Watanzania waandamana kwa hasira za kutamaushwa na mabasi ya mwendo kasi

Watanzania waandamana kwa hasira za kutamaushwa na mabasi ya mwendo kasi

M
Abiria ambao wamekua wakiteseka kwa kuyasubiri haya mabasi wameamua kujitokeza na kuandamana kwa hamaki, maana mradi wenyewe haueleweki, haukupangwa vizuri tangia mwanzo, na ndio maana hamna nchi ipo tayari kuiga hayo mateso na vurugu.

----------------------------------------

Last Monday Bus Rapid Transit commuters’ patience was tested to the limit.
After failing to board the buses at the Kimara Terminal in the city because of the shortage they decided to vent their frustration by demonstrating.

The passengers held their demonstration on the rapid bus lanes that enter the terminal, something which caused a long traffic jam.
Witnesses said commuters made the decision after spending many hours waiting for buses.
Commuters’ expression of anger took place exactly two years since the rapid buses project took off.
When the BRT project started on May 10, 2016, a lot of people thought that it would bring a taste of modernity in the chaotic Dar es Salaam’s public transport system.
Dashed hopes for modern public transport system in Dar
Mkuu hii ni moja wapo wa project ya OVYO kabisa kuwahi kutokea katika Tanzania..
Mradi wa Mabus ya Mwendo Kasi ni wa ovyo..ovyo..ovyo kabisa..
Wananchi anakaa kituoni 1hr+ bila kupata usafiri halafu kuna wale wapuuzi ambao kazi yao ni kusifia sifia kila upumbavu wa serikali ya CCM na waje kwenye huu uzi..
Serikali ikubali imeshindwa irudishe daladala za kawaida.
 
M

Mkuu huu ni mmoja wapo wa project ya OVYO kabisa kuwahi kutokea katika Tanzania..
Mradi wa Mabus ya Mwendo Kasi ni wa ovyo..ovyo..ovyo kabisa..
Wananchi anakaa kituoni 1hr+ bila kupata usafiri halafu kuna wale wapuuzi ambao kazi yao ni kusifia sifia kila upumbavu wa serikali ya Magufuli na waje kwenye huu uzi..
Serikali ikubali imeshindwa iruidishe daladala za kawaida.
Msemakweli huyo.
 
Abiria ambao wamekua wakiteseka kwa kuyasubiri haya mabasi wameamua kujitokeza na kuandamana kwa hamaki, maana mradi wenyewe haueleweki, haukupangwa vizuri tangia mwanzo, na ndio maana hamna nchi ipo tayari kuiga hayo mateso na vurugu.

----------------------------------------

Last Monday Bus Rapid Transit commuters’ patience was tested to the limit.
After failing to board the buses at the Kimara Terminal in the city because of the shortage they decided to vent their frustration by demonstrating.

The passengers held their demonstration on the rapid bus lanes that enter the terminal, something which caused a long traffic jam.
Witnesses said commuters made the decision after spending many hours waiting for buses.
Commuters’ expression of anger took place exactly two years since the rapid buses project took off.
When the BRT project started on May 10, 2016, a lot of people thought that it would bring a taste of modernity in the chaotic Dar es Salaam’s public transport system.
Dashed hopes for modern public transport system in Dar
Hata Nyumbu wakitoka Masai Mara kwenda Serengeti huwa wanaandamana.
 
Geza Ulole - you're a fan of white elephants. You love Proclaiming projects as white elephants even before they become one. Why are you so dilly dallying on this?
 
Abiria ambao wamekua wakiteseka kwa kuyasubiri haya mabasi wameamua kujitokeza na kuandamana kwa hamaki, maana mradi wenyewe haueleweki, haukupangwa vizuri tangia mwanzo, na ndio maana hamna nchi ipo tayari kuiga hayo mateso na vurugu.

----------------------------------------

Last Monday Bus Rapid Transit commuters’ patience was tested to the limit.
After failing to board the buses at the Kimara Terminal in the city because of the shortage they decided to vent their frustration by demonstrating.

The passengers held their demonstration on the rapid bus lanes that enter the terminal, something which caused a long traffic jam.
Witnesses said commuters made the decision after spending many hours waiting for buses.
Commuters’ expression of anger took place exactly two years since the rapid buses project took off.
When the BRT project started on May 10, 2016, a lot of people thought that it would bring a taste of modernity in the chaotic Dar es Salaam’s public transport system.
Dashed hopes for modern public transport system in Dar

Habari bila picha/videoclip ni takataka tu
 
Kazi Nzuri sana..Inaonekana BRT ya Dar iko na ushabiki mwingi sana bahati ni kwamba WB imetoa pesa ya ujenzi na upanuzi wa BRT. Usipoona customer complaints kwa biashara ujue hapo hakuna kazi unayo fanya. JPM Chapa Kazi
Jaluo bana. Mna mbwembwe kweli... unajiita mkikuyu wakati wewe ni jaluo kabisa unaonekana hata kwa maandishi na matamshi yako!!!!
 
Negative Effects of Floods, wakati Serikali iliambiwa na hakina Mnyika kuwa pale Jangwani apafai kuwa karakana ya mradi huo, serikali na mibunge yenu ya CCM ikapinga ushauri wa Mnyika kisa ni mbunge wa upinzani!!?, acheni mambo ya kiuni.
Hakina Mnyika,
Mambo ya Kiuni.
Jifunze Kiswahili kwanza mdogo wangu, halafu urudi ukiwa na weledi na ujuvi na ubobezi wa mambo, utaweza kujadili mada zenye mashiko kinaga ubaga.
 
Hahaha 😀 najaribu kufikiria maandamano ya kweli ya watz yatakuwa ya sampuli gani. Kuna wale wataanza kulia hata kabla ya vitoa machozi kulipuliwa. Alafu wataingia mtaani na kandambili na wote wamebeba sharubati ya machungwa huku wakiimba, haki zetu hoyeeeee! Haki tunazo hatuna? Twataka haki zetu! X15 [emoji23][emoji23] Cc. Nalendwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haki wewe!, hebu mtuache na maisha yetu ya "AMANI" [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
M

Mkuu hii ni moja wapo wa project ya OVYO kabisa kuwahi kutokea katika Tanzania..
Mradi wa Mabus ya Mwendo Kasi ni wa ovyo..ovyo..ovyo kabisa..
Wananchi anakaa kituoni 1hr+ bila kupata usafiri halafu kuna wale wapuuzi ambao kazi yao ni kusifia sifia kila upumbavu wa serikali ya CCM na waje kwenye huu uzi..
Serikali ikubali imeshindwa irudishe daladala za kawaida.
Hmm we hata upewe nn utasema cha hovyo, hujui hata traffic load dar zipoje, kuna muda watu wanakuwa wengi na kuna muda hamna watu kabisa, so sio failure bali miundombinu na ruti bado haziwezi kukidhi traffic flooding, ila mradi mzuri mi unanisaidia badala ya kutumia lisaa gerezani hadi kimara natumia dk 40 max na sikai foleni, so inanisaidia, usiwe nyumbu kupondaponda kila kitu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haki wewe!, hebu mtuache na maisha yetu ya "AMANI" [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha. 😀 Natania tu jirani, lakini umeapprove hiyo style ya maandamano ya 'amani'? [emoji38][emoji38] Ni yangu nataka niifanyie copyright!
 
Back
Top Bottom