Tumngojee Hapa Hapa Ana Mengi Sana Huyo ComradeFunguka
Nchi ya udaku na matukio ndio maana akili zao zimeshikwa na mange!Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?
Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.
Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
Unataka kumfufua?Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?
Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.
Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
iko bayana,Wapo kuhangaika na kauli ya spinning doctor makonda.
Wapo bize kutaka kuwafahamu hao mawaziri
Hawakumbuki chozi la mwanae sokoine alipo kuwa akisoma historia. Hawataki kujua limebeba ujumbe gani?
Kwa hili igizo la makonda limeondoa maana yote ya siku ya kumbukizi marehemu sokoine.
Na kwa jinsi hii hii yapo mambo ya msingi ya kujadili kama mafuriko rufiji na namna ya kusaidia watu huko ila watu wamegeuzia macho na masikio yao kwa MAKONDA.
SUALA hapa sio kutupa hela Ili uwe masikini.. SUALA likikuwa ni ulanguzi, ubadhirifu na wizi wa mali za Umma.. Waliotupa hela na bidhaa ni wale ambao hawakuzipata kihalali..Sokoine is overrated, mtu anayesifiwa kwa kuwafanya watu watupe hela na mali ili wawe maskini ndio hero?