozo hata mimi limenigusa sana babaa. Kwa upande wangu naamini ataweka sawa 2mpe muda. Ndiyo kwanzaa hajamariza mwaka. 2mpe nafac.
Ndomaana hata mimi nikasema, anatakiwa aitumie vizuri huuuda aliobaki nao. Afanye vizuri Ili ashawishi watu kumchagua tena,lakini swala la kusema eti achaguliwe kwakua ni mwanamke, aaaawapi.
 
Utakuwa mwalimu wa serikali tuu wewe!!! ndomana siwezi somesha mtoto shulezenu mnadumaza akili za watoto. Rais akifanya kawajibu kidogo basi mnasiiifu hamfikirii kwa ukubwa
 
Heshima yako Pasco,wewe ni muona mbali nimeamini upo jikoni na hapa Huwa unakuja tu kutoa mlejesho ya nini mnaafkiana.
 
Heshima yako Pasco,wewe ni muona mbali nimeamini upo jikoni na hapa Huwa unakuja tu kutoa mlejesho ya nini mnaafkiana.
 
Utakuwa mwalimu wa serikali tuu wewe!!! ndomana siwezi somesha mtoto shulezenu mnadumaza akili za watoto. Rais akifanya kawajibu kidogo basi mnasiiifu hamfikirii kwa ukubwa
Ni maoni yangu braza..pia una ya kwako. Wote tuko sahihi.
 

Mungu amlinde mama dhid ya wabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…