Watanzania tuwe makini sana na watu kama Dkt. Diallo. Ni watu wa maslahi zaidi

Na mikoa isiyo na SGR je
 
JIWE alikuwa analazimisha kila kitu na kama ukimpinga anakuchana hadharani.

Pascal Mayalla alimuuliza swali akaambiwa ana njaa.
Mtu aliyekuwa anasikiliza simu za kina Jojo na marafiki zake wa jinsia tofauti ili kupeana furaha, mtu mwenye majukumu kweli unaweza ukahangaika na vitu vidogo tena privacy za watu wanaosheherekea raha ya tunda?
 
Watu kama diallo kila awamu hua wapo hata kipindi cha nyerere watu kama hao walikuwepo lakini hawakutosha kuifuta legacy ya mwalimu ambayo mpaka Leo tunaisoma.
 
Msihangaike na Diallo, alichosema kiwafikirishe. Tatizo ni kwake Diallo kutosema hayo ndani ya vikao vya chama chake.
 
Naomba kukuuliza swali, ikitokea mkatoliki aliyekuwa anakula kitimoto na kusema kitimoto ni haramu, waislam watakataa kwa kuwa tu aliyesema mwanzoni alikuwa anakula kitimoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…