Mamaeeee😂😂😂Ko jamaa asile kisa mtu kafa we jamaa mbona Una ujomba mwingi , kuna watu hapo msiban watanunua pepsi za bardi za kutosha na maji ya kushushia , vip hao, mwamba yeye kaja na parachichi imekuwa nongwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamaeeee😂😂😂Ko jamaa asile kisa mtu kafa we jamaa mbona Una ujomba mwingi , kuna watu hapo msiban watanunua pepsi za bardi za kutosha na maji ya kushushia , vip hao, mwamba yeye kaja na parachichi imekuwa nongwa
Yaani mm nilihisi nimeona vyote kumbe bado asee hasa nilichoona leoKuna mmoja mpenda miwasho nilimshuhudia akitoa pilipili kwenye mfuko wa koti wakati wa kupata chochote kitu..
Inaonyesha alijiandaa
... na wanajua kabisa huu msiba una posho ya kutosha na ule ni wa kimaskini hawaendi! Kabisa nimeshuhudia jamaa wa hivyo.Ujue kuna wanaozunguka kwenye misaba kusaka ulaji.
seriously ndio nini? Km hujui lugha ya watu lazima uing'ang'anie?Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani
Hivi ndio nn sasa hii
Hujaona vyote Bado.Yaani mm nilihisi nimeona vyote kumbe bado asee hasa nilichoona leo
Kila mtu anajua kuwa msibani kuna msosi. Ni kujitoa akili tu kuamua kutofanya maandalizi ujuwe..!! ANgebeba na pilipiliNgalikihinja unaitwa
Unyama mwingi sana mwaisa. Mtoa mada ukutamya itolo abhanduMwanafyale unyamaaa mwingi 😂😂😂😂
Binafsi sipendi kula msibani ....Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani
Hivi ndio nn sasa hii
Acheni ukabila jamii forum hatuwaelewi😣😣mnachochatiUnyama mwingi sana mwaisa. Mtoa mada ukutamya itolo abhandu
😀😀Nimekuja hapa msibani mbeya isanga msibani asee nikamkuta jamaa amekuja na parachichi la kulia wali msibani
Hivi ndio nn sasa hii
Hata sio ukabila mwaisa. Ila poa unyama sana tuendelee na lugha ya taifaAcheni ukabila jamii forum hatuwaelewi😣😣mnachochati
Tuheshimiane mkuu....Hujaona vyote Bado.
Hadi ukutane na msukuma kachora tatuu ya M-PESA
Umeamua kunitembezea vitasa.. namimi sjakurudishia.. haya hapo nani boyaTuheshimiane mkuu....
Msukuma anaingiaje kwenye ishu ya Mnyaki na parachichi lake msibani? Sijapenda kwa kweli 😁😁😁
View attachment 2631266
Si ungemuuliza sasa?Yaan sijaelewa kwanini kafanya vile