Watanzania uwezo wao ni kuzungumza watu sio masuala muhimu, tatizo ni nini?

Watanzania uwezo wao ni kuzungumza watu sio masuala muhimu, tatizo ni nini?

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Ukifuatilia kwa makini mijadala ya vijana wengi kwenye majukwaa makubwa hasa siasa utagundua kuna kitu hakipo sawa ( something amiss ). Katika hali isiyo ya kawaida maoni mengi yamejikita sana kuzungumzia watu badala ya masuala muhimu yanayopaswa kuwekwa wazi. Tatizo hili limezaa machawa, opportunist na wanafiki wanaojifanya wazalendo huku wakitimiza agenda zao binafsi.

Aina ya siasa ya nchi yetu kwa sasa inaenda sambamba juu ya uelewa mdogo wa masuala muhimu juu ya taaluma ya siasa. Vijana wanapenda majungu kuliko kufanya tafiti kujua kwanini hili linatokea. Tatizo lipo kwenye mitaala yetu ya shule au ni uumbaji?

Inaumiza sana mpaka kwenye chombo cha wananchi kama bunge unakuta mijadala ya kishabiki yaani kuna watu wanataka Rais asifiwe tu bila kukosolewa kwa jambo lolote. Tatizo ni nini jamani?
 
Ukifuatilia kwa makini mijadala ya vijana wengi kwenye majukwaa makubwa hasa siasa utagundua kuna kitu hakipo sawa ( something amiss ). Katika hali isiyo ya kawaida maoni mengi yamejikita sana kuzungumzia watu badala ya masuala muhimu yanayopaswa kuwekwa wazi. Tatizo hili limezaa machawa, opportunist na wanafiki wanaojifanya wazalendo huku wakitimiza agenda zao binafsi.

Aina ya siasa ya nchi yetu kwa sasa inaenda sambamba juu ya uelewa mdogo wa masuala muhimu juu ya taaluma ya siasa. Vijana wanapenda majungu kuliko kufanya tafiti kujua kwanini hili linatokea. Tatizo lipo kwenye mitaala yetu ya shule au ni uumbaji?

Inaumiza sana mpaka kwenye chombo cha wananchi kama bunge unakuta mijadala ya kishabiki yaani kuna watu wanataka Rais asifiwe tu bila kukosolewa kwa jambo lolote. Tatizo ni nini jamani?
Weledi wa kitanzania 🏃🏃
 
Ukifuatilia kwa makini mijadala ya vijana wengi kwenye majukwaa makubwa hasa siasa utagundua kuna kitu hakipo sawa ( something amiss ). Katika hali isiyo ya kawaida maoni mengi yamejikita sana kuzungumzia watu badala ya masuala muhimu yanayopaswa kuwekwa wazi. Tatizo hili limezaa machawa, opportunist na wanafiki wanaojifanya wazalendo huku wakitimiza agenda zao binafsi.

Aina ya siasa ya nchi yetu kwa sasa inaenda sambamba juu ya uelewa mdogo wa masuala muhimu juu ya taaluma ya siasa. Vijana wanapenda majungu kuliko kufanya tafiti kujua kwanini hili linatokea. Tatizo lipo kwenye mitaala yetu ya shule au ni uumbaji?

Inaumiza sana mpaka kwenye chombo cha wananchi kama bunge unakuta mijadala ya kishabiki yaani kuna watu wanataka Rais asifiwe tu bila kukosolewa kwa jambo lolote. Tatizo ni nini jamani?
we haujui kuna aina tatu za binadamu. kuna wenye akili ndogo, akili ya kawaida na wenye akili ya juu. Wenye akili ndogo hujadili waty, wenye akili ya kawaida hujadili matukio na wenye akili ya juu hujadili issues, sijui issues kwa kiswahili ni nini. siyo watanzania wote hujadili watu ni lile kundi la wenye akili ndogo. Wengine hawana muda wako na mambo yao
 
Umeona hata matumizi ya simu asilimia kubwa wanafatilia umbeya ukitaka kufanya katafiti kadogo angalia app ya Dada yetu wa majuu 2 milioni online wote wanasaka umbea
 
Ukifuatilia kwa makini mijadala ya vijana wengi kwenye majukwaa makubwa hasa siasa utagundua kuna kitu hakipo sawa ( something amiss ). Katika hali isiyo ya kawaida maoni mengi yamejikita sana kuzungumzia watu badala ya masuala muhimu yanayopaswa kuwekwa wazi. Tatizo hili limezaa machawa, opportunist na wanafiki wanaojifanya wazalendo huku wakitimiza agenda zao binafsi.

Aina ya siasa ya nchi yetu kwa sasa inaenda sambamba juu ya uelewa mdogo wa masuala muhimu juu ya taaluma ya siasa. Vijana wanapenda majungu kuliko kufanya tafiti kujua kwanini hili linatokea. Tatizo lipo kwenye mitaala yetu ya shule au ni uumbaji?

Inaumiza sana mpaka kwenye chombo cha wananchi kama bunge unakuta mijadala ya kishabiki yaani kuna watu wanataka Rais asifiwe tu bila kukosolewa kwa jambo lolote. Tatizo ni nini jamani?
Hali mbaya ya maisha ....
 
Umeona hata matumizi ya simu asilimia kubwa wanafatilia umbeya ukitaka kufanya katafiti kadogo angalia app ya Dada yetu wa majuu 2 milioni online wote wanasaka umbea
Inaumiza sana mijadala ya majungu na uchawa vimeshika kasi sana kwenye taifa letu. At the ze end tunawalaumu mabeberu wakati hata wao wana matatizo yao.
 
Back
Top Bottom