pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Tulia sindano ziwaingie najua mpo wengi sana humu na bashite wenu kawalisha matango poriWamefanya makosa gani? Wengi wao kuwa upande wa ccm ni kosa? Kulalamika kuibiwa kwa kazi zao through piracy ni kosa? Kuilalamikia serikali iweke uwanja sawa wa soko baina yao na wauza cd za nje kwa kulipa kodi sawia hilo nalo ni kosa?
Hakuna itakayemuingia sindano wakati mwisho wa mwz huu asiyelipa kodi hatouza CD za nje.Tulia sindano ziwaingie najua mpo wengi sana humu na bashite wenu kawalisha matango pori
Tuna download ni mwendo wa vifurushi tu pole kumbe bado upo zama za mawe unatumia CD [emoji23][emoji23][emoji23]fakeniHakuna itakayemuingia sindano wakati mwisho wa mwz huu asiyelipa kodi hatouza CD za nje.
Haujakatazwa kuangalia na download utakavyo kwa sab unalipa kodi kupitia bundle unayonunua tunataka wanaoingiza CD za nje nao walipe ushuru wa kila cd kama wanavyofanya bongo movie period.Tuna download ni mwendo wa vifurushi tu pole kumbe bado upo zama za mawe unatumia CD [emoji23][emoji23][emoji23]fakeni
Sasa kwanza hauwezi kushindana na piracy ukaiweza, pili hizo kazi za nje ili ziweze kulipiwa kodi inabidi ziwe genuine yani original DVD, ambayo inakua imported kutoka huko iliko tengenezwa nadhani bei ya full season DVD haiwezi kua chini ya $ 15 sasa nani atafanya hio shuguhli ya kununua full season moja 30,000? wakati anaweza kuidownload kwenye mtandao na kuiuza? wanachodai bongo movie hakiwezekani sababu hatuna civilization ya kukaataa cha bei rahisi na kukubali cha bei ghaliWamelalamikia piracy tokea enzi za kanumba wameonekana kushinda kwa kiasi cha asilimia 90 wale wenye mitambo baada ya kubanwa sasa wanatengeneza piracy za nje na kuziuza bila kodi hivyo KUFANYA biashara kuwa ya upendeleo yaani mwingine analipa mwingine halipi kodi wakati soko na bidhaa ni moja. Je waona sahihi kwa muono wako?