Uchaguzi 2020 Watanzania tuwakatae CHADEMA na uzushi wao

Tuondolee UPUUZI wako hapa! EBOO!

 
Kwa walipofikia hawana hoja wala sera ,wamebakia kuzusha mambo ya Ajabu yasiyo na Tija kwa maendeleo ya Watanzania na Nchi kwa ujumla.
Wafanye wanavoona ila Kushinda kwao ni ndoto.
 
Wala magufuli hapanik kwa uongo wa kijinga na kitoto. Mbinu ya uongo ni kuukanusha kwa kuonyesha ukweli na nia ya muongo. Kila skirudia uongo ni kuukanusha na kutolea maelezo hadi kumuabisha muongo.
 
Ni uzushi kusema serikali ya magufuli ililala fofo wakati watanzania ndugu zetu wanatosqa baharini coco waliwe na nyangumi?
 
Chadema saccos hawana chao. Kijani tupu kuanzia Urais mpaka udiwani.
 
Ukoo wa panya nani auchague,katibu mkuu fedha mtoto wa dada serikali imejaza ndgu wenye elimu ndogo kutuibia.
Wewe ni zaidi ya mgonjwa wa ukoma
 
Hatuwezi kukikataa chama kilichofungiwa na kuteswa kwa miaka mitano hatuwezi kukikataa chama ambacho viongozi wake wamepigwa risasi na kuvunjwa miguu bila sababu.

Siku VIONGOZI wale wa chadema wanakutana airport mmoja akichemea kwa risasi 16 na mwingine kwa kushambuliwa kisiasa hatuwezi kuwakataa watu Hawa.

Hatuwezi kuwakataa watu ambao wamefilisiwa Mali zao kisa sisi.
Lazima tuwaonyeshe upendo kulipia madhila waliyoyapata kea kututetea sisi.
 
Ukoo wa panya nani auchague,katibu mkuu fedha mtoto wa dada serikali imejaza ndgu wenye elimu ndogo kutuibia.
Wewe ni zaidi ya mgonjwa wa ukoma
Huu pia ni uzushi. Nyinyi ndio mnasababisha TUFOKEWE majukwaani kwa uzushi WENU. Mshajua kuwa "uzushi unauma" ndio mnatumia SILAHA hiyo kumpanikisha JPM
 
W


Watanzania wapi unaowaomba wakatae Chadema? labda ungemuomba dada yako na shangazi yako. Kwa nini wewe ni nani hata utuchagulie cha kufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…