Uchaguzi 2020 Watanzania tuwakatae CHADEMA na uzushi wao

Uchaguzi 2020 Watanzania tuwakatae CHADEMA na uzushi wao

Kwahiyo we unataka uhuni wa ccm kwamba tz itakua km ulaya km shien alivowadanganya wazenji kua itakua km Dubai.... [emoji848][emoji848]

Misukule ya lumumba mnashida sana yani
Sisi wana kigoma bado tunasubiri kigoma yetu ibadilishwe iwe kama Dubai kama tulivyo ahidiwa na Kikwete mwaka 2010
 
Salaam,

CHADEMA wamekuwa na tabia ya kumzushia mambo mengi mabaya rais wetu na mgombea wa CCM. Mfano jana eti wamezusha kuwa rais wetu alizomewa kule Kagera. Cha kushangaza hata video za kuonyesha tukio hilo hazionekani. Rais JPM ni kipenzi cha wana KAGERA na wanamwelewa sana ndio maana hata wanafunzi kuanzia chekechea hadi sekondari ilibidi "watoroke" mashuleni wakajae kwa wingi ili kumsikiliza kipenzi chao.

Huu ni mwendelezo tu wa uzushi wao. Chama hiki ni cha kuzusha zusha tu. Kipindi hiki cha kampeni wamezusha kuwa eti "ndege za JPM" hazina faida. Huu ni uzushi mkubwa sana. Ndege hizi zimeingiza faida kubwa kwa nchi kwa kusafirisha nyama za mbuzi kwenda mashariki ya Kati.

Pia wamezusha kuwa uwanja wa ndege wa chato eti hauna manufaa yoyote kwa umma. Je, hawajaona Museveni akitua kusaini mkataba pale? Hawaoni kuwa hata wanyonge wa vijijini sasa hivi wanaziona NDEGE KUBWA ZIKITUA hivyo kuongeza kipato chao? Lakini hawaoni pia kuwa hali hii ikiendelea basi kila rais ajaye atajenga uwanja wa ndege KIJIJINI kwake hivyo nchi nzima itajaa viwanja vya ndege na kuwawezesha ng'ombe na mbuzi kuchunga kwenye viwanja vya ndege na hivyo kuiingiza nchi kwenye UCHUMI wa JUU?

Uzushi huu wa CHADEMA unamfanya rais wetu ambaye amejenga VIWANDA 8000 na kutoa Ajira 6,000,000 kwa Watanzania awe mtu wa kupaniki na kufokafoka kwenye majukwaa ya kampeni. Haongelei tena atatufanyia nini Watanzania bali anakuwa anatufokea tu.

WATANZANIA tuwakatae CHADEMA.

Sauti inatosha?

Ha ha nimecheka sana..
 
herzegovina bahati mbaya sana watu wengi hawajaona "irony" kwenye andiko lako. Wengi wanakujibu kwa kuwa wamesoma tu kichwa cha post yako. Wangejua kuwa humo kwenye content umemuua Meko wao sijui kwa kweli.....
 
Salaam,

CHADEMA wamekuwa na tabia ya kumzushia mambo mengi mabaya rais wetu na mgombea wa CCM. Mfano jana eti wamezusha kuwa rais wetu alizomewa kule Kagera. Cha kushangaza hata video za kuonyesha tukio hilo hazionekani. Rais JPM ni kipenzi cha wana KAGERA na wanamwelewa sana ndio maana hata wanafunzi kuanzia chekechea hadi sekondari ilibidi "watoroke" mashuleni wakajae kwa wingi ili kumsikiliza kipenzi chao.

Huu ni mwendelezo tu wa uzushi wao. Chama hiki ni cha kuzusha zusha tu. Kipindi hiki cha kampeni wamezusha kuwa eti "ndege za JPM" hazina faida. Huu ni uzushi mkubwa sana. Ndege hizi zimeingiza faida kubwa kwa nchi kwa kusafirisha nyama za mbuzi kwenda mashariki ya Kati.

Pia wamezusha kuwa uwanja wa ndege wa chato eti hauna manufaa yoyote kwa umma. Je, hawajaona Museveni akitua kusaini mkataba pale? Hawaoni kuwa hata wanyonge wa vijijini sasa hivi wanaziona NDEGE KUBWA ZIKITUA hivyo kuongeza kipato chao? Lakini hawaoni pia kuwa hali hii ikiendelea basi kila rais ajaye atajenga uwanja wa ndege KIJIJINI kwake hivyo nchi nzima itajaa viwanja vya ndege na kuwawezesha ng'ombe na mbuzi kuchunga kwenye viwanja vya ndege na hivyo kuiingiza nchi kwenye UCHUMI wa JUU?

Uzushi huu wa CHADEMA unamfanya rais wetu ambaye amejenga VIWANDA 8000 na kutoa Ajira 6,000,000 kwa Watanzania awe mtu wa kupaniki na kufokafoka kwenye majukwaa ya kampeni. Haongelei tena atatufanyia nini Watanzania bali anakuwa anatufokea tu.

WATANZANIA tuwakatae CHADEMA.

Sauti inatosha?
Mi nimekwelewa vzr sana mtoa hoja, [emoji1] [emoji1]
 
Nashukuru kwa kuliona hilo.
herzegovina bahati mbaya sana watu wengi hawajaona "irony" kwenye andiko lako. Wengi wanakujibu kwa kuwa wamesoma tu kichwa cha post yako. Wangejua kuwa humo kwenye content umemuua Meko wao sijui kwa kweli.....
 
Tuweke kaba ya maneno hawa jamaa ccm wakipita hatutaonekana humu nawaza thread za kibabe zitakavyoshushwa
 
Salaam,

CHADEMA wamekuwa na tabia ya kumzushia mambo mengi mabaya Rais wetu na mgombea wa CCM. Mfano jana eti wamezusha kuwa rais wetu alizomewa kule Kagera. Cha kushangaza hata video za kuonyesha tukio hilo hazionekani. Rais Magufuli ni kipenzi cha wana KAGERA na wanamwelewa sana ndio maana hata wanafunzi kuanzia chekechea hadi sekondari ilibidi "watoroke" mashuleni wakajae kwa wingi ili kumsikiliza kipenzi chao.

Huu ni mwendelezo tu wa uzushi wao. Chama hiki ni cha kuzusha zusha tu. Kipindi hiki cha kampeni wamezusha kuwa eti "ndege za Magufuli" hazina faida. Huu ni uzushi mkubwa sana. Ndege hizi zimeingiza faida kubwa kwa nchi kwa kusafirisha nyama za mbuzi kwenda mashariki ya Kati.

Pia wamezusha kuwa uwanja wa ndege wa Chato eti hauna manufaa yoyote kwa umma. Je, hawajaona Museveni akitua kusaini mkataba pale? Hawaoni kuwa hata wanyonge wa Vijijini sasa hivi wanaziona NDEGE KUBWA ZIKITUA hivyo kuongeza kipato chao? Lakini hawaoni pia kuwa hali hii ikiendelea basi kila Rais ajaye atajenga uwanja wa ndege KIJIJINI kwake hivyo nchi nzima itajaa viwanja vya ndege na kuwawezesha ng'ombe na mbuzi kuchunga kwenye viwanja vya ndege na hivyo kuiingiza nchi kwenye UCHUMI wa JUU?

Uzushi huu wa CHADEMA unamfanya rais wetu ambaye amejenga VIWANDA 8000 na kutoa Ajira 6,000,000 kwa Watanzania awe mtu wa kupaniki na kufokafoka kwenye majukwaa ya kampeni. Haongelei tena atatufanyia nini Watanzania bali anakuwa anatufokea tu.

WATANZANIA tuwakatae CHADEMA.

Sauti inatosha?
Acha porojo za kitoto wewe. Wanafunzi wa secondary na msingi wakijuja kumsikiliza???! Unadhani hatujui kuwa mnatia agizo kuahirisha vipindi na kuhakikisha wanafunzi wote na waalimu, watumishi wa uma wote wanakuja kwenye kampeni zeni ili muonekane mna watu? Tunafahamu mnawasomba kwa malori na mnagawa mafuta kwa went magari binafsi, bidaboda na daldala nakutoa posho ili walete watu kwenu.
Huu ni utumwa na kujilisha upepo. Angalieni Chadema inavyojaza watu wazima walinaokuja kwa miguu yao bila nauli au malipo. Hampendwi mnajisumbua. Wekeni mazingira huru ya uchaguzi muone mtakavyoaibishwa asubuhi na mapema.
 
Tuweke kaba ya maneno hawa jamaa ccm wakipita hatutaonekana humu nawaza thread za kibabe zitakavyoshushwa
Kama wewe ni mhenga huwezi kuwaza nini kitatokea baada ya uchaguzi na chama fulani kushindwa.

Hiyo ni sawa na mpambano wa simba na yanga tu, mechi ikiisha watu wengine wanashangilia na wengine wanazima data lkn after two days maisha yanarudi kama kawaida.
 
Tume ya Uchaguzi si ipo chini yenu CCM ,sasa mnashindwa vipi kuwaadhibu Chadema kupitia Taasisi zenu hizo !?
Thubuutuuuuuu, safari hii wakifanya huo ujinga watajutia
 
[emoji23][emoji23]nmeishia hapo kwenye wanafunzi kutoroka shule nikagundua nasoma article ya kipa katoka
 
Wewe ndiye mwendawazimu uliye kubuhu, maana sasa hivi usha kuwa sugu wa matatizo ya ccm.

Miaka 60 tangu uhuru mmetutia umasikini wa kudumu. Hadi leo hii mtanzania hana uhakika wa kesho yake atakula nini?

Alafu jitu linakuja kuisifia ccm! Shame on you

Wanatuona watanzania ni wajinga ndiyo maana wanafanya hivyo ninkuwaonesha kwenye sanduku la kura tu hawa wanataka wawe wanatawala hii nchi kwa mazoea. Hivi kweli mgombea anaweza kupanda jukwani na kusema haelewi kwanini Umeme unauzwa bei kubwa na amekuwa seikalini miaka zaidi ya 20
 
Acha porojo za kitoto wewe. Wanafunzi wa secondary na msingi wakijuja kumsikiliza???! Unadhani hatujui kuwa mnatia agizo kuahirisha vipindi na kuhakikisha wanafunzi wote na waalimu, watumishi wa uma wote wanakuja kwenye kampeni zeni ili muonekane mna watu? Tunafahamu mnawasomba kwa malori na mnagawa mafuta kwa went magari binafsi, bidaboda na daldala nakutoa posho ili walete watu kwenu.
Huu ni utumwa na kujilisha upepo. Angalieni Chadema inavyojaza watu wazima walinaokuja kwa miguu yao bila nauli au malipo. Hampendwi mnajisumbua. Wekeni mazingira huru ya uchaguzi muone mtakavyoaibishwa asubuhi na mapema.

Mbona hujasoma andiko ukaelewa ndugu yangu rudia kusoma tena hutakuwa na huo mtizamo tatizo unasoma heading na kuanza comment
 
Wanatuona watanzania ni wajinga ndiyo maana wanafanya hivyo ninkuwaonesha kwenye sanduku la kura tu hawa wanataka wawe wanatawala hii nchi kwa mazoea. Hivi kweli mgombea anaweza kupanda jukwani na kusema haelewi kwanini Umeme unauzwa bei kubwa na amekuwa seikalini miaka zaidi ya 20
Nakubaliana na mchango wako mkuu, tatizo la ccm hii inayo jiita cc m mpya ni kuwa wanajifanya ndiyo kwanza imezaliwa juzi.

Wanawaona viongozi walio watangulia ambao pia ni maccm kuwa ni sawa na wapinzani na hawakujua chochote juu ya utawala bora.

Jambo ambalo ni makosa makubwa sana kiutawala. Wanatuona sisi watanzania kama watu tusiyo jua A na B za utawala.
 
Back
Top Bottom