Watanzania wa Matukio. Hawataki kujua sokoine alikufaje kwanini ndugu waliomba afanyiwe postmortem?

Watanzania wa Matukio. Hawataki kujua sokoine alikufaje kwanini ndugu waliomba afanyiwe postmortem?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?

Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.

Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
 
Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?

Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.

Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
Nchi ya udaku na matukio ndio maana akili zao zimeshikwa na mange!
 
Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?

Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.

Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
Unataka kumfufua?
 
Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?

Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.

Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
iko bayana,
Makonda ni Sokoine wa kizazi cha leo 🐒

wakati wake hayati sokoine,
ilikua hivi hivi, kauli moja tu ya maelekezo ya hayati Moringe Sokoine kiutendaji ilibadili mijadala na program nyingi sana na lililo agizwa likitekelezwa kwa haraka sana 🐒

Leo hii kauli moja tu ya RC makonda,
inabadili mijadala na sura ya kisiasa inchini. Si chama Tawala au Upinzani dhaifu vinavibrate na kutafutana kulikoni 🐒

The gentleman is determined, focused and committed to contribute largely in transforming Tz into next level of development 🐒

well done, comrade Paul Christian Makonda 🌹
 
Makonda ni muigizaji mzuri sana. No wonder Magufuli alimtema!
 
Sokoine is overrated, mtu anayesifiwa kwa kuwafanya watu watupe hela na mali ili wawe maskini ndio hero?
 
Sualq
Sokoine is overrated, mtu anayesifiwa kwa kuwafanya watu watupe hela na mali ili wawe maskini ndio hero?
SUALA hapa sio kutupa hela Ili uwe masikini.. SUALA likikuwa ni ulanguzi, ubadhirifu na wizi wa mali za Umma.. Waliotupa hela na bidhaa ni wale ambao hawakuzipata kihalali..

Ni sawa na leo hii.. akatokea kiongozi wa kuwatisha mafisadi mpaka wakatupa hela zao kwa hofu ya kukamatwa.. Hiyo ndio sababu huyu mwamba anakumbukwa mpaka leo kwa kusimamia utendaji kazi na kupiga vita ubadhirifu, rushwa na wizi wa mali za Umma..
 
Back
Top Bottom